Ayubu 33 – NEN & HTB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 33:1-33

Elihu Anamkemea Ayubu

133:1 Ay 32:10; 6:28; 13:6“Lakini Ayubu, sasa, sikiliza maneno yangu;

zingatia kila kitu nitakachosema.

2Karibu nitafungua kinywa changu;

maneno yangu yapo katika ncha ya ulimi wangu.

333:3 Ay 27:4; 36:4Maneno yangu yanatoka katika moyo mnyofu;

midomo yangu hunena kwa uaminifu yale niyajuayo.

433:4 Mwa 2:7; Ay 10:3; 27:3Roho wa Mungu ameniumba;

pumzi ya Mwenyezi hunipa uhai.

533:5 Ay 13:18Unijibu basi, kama unaweza;

jiandae kunikabili mimi.

633:6 Ay 9:32; 4:19Mimi ni kama wewe mbele za Mungu;

mimi pia nimetolewa kwenye udongo.

733:7 Ay 13:21; 2Kor 2:4Huna sababu ya kuniogopa,

wala mkono wangu haupaswi kukulemea.

8“Lakini umesema nikiwa ninakusikia,

nami nilisikia maneno yenyewe:

933:9 Ay 10:7; 9:30; 16:17‘Mimi ni safi na sina dhambi;

mimi ni safi na sina hatia.

1033:10 Ay 13:24Lakini bado Mungu amepata dosari kwangu,

naye ananiona kama adui yake.

1133:11 Ay 13:27; Mit 3:6; Isa 30:21Ananifunga miguu kwa pingu,

tena anaziangalia njia zangu zote kwa karibu.’

1233:12 Mhu 7:20; Za 8:4; Isa 55:8-9“Lakini mimi ninakuambia, katika jambo hili wewe una makosa,

kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mwanadamu.

1333:13 Ay 40:2; Isa 45:9Kwa nini unamlalamikia

kwamba yeye hamjibu mwanadamu?

1433:14 Za 62:11; Mwa 30:2; Mt 27:19Kwa kuwa Mungu husema, wakati huu kwa njia moja,

au wakati mwingine kwa njia nyingine,

ingawa mwanadamu anaweza asielewe.

1533:15 Mwa 30:2; Mt 27:19Mungu husema na mwanadamu katika ndoto,

katika maono ya usiku,

wakati usingizi mzito uwaangukiapo

wanadamu wasinziapo vitandani mwao,

1633:16 Ay 36:10anaweza akasemea masikioni mwao,

na kuwatia hofu kwa maonyo,

1733:17 Ay 36:10, 15; 6:4; Za 88:15-16ili kumgeuza mtu kutoka kwenye kutenda mabaya

na kumwepusha na kiburi,

1833:18 Yn 2:6; Zek 9:11; Ay 15:22; Mt 26:52kuiokoa nafsi yake na shimo,

uhai wake usiangamizwe kwa upanga.

1933:19 Kum 8:5; Za 6:2; Isa 38:13Mtu anaweza kutiwa adabu kwa maumivu kitandani mwake,

kwa dhiki za mfululizo katika mifupa yake,

2033:20 Za 102; 4; 107:18; Ay 3:24kiasi kwamba maisha yake yenyewe yanakataa chakula

nayo nafsi yake ikakichukia kabisa hata chakula kizuri.

2133:21 Ay 2:5; 16:8Nyama ya mwili wake huisha kwa kukonda,

nayo mifupa yake ambayo mwanzoni ilikuwa imefichika,

sasa inatokeza nje.

2233:22 Ay 38:17; Za 9:13; 88:3; 107:18; 116:3Nafsi yake inakaribia kaburi,

nao uhai wake karibu na wajumbe wa kifo.

2333:23 Ay 36:9-10; Mik 6:8; Gal 3:19; Ebr 8:6; 9:15; Ay 36:9-10; Mik 6:8“Kama bado kuna malaika upande wake

kama mtetezi, mmoja miongoni mwa elfu,

wa kumwambia mwanadamu lililo jema kwake,

2433:24 Isa 38:17kumwonea huruma na kusema,

‘Mwokoe asije akatumbukia shimoni;

nimepata ukombozi kwa ajili yake’:

2533:25 2Fal 5:14ndipo nyama ya mwili wake hufanywa mpya kama ya mtoto;

hurudishwa upya kama siku za ujana wake.

2633:26 Mit 8:35; 2Fal 20:2-5; Lk 2:52; Ezr 3:13; Za 13:5Humwomba Mungu, akapata kibali kwake,

huuona uso wa Mungu na kushangilia kwa furaha;

Mungu humrudisha katika hali yake ya uadilifu.

2733:27 Hes 22:34; 2Sam 12:13; Ezr 9:13; Yak 2:13; Lk 15:21Ndipo huja mbele za watu na kusema,

‘Nilitenda dhambi na kupotosha kilichokuwa haki,

lakini sikuadhibiwa kama nilivyostahili.

2833:28 Kut 15:13; Za 34:22; 107:20; Ay 17:16; 22:20Alinikomboa nafsi yangu nisitumbukie shimoni,

nami nitaishi ili kuufurahia mwanga.’

2933:29 Yer 10:23; Flp 2:13“Mungu hufanya haya yote kwa mwanadamu;

mara mbili hata mara tatu,

3033:30 Za 49:19; Isa 53:11; Zek 9:11ili aigeuze nafsi yake toka shimoni,

ili nuru ya uzima imwangazie.

3133:31 Yer 23:18; Ay 32:10“Ayubu, zingatia, nisikilize mimi;

nyamaza, nami nitanena.

3233:32 Ay 6:29; 35:2Kama unalo lolote la kusema, unijibu;

sema, kwa maana ninataka uonekane huna hatia.

3333:33 Mit 10:8, 10, 19; Za 34:11Lakini kama huna la kusema, basi nisikilize mimi;

nyamaza, nami nitakufundisha hekima.”

Het Boek

Job 33:1-33

Elihu wijst Job terecht

1‘Luister alstublieft naar wat ik te zeggen heb, Job.

2Laat mij uitspreken, nu ik eenmaal het woord heb genomen.

3Ik zal in alle oprechtheid de waarheid spreken.

4De Geest van God heeft mij namelijk gemaakt en de adem van de Almachtige geeft mij leven.

5Aarzel niet mij een antwoord te geven als u dat kunt.

6Voor God ben ik volkomen gelijk aan u. Ik ben ook uit de aarde gevormd, net als u.

7U hoeft niet bang voor mij te zijn. Ik ben er niet de man naar u in het nauw te drijven.

8Ik heb u steeds weer horen zeggen:

9“Ik ben rein, ik heb niet gezondigd, ik ben onschuldig.

10En toch heeft God aanmerkingen op mij en beschouwt mij als zijn vijand.

11Hij legt ketens om mijn enkels en kijkt scherp naar elke beweging die ik maak.”

12Juist hierin hebt u ongelijk, dat u op deze wijze over God spreekt. Want God is veel groter dan de mens.

13Waarom klaagt u bij God dat Hij niet antwoordt?

14God spreekt wel degelijk—nu op de ene, dan op de andere wijze—hoewel de mens dat misschien niet opmerkt.

15Bijvoorbeeld in dromen en in nachtelijke visioenen als een diepe slaap komt over mensen die op bed liggen.

16Op zulke ogenblikken opent Hij hun oren en waarschuwt Hij hen

17-18 zodat zij van gedachten veranderen en ervoor zorgen niet trots te worden. Zij worden gewaarschuwd voor de straf op de zonde en leren goed op te letten dat zij niet op een of andere manier omkomen.

19God kan een mens echter ook terechtwijzen door een ziekte, zodat hij met voortdurende pijn in zijn botten in bed moet blijven

20en hij zijn eetlust verliest en zelfs voor het heerlijkste gerecht zijn neus optrekt.

21-22 Hij wordt broodmager en komt steeds dichter bij de afgrond en de machten van de dood.

23-24 Maar als een boodschapper uit de hemel aanwezig is die als voorspraak dient, een uit duizend die het als een vriend voor hem opneemt, dan zal Hij Zich over hem ontfermen en zeggen: “Maak hem vrij, hij zal niet sterven. Er is voor hem een losgeld betaald.”

25Dan zal zijn lichaam weer zo gezond worden als dat van een kind, fris en jeugdig.

26En als hij tot God bidt, zal God naar hem luisteren en hem antwoorden. Hij zal vreugde ervaren als hij het gezicht van de Here weer ziet en zijn rechtvaardigheid weer terugkrijgt.

27Tegen zijn vrienden zal hij later zeggen: “Ik had gezondigd, maar God gaf mij niet de straf die ik had verdiend.

28Hij liet mij niet sterven. Ik zal voortaan leven en veel meer van het licht genieten.”

29Ja, God doet vaak zulke dingen met de mens,

30tweemaal, zelfs driemaal zijn ziel terughalen uit de grafkuil, zodat hij het levenslicht kan blijven genieten.

31Let daar goed op, Job. Luister naar wat ik nog meer te zeggen heb.

32Maar als u nu al iets wilt zeggen, ga uw gang. Want ik zou zo graag willen dat uw onschuld wordt bewezen.

33Maar zo niet, luister dan naar mij. Houdt u stil, terwijl ik u wijsheid leer!’