Ayubu 31 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 31:1-40

131:1 Kum 5:18; Mt 5:18“Nimefanya agano na macho yangu

yasimtazame msichana kwa kumtamani.

231:2 Ay 16:19; 20:29Kwa kuwa fungu la mwanadamu ni gani kutoka kwa Mungu juu,

urithi wake kutoka kwa Mungu Mwenye Nguvu Aliye juu?

331:3 Ay 21:30; 34:22; Rum 2:9Je, si uharibifu kwa watu waovu,

maangamizi kwa wale watendao mabaya?

431:4 2Nya 16:9; Mit 5:21; Yer 32:19; Dan 4:37Je, yeye hazioni njia zangu

na kuihesabu kila hatua yangu?

531:5 Ay 15:31; Mik 2:11“Kama nimeishi katika uongo

au mguu wangu umekimbilia udanganyifu,

631:6 Law 19:36; Ay 6:2Mungu na anipime katika mizani za uaminifu,

naye atajua kwamba sina hatia:

731:7 Ay 9:30; Hes 15:39; Eze 6:9; Mt 5:29; Mhu 11:9kama hatua zangu zimepotoka kutoka kwenye njia,

kama moyo wangu umeongozwa na macho yangu,

au kama mikono yangu imetiwa unajisi,

831:8 Law 26:16; Yn 4:37; Mik 6:15basi wengine na wale nilichokipanda,

nayo yale yote niliyootesha na yangʼolewe.

931:9 Kum 11:16; Yak 1:14“Kama moyo wangu umeshawishiwa na mwanamke,

au kama nimevizia mlangoni mwa jirani yangu,

1031:10 Kum 28:30; Yer 8:16; Mit 14:31basi mke wangu na asage nafaka ya mwanaume mwingine,

nao wanaume wengine walale naye.

1131:11 Law 20:10; Yn 8:4-5Kwa kuwa hilo lingekuwa aibu,

naam, dhambi ya kuhukumiwa.

1231:12 Ay 15:30; 26:6Ni moto uwakao kwa Uharibifu;31:12 Kwa Kiebrania ni Abadon (Ay 26:6; Mit 15:11).

ungekuwa umengʼoa mavuno yangu.

1331:13 Kut 21:2-11; Law 25:39-46“Kama ningewanyima haki watumishi wangu wanaume au vijakazi wangu,

walipokuwa na manungʼuniko dhidi yangu,

1431:14 Ay 33:5; Hos 9:7; Za 10:13, 15; Isa 10:3; Yer 5:31nitafanya nini Mungu atakaponikabili?

Nitamjibu nini nitakapoitwa kutoa hesabu?

1531:15 Ay 10:3; Efe 6:9Je, yeye aliyeniumba tumboni mwa mama yangu,

si ndiye aliwaumba?

Je, si ni yeye huyo mmoja aliyetuumba sote

ndani ya mama zetu?

1631:16 Law 25:17; Ay 20:19; Yak 1:27“Ikiwa nimewanyima maskini haja zao,

au kuyaacha macho ya wajane yadhoofike,

1731:17 Ay 6:27; 29:12kama nimekula chakula changu mwenyewe,

bila kuwashirikisha yatima;

1831:18 Isa 51:18lakini tangu ujana wangu nimemlea yatima kama ambavyo baba angefanya,

nami tangu kuzaliwa kwangu nimewaongoza wajane:

1931:19 Ay 22:6; 24:4; Isa 58:7kama nilimwona yeyote akiteseka kwa kukosa nguo,

au mtu mhitaji asiye na mavazi

2031:20 Ay 29:13; Amu 6:37ambaye wala moyo wake haukunibariki

kwa kumpatia joto kwa mavazi ya manyoya ya kondoo zangu,

2131:21 Ay 22:7-9; Yak 1:27na kama nimeinua mkono wangu dhidi ya yatima,

nikijua kuwa nina ushawishi mahakamani,

2231:22 Hes 15:30; Za 10:15basi mkono wangu na unyofoke toka begani mwangu,

nao na uvunjike kutoka kiungio chake.

2331:23 Ay 10:3; 13:11; Mwa 20:11Kwa kuwa niliogopa uharibifu kutoka kwa Mungu,

nami kwa kuuogopa utukufu wake sikuweza kufanya mambo kama hayo.

2431:24 Ay 22:25; Mk 10:24; Lk 12:15“Kama nimeweka tumaini langu kwenye dhahabu,

au kuiambia dhahabu safi, ‘Wewe ndiwe salama yangu,’

2531:25 Mwa 12:16; Isa 10:14kama nimefurahia wingi wa utajiri wangu,

ustawi ambao mikono yangu ilikuwa imepata,

2631:26 Hes 11:20; Kum 4:19; Eze 8:16kama nimelitazama jua katika kungʼaa kwake

au mwezi ukienda kwa fahari yake,

2731:27 Ay 24:15; Yak 1:14; Yer 8:2; 16:11hivyo moyo wangu kushawishiwa kwa siri,

au kubusu mkono wangu kwa kuviheshimu,

2831:28 Mwa 38:24; Kum 17:2-7; Yos 24:23-27; Mit 30:9basi hiyo pia ingekuwa dhambi ya kuhukumiwa,

kwa kuwa ningekuwa si mwaminifu kwa Mungu aishiye juu sana.

2931:29 Za 35:15; Mt 5:44; Mit 17:5; 24:17-18“Kama nimeshangilia msiba wa adui yangu,

au kutazama kwa furaha taabu iliyomjia,

30lakini sikuruhusu kinywa changu kufanya dhambi

kwa kuomba laana dhidi ya maisha yake;

31kama watu wa nyumbani mwangu kamwe hawakusema,

‘Ni nani ambaye hajashibishwa na nyama ya Ayubu?’

3231:32 Amu 19:20; Mt 25:35; Ebr 13:2; 1Pet 4:9Lakini hakuna mgeni aliyelala njiani,

kwa maana mlango wangu ulikuwa wazi kwa msafiri;

3331:33 Za 32:5; Mit 28:13; Mwa 3:8kama nimeifunika dhambi yangu kama wanadamu wengine wafanyavyo,

kwa kuficha hatia yangu moyoni mwangu,

3431:34 Kut 23:2; Mit 29:25kwa sababu ya kuogopa umati wa watu,

na hivyo kuwa na hofu ya kudharauliwa na jamaa,

nikanyamaza kimya nisitoke nje ya mlango:

35(“Laiti kama angekuwepo mtu wa kunisikia!

Tazama sasa ninatia sahihi kwenye utetezi wangu:

Mwenyezi na anijibu;

mshtaki wangu na aweke mashtaka yake kwenye maandishi.

36Hakika ningeyavaa begani mwangu,

ningeyavaa kama taji.

3731:37 Ay 1:3; 21:28Ningempa hesabu ya kila hatua yangu,

ningemwendea kama mwana wa mfalme.)

3831:38 Mwa 4:10“Kama nchi yangu inalia dhidi yangu,

na mifereji yake yote imelowana kwa machozi,

3931:39 1Fal 21:19; Law 19:13; Yak 5:4kama nimekula mazao yake bila malipo,

au kuvunja mioyo ya wapangaji wake,

4031:40 Mwa 3:18; Mit 13:7basi miiba na iote badala ya ngano,

na magugu badala ya shayiri.”

Mwisho wa maneno ya Ayubu.

Korean Living Bible

욥기 31:1-40

1“내가 내 눈과 서약하였으니 어찌 처녀를 정욕의 눈으로 볼 수 있겠는가?

2내가 만일 그렇게 한다면 위에 계신 전능하신 하나님에게 무엇을 기대할 수 있겠는가?

3의롭지 못하고 악을 행하는 자에게는 하나님이 재앙을 내려 벌하실 것이 아니겠는가?

4하나님은 내가 행하는 모든 일을 다 보고 계시며 내 걸음을 일일이 헤아리신다.

5“나는 거짓말을 한 적도 없고 다른 사람을 속인 일도 없다.

6만일 하나님이 나를 정직한 저울에 달아 보시면 나의 진실을 아실 것이다.

7내가 만일 바른 길에서 벗어났다던가 아니면 눈으로 본 것에 마음이 끌려 죄를 범했다던가 또 내 손이 죄로 더럽혀졌다면

8내가 심은 것을 다른 사람이 먹고 내가 기른 농작물이 뿌리째 뽑혀 못 쓰게 되어도 할 말이 없을 것이다.

9“내가 만일 어떤 여자에게 마음이 끌려서 그녀의 문 밖에 숨어 그녀를 엿본 적이 있다면

10내 아내가 다른 사람의 집에서 맷돌질을 하고 다른 사람의 침실에서 잠을 자도 마땅하다.

11이런 죄는 반드시 형벌을 받아야 할 무서운 악이며

12내가 가진 모든 것을 송두리째 삼켜 버리는 파괴적인 지옥 불과도 같은 것이다.

13내 종들이 나에게 불만을 말할 때에도 나는 그들의 말을 듣고 그들에게 정당한 대우를 해 주었다.

14내가 만일 그렇게 하지 않았다면 내가 어떻게 하나님을 대할 수 있으며 하나님이 나에게 그 일을 따지실 때 내가 무엇이라고 대답할 수 있겠는가?

15나를 만드신 하나님은 내 종들도 만드신 분이시다.

16“나는 가난한 자의 소원을 거절하거나 과부를 실망시킨 적이 없으며

17나는 배불리 먹으면서 불쌍한 고아를 굶겨 본 적도 없다.

18사실 나는 젊었을 때부터 고아들을 친자식처럼 돌보아 주었고 과부들을 보살펴 주었다.

19나는 또 너무 가난해서 입을 것이나 덮을 것이 없는 사람을 보면

20양털로 옷을 지어 입혔고 그들은 나에게 정성껏 복을 빌어 주었다.

21만일 내가 법정에서 나를 도와줄 자가 있음을 알고 고아를 등쳐먹었다면

22내 팔이 부러지고 어깻죽지에서 떨어져 나가도 할 말이 없을 것이다.

23나는 하나님의 형벌을 무서워할 뿐만 아니라 그의 위엄이 두려워서도 감히 그런 짓을 할 수가 없다.

24“나는 돈을 신뢰하거나

25재산이 많다고 기뻐한 적이 없으며

26또 하늘에 빛나는 태양이나 은빛 길을 걷는 달을 보고

27은근히 마음이 끌려 손을 모아 그것들을 숭배해 본 적도 없다.

28내가 만일 그런 짓을 했다면 이것 역시 재판을 받아야 할 죄이다. 그것은 내가 위에 계신 하나님을 배반한 셈이 되기 때문이다.

29“나는 나를 미워하는 자가 망하는 것을 보고 기뻐하거나 재앙을 만나 고통당하는 것을 보고 흐뭇한 표정을 지어 본 적도 없다.

30사실 나는 어떤 사람을 죽으라고 저주하여 내 입술로 범죄한 적이 없다.

31내 고기로 배를 채우지 않은 사람이 없다는 것은 내 집에서 일하는 자들도 다 아는 사실이다.

32나는 나그네를 길거리에서 자게 한 일이 없으며 길 가는 사람들을 위해 내 집 문을 항상 열어 두었다.

33-34나는 31:33-34 원문에는 ‘아담처럼’다른 사람들처럼 내 죄를 숨겨 본 일도 없고 사람들이 하는 말을 두려워하지도 않았으며 내가 그들의 비웃음을 무서워하여 할 말을 못하거나 바깥 출입을 하지 못하고 집 안에만 틀어박혀 있은 적도 없었다.

35“누구든지 내가 하는 말을 들어라. 내가 하는 변명에는 조금도 거짓이 없다. 나는 전능하신 하나님이 내 말에 대답해 주시기를 원하고 있다. 만일 내 대적이 내가 인정할 만한 소송장을 나에게 제시할 수 있었다면

36내가 그것을 어깨에 메기도 하고 면류관처럼 머리에 쓰기도 했을 것이며

37또 내가 행한 일을 일일이 다 그에게 말하고 내가 그를 왕족처럼 가까이했을 것이다.

38“내 토지가 나를 향해 부르짖고 그 이랑이 눈물로 젖은 일이 있는가?

39내가 만일 값을 지불하지 않고 그 농산물을 먹거나 소작인들을 굶어 죽게 한 일이 있다면

40그 땅에 밀 대신 찔레가 나고 보리 대신 잡초가 나도 할 말이 없을 것이다.” 이렇게 해서 욥의 말이 끝났다.