Ayubu 26 – NEN & NVI-PT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 26:1-14

Hotuba Ya Tisa Ya Ayubu

Ayubu Anajibu: Utukufu Wa Mungu Hauchunguziki

1Kisha Ayubu akajibu:

226:2 Ay 6:12; 4:3; Za 71:9; Mit 25:11“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo!

Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!

326:3 Ay 34:35Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima?

Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!

426:4 1Fal 22:24Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo?

Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?

526:5 Za 88:10; Isa 14:9“Wafu wako katika maumivu makuu,

wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.

626:6 Za 139:8; Mit 15:11; Ebr 4:13; Amo 9:2Mauti26:6 Yaani Kuzimu; Kiebrania ni Sheol. iko wazi mbele za Mungu;

Uharibifu26:6 Kwa Kiebrania ni Abadon. haukufunikwa.

726:7 Ay 9:826:7 Ay 8:22; 31:35Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu;

naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.

826:8 Mit 30:4; Za 147:8Huyafungia maji kwenye mawingu yake,

hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.

926:9 2Sam 22:10; Za 97:2Huufunika uso wa mwezi mpevu,

akitandaza mawingu juu yake.

1026:10 Mit 8:27; Isa 40:22; Ay 28:3Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji,

ameweka mpaka wa nuru na giza.

1126:11 2Sam 22:8Nguzo za mbingu nazo zatetemeka,

zinatishika anapozikemea.

1226:12 Isa 51:15; Kut 14:21; Yer 31:35; Ay 12:13; Kut 14:21; Ay 12:13; 9:13Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari;

kwa hekima yake alimkata Rahabu26:12 Rahabu hapa ni fumbo la kumaanisha Lewiathani, mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa. vipande vipande.

1326:13 Za 33:6; Isa 27:1Aliisafisha anga kwa pumzi yake;

kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.

1426:14 Ay 9:6; 36:29Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake;

tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu!

Ni nani basi awezaye kuelewa

ngurumo za nguvu zake?”

Nova Versão Internacional

Jó 26:1-14

1Então Jó respondeu:

2“Grande foi a ajuda que você deu ao desvalido!

Que socorro você prestou ao braço frágil!

3Belo conselho você ofereceu a quem não é sábio,

e que grande sabedoria você revelou!

4Quem o ajudou a proferir essas palavras,

e por meio de que espírito você falou?

5“Os mortos estão em grande angústia

sob as águas, e com eles sofrem os que nelas vivem.

6Nu está o Sheol26.6 Essa palavra pode ser traduzida por sepultura, profundezas, ou morte. diante de Deus,

e nada encobre a Destruição26.6 Hebraico: Abadom..

7Ele estende os céus do norte sobre o espaço vazio;

suspende a terra sobre o nada.

8Envolve as águas em suas nuvens,

e estas não se rompem sob o peso delas.

9Ele cobre a face da lua cheia

estendendo sobre ela as suas nuvens.

10Traça o horizonte sobre a superfície das águas

para servir de limite entre a luz e as trevas.

11As colunas dos céus estremecem e ficam perplexas

diante da sua repreensão.

12Com seu poder agitou violentamente o mar;

com sua sabedoria despedaçou o Monstro dos Mares26.12 Hebraico: Raabe. Veja Sl 89.10 e Is 51.9..

13Com seu sopro os céus ficaram límpidos;

sua mão feriu a serpente arisca.

14E isso tudo é apenas a borda de suas obras!

Um suave sussurro é o que ouvimos dele.

Mas quem poderá compreender o trovão do seu poder?”