Ayubu 26 – NEN & CARSA

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 26:1-14

Hotuba Ya Tisa Ya Ayubu

Ayubu Anajibu: Utukufu Wa Mungu Hauchunguziki

1Kisha Ayubu akajibu:

226:2 Ay 6:12; 4:3; Za 71:9; Mit 25:11“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo!

Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!

326:3 Ay 34:35Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima?

Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!

426:4 1Fal 22:24Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo?

Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?

526:5 Za 88:10; Isa 14:9“Wafu wako katika maumivu makuu,

wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.

626:6 Za 139:8; Mit 15:11; Ebr 4:13; Amo 9:2Mauti26:6 Yaani Kuzimu; Kiebrania ni Sheol. iko wazi mbele za Mungu;

Uharibifu26:6 Kwa Kiebrania ni Abadon. haukufunikwa.

726:7 Ay 9:826:7 Ay 8:22; 31:35Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu;

naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.

826:8 Mit 30:4; Za 147:8Huyafungia maji kwenye mawingu yake,

hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.

926:9 2Sam 22:10; Za 97:2Huufunika uso wa mwezi mpevu,

akitandaza mawingu juu yake.

1026:10 Mit 8:27; Isa 40:22; Ay 28:3Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji,

ameweka mpaka wa nuru na giza.

1126:11 2Sam 22:8Nguzo za mbingu nazo zatetemeka,

zinatishika anapozikemea.

1226:12 Isa 51:15; Kut 14:21; Yer 31:35; Ay 12:13; Kut 14:21; Ay 12:13; 9:13Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari;

kwa hekima yake alimkata Rahabu26:12 Rahabu hapa ni fumbo la kumaanisha Lewiathani, mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa. vipande vipande.

1326:13 Za 33:6; Isa 27:1Aliisafisha anga kwa pumzi yake;

kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.

1426:14 Ay 9:6; 36:29Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake;

tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu!

Ni nani basi awezaye kuelewa

ngurumo za nguvu zake?”

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Аюб 26:1-14

Ответ Аюба

1Тогда Аюб ответил:

2– О, как бессильному ты помог!

Как дух слабого поддержал!

3Как посоветовал ты немудрому!

И как во всей полноте явил знание!

4Кто помог тебе сказать эти слова?

Чей дух говорил твоими устами?

5Духов умерших охватила дрожь,

трепещут подземные воды и их обитатели.

6Мир мёртвых обнажён перед Аллахом,

и покрова нет царству смерти.

7Распростёр Он север над пустотой,

ни на чём Он подвесил землю.

8Заключает Он воду в тучи Свои,

но тучи под её весом не рвутся.

9Он закрывает престол Свой,

застлав его облаком Своим.

10Начертил Он горизонт над гладью вод,

как границу света и тьмы.

11Столпы небес дрожат,

они в ужасе перед Его грозой.

12Силой Своей Он волнует море,

разумом Своим Он разит Рахава26:12 Рахав – мифическое морское чудовище, символизирующее силы зла и разрушения..

13От Его дыхания ясны небеса,

и скользящую змею пронзает Его рука.

14И это лишь часть Его дел;

только слабый шёпот о Нём мы слышим!

А гром Его мощи кто уяснит?