Ayubu 2 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 2:1-13

Jaribu La Pili La Ayubu

12:1 Ay 1:6; Mwa 6:2Siku nyingine wana wa Mungu walikuja kujionyesha mbele za Bwana. Shetani naye akaja pamoja nao kujionyesha mbele zake. 22:2 Mwa 3:1Bwana akamuuliza Shetani, “Umetoka wapi?”

Shetani akamjibu Bwana “Natoka kuzunguka pote duniani, nikitembea huku na huko humo.”

32:3 Kut 20:20; Ay 6:29; 9:17; 13:18; Yak 1:12; Za 44:17; Ay 13:18; 27:5, 6; 1Pet 1:7; Mt 7:11; Yn 9:2Bwana akamwambia Shetani, “Je, umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Hakuna mtu mwingine duniani aliye kama yeye, mtu asiye na hatia, ni mnyofu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu. Naye bado anadumisha uadilifu wake, ingawa ulinichochea dhidi yake, ili nimwangamize pasipo sababu.”

42:4 Ay 1:10Shetani akamjibu Bwana, “Ngozi kwa ngozi! Mwanadamu atatoa vyote alivyo navyo kwa ajili ya uhai wake. 52:5 Za 102:5; Ay 19:20; Mao 4:8; Za 32:3, 4; Ay 16:8; 1:11Lakini nyoosha mkono wako na kuipiga nyama yake na mifupa yake, naye kwa hakika atakulaani mbele za uso wako.”

62:6 Ay 1:12; 2Kor 12:7Bwana akamwambia Shetani, “Vema sana, kwa hiyo, yeye yumo mikononi mwako, lakini lazima umwachie uhai wake.”

72:7 Kum 28:35; Ay 7:5; 16:16Basi Shetani akatoka mbele za Bwana naye akampiga Ayubu kwa majipu mabaya tangu nyayo za miguu yake hadi utosi wa kichwa. 82:8 2Sam 13:19; Za 7:5; Mt 11:21; Mwa 18:27; Es 4:3; Ay 16:15; 19:9; 42:6; Isa 5:8; 6:13; Yer 6:26; Mao 3:29; Eze 26:16; Yon 3:5-8Ndipo Ayubu akachukua kigae na kujikuna nacho huku akiketi kwenye majivu.

92:9 Ay 1:21; 13:15; 27:5; 33:9; 35:2; 1The 5:8; Kut 20:7; 2Fal 6:33Mke wake akamwambia, “Je, bado unashikamana na uadilifu wako? Mlaani Mungu nawe ukafe!”

102:10 Mhu 2:24; Mao 3:38-41; Yak 5:11; Za 39:1Akamjibu, “Unazungumza kama vile ambavyo mwanamke mpumbavu2:10 Mpumbavu hapa ina maana ya kupungukiwa maadili. yeyote angenena. Je, tupokee mema mikononi mwa Mungu, nasi tusipokee na udhia?”

Katika mambo haya yote, Ayubu hakutenda dhambi katika kusema kwake.

Marafiki Watatu Wa Ayubu

112:11 Mwa 25:2; 36:11; 37:35; Yer 49:7; Rum 12:15; Ay 11:1; 20:1; Yn 11:19Basi marafiki watatu wa Ayubu, ndio Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi na Sofari Mnaamathi, waliposikia juu ya taabu yote iliyompata Ayubu, wakajipanga toka manyumbani mwao, nao wakakutana pamoja kwa makubaliano kwenda kumtuliza katika taabu hiyo na kumfariji. 122:12 2Sam 1:2; Neh 9:1; Eze 27:30; Ay 17:7; Isa 52:14; Mwa 37:29; Mk 14:63; Yos 7:6Walipomwona kwa mbali, ilikuwa vigumu kumtambua. Wakaanza kulia kwa sauti kubwa, wakayararua majoho yao na kujirushia mavumbi juu ya vichwa vyao. 132:13 Mwa 50:10-12; Eze 3:15; Isa 3:26; 47:1; Eze 26:16; Yn 3:6; Hag 2:22; Mit 17:28; Isa 23:2; 47:5Kisha wakaketi chini kwenye udongo pamoja na Ayubu kwa siku saba usiku na mchana. Hakuna yeyote aliyesema naye neno, kwa sababu waliona jinsi mateso yake yalivyokuwa makubwa.

Bibelen på hverdagsdansk

Jobs Bog 2:1-13

Job sættes på en endnu strengere prøve

1Kort tid efter trådte englene igen frem for Herren, og Satan var iblandt dem.

2„Hvad har du bedrevet, Satan?” spurgte Herren.

„Jeg har gennemtravet jorden på kryds og tværs!” svarede Satan.

3„Lagde du mærke til min tjener Job?” spurgte Herren. „Han er enestående blandt mennesker, en retskaffen og gudfrygtig mand, der gør sit bedste for ikke at begå nogen synd. Han har bevaret sin gudhengivenhed, selvom du udfordrede mig til at lade dig skade ham uden grund.”

4„Han har endnu ikke mærket noget på sin egen krop,”2,4 Ordret: „hud for hud”. Meningen er uklar. svarede Satan. „Mennesker vil gøre alt for at bevare livet. 5Hvis du rammer ham på hans egen krop, skal jeg love dig for, at han vil forbande dig lige op i dit åbne ansigt!”

6„Gør, hvad du vil, Satan,” svarede Herren. „Men du må ikke tage livet af ham.”

7Derpå gik Satan sin vej og sørgede for, at Job blev plaget af ondartede bylder fra top til tå. 8Den stakkels Job satte sig ud på askedyngen og skrabede sine bylder med et potteskår.

9Da sagde hans kone til ham: „Holder du stadig fast ved din gudhengivenhed? Forband dog Gud og dø!”

10Men Job svarede: „Sikke noget snak! Skal vi kun tage imod det behagelige fra Gud, og ikke det ubehagelige?”

På trods af alle sine lidelser anklagede Job ikke Gud med et eneste ord.

Jobs tre venner

11Da Jobs tre venner hørte om de tragedier, der havde ramt ham, aftalte de med hinanden, at de ville tage hen for at trøste og opmuntre ham. De tre venner var Elifaz fra Teman, Bildad fra Shua og Zofar fra Na’amat. 12Da de kom til Job, kunne de næsten ikke genkende ham, så frygtelig så han ud. De brast i gråd, rev flænger i deres tøj og kastede støv op i luften. 13Så satte de sig på jorden ved siden af ham uden at sige et ord, for de kunne se, at han havde store smerter. I syv dage, dag og nat,2,13 Ordret: „syv dage og syv nætter”, men der var faktisk kun seks nætter i denne syv dages periode. sad de og led sammen i tavshed.