Ayubu 16 – NEN & HTB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 16:1-22

Hotuba Ya Tano Ya Ayubu

Ayubu Anathibitisha Tena Hali Yake Ya Kutokuwa Na Hatia

1Kisha Ayubu akajibu:

216:2 Ay 6:15; 13:4; Za 69:20“Nimepata kusikia mambo mengi kama haya,

nanyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha!

316:3 Ay 6:26; 11:2; 18:2Je, maneno yenu mengi yasiyo na maana hayana mwisho?

Mna nini hata mwendelee kushindana kwa maneno?

416:4 Mt 27:29; Yer 18:16; Mao 2:15Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi,

kama mngekuwa katika hali yangu;

ningeweza kutoa hotuba nzuri dhidi yenu,

na kuwatikisia ninyi kichwa changu.

516:5 Ay 29:25; Mwa 37:35Lakini kinywa changu kingewatia moyo;

faraja kutoka midomoni mwangu, ingewaletea nafuu.

616:6 Ay 6:3; 7:21“Lakini kama nikisema, maumivu yangu bado hayatulizwi;

nami kama nikijizuia, wala hayaondoki.

716:7 Amu 8:5; Ay 7:3; 1:19Ee Mungu, hakika umenichakaza;

umewaangamiza kabisa watu wa nyumbani mwangu wote.

816:8 Mao 5:17; Ay 10:17; 17:7; 19:20; Za 22:17; 88:9; 6:7Umenikunjakunja, nalo limekuwa ushahidi;

nako kukonda kwangu kumeongezeka sana na kushuhudia dhidi yangu.

916:9 Ay 12:14; 13:24; Mao 2:16; Mdo 7:54; Hos 6:1; Ay 30:21; 9:5; 18:4; 19:11Mungu amenishambulia na kunirarua katika hasira yake,

na kunisagia meno yake;

adui yangu hunikazia macho yake makali.

1016:10 Za 22:13; Mao 3:30; Mdo 7:57; 23:2; Za 27:3; Mik 5:1Watu wamenifumbulia vinywa vyao kunidhihaki;

hunipiga shavuni mwangu kwa dharau,

na kuungana pamoja dhidi yangu.

1116:11 Ay 9:24Mungu amenigeuzia kwa watu wabaya,

na kunitupa katika makucha ya waovu.

1216:12 Ay 9:17; 6:4; Mao 3:12Mambo yote yalikuwa mazuri, lakini alinivunjavunja;

amenikamata shingo na kuniponda.

Amenifanya mimi kuwa shabaha yake;

1316:13 Mit 7:23; Mao 3:13wapiga upinde wake wananizunguka.

Bila huruma, huchoma figo zangu,

na kuimwaga nyongo yangu juu ya nchi.

1416:14 Ay 9:17; 10:3; Yoe 2:7Huniponda tena na tena;

hunishambulia kama shujaa wa vita.

1516:15 Mwa 37:34; Ay 2:8“Nimejishonea nguo ya gunia juu ya mwili wangu

nami nimekizika kipaji cha uso wangu kwenye vumbi.

1616:16 Ay 16:20; 2:7; 17:7; 30:17, 30; Isa 52:14; Za 6:6Uso wangu umekuwa mwekundu kwa kulia,

macho yangu yamepigwa na giza kuu.

1716:17 Yer 18:11; Yon 3:8Hata hivyo mikono yangu haijafanya jeuri,

na maombi yangu ni safi.

1816:18 Mwa 4:10; Ay 27:9; Isa 26:21; Za 66:18-19; Ebr 11:4“Ee nchi, usiifunike damu yangu,

nacho kilio changu kisinyamazishwe kamwe.

1916:19 Mwa 31:50; Rum 1:9; 1The 2:5; Ay 22:12; 19:27; Za 113:5; Isa 33:5Hata sasa shahidi wangu yuko mbinguni;

wakili wangu yuko juu.

2016:20 Mao 2:19; Rum 8:34; Yn 15:15; Ay 16:16Mwombezi wangu ni rafiki yangu

macho yangu yamwagapo machozi kwa Mungu;

2116:21 1Fal 8:45; Za 140:12kwa niaba ya mtu anamsihi Mungu

kama mtu anavyosihi kwa ajili ya rafiki yake.

2216:22 Ay 10:21; Mhu 12:5“Ni miaka michache tu itapita

kabla sijaenda safari ambayo sitarudi.

Het Boek

Job 16:1-22

Jobs reactie op Elifaz

1Jobs antwoord aan Elifaz luidde:

2‘Ik heb dit allemaal al eens eerder gehoord. Fijne troost geven jullie!

3Komt er dan nooit een eind aan jullie ellenlange toespraken? Wat is er aan de hand dat jullie maar niet uitgepraat raken?

4Maar misschien zou ik op dezelfde manier spreken als jullie doen, als de rollen omgekeerd waren.

5Ik zou proberen met troostende woorden te helpen en het verdriet weg te nemen.

6Maar hoe ik mijzelf nu ook verdedig, mijn verdriet blijft. Al zou ik niets zeggen, dan hielp het nog niet.

7Och God, U hebt mij zó moe gemaakt en de mensen om mij heen weggevaagd.

8U hebt mij gegrepen en vernederd, als bewijs van mijn zonden, zeggen zij. Mijn eigen ellende klaagt mij aan.

9God valt mij aan en rukt woedend aan mijn vlees, tandenknarsend kijkt Hij op mij neer met zijn doordringende ogen.

10De mensen bespotten me en lachen mij uit, minachtend slaan zij mij in mijn gezicht. Allemaal spannen ze tegen mij samen.

11En God heeft mij overgeleverd aan de goddelozen, mij in handen gespeeld van kwaadwillende mensen.

12Ik leidde een rustig leven tot Hij mijn rust wreed verstoorde. Hij greep mij in mijn nek en wierp mij op de grond om mij te verpletteren. Ik was zijn weerloze doelwit.

13Zijn boogschutters omsingelen mij en schieten hun pijlen af. Mijn nieren worden doorboord en de grond om mij heen wordt doordrenkt met gal.

14Steeds weer valt Hij mij aan en stormt op mij af als een gewapende soldaat.

15Ik zit hier in rouwkleding en met stof op mijn hoofd.

16Mijn ogen zijn rood van het huilen en over mijn oogleden ligt de schaduw van de dood.

17Toch ben ik onschuldig en is mijn gebed oprecht.

18Och aarde, neem mijn bloed niet op! Laat geen einde komen aan mijn hulpgeroep!

19Maar tegelijkertijd zit de Getuige van mijn onschuld in de hemel, mijn Advocaat bevindt zich daar in de hoge.

20Mijn vrienden bespotten mij, maar ik laat God mijn tranen zien,

21Hem smekend naar mij te luisteren, zoals een man bij zijn buurman zou aandringen.

22Want het zal niet zolang meer duren voordat ik de weg ga waarlangs ik nooit meer zal terugkeren.’