Sofari Anasema: Hatia Ya Ayubu Inastahili Adhabu
111:1 Ay 2:11Ndipo Sofari Mnaamathi akajibu:
211:2 Ay 8:2; 16:3; Mwa 41:6“Je, maneno haya yote yapite bila kujibiwa?
Je, huyu mnenaji athibitishwe kuwa na haki?
311:3 Efe 4:29; 5:4; Ay 12:4; 16:10; 17:2; 21:3Je, maneno yako ya upuzi yawafanye watu wanyamaze kimya?
Je, mtu asikukemee unapofanya dhihaka?
411:4 Ay 6:10; 9:21; 10:7; 1Pet 3:15Unamwambia Mungu, ‘Imani yangu ni kamili
nami ni safi mbele zako.’
5Aha! Laiti kwamba Mungu angesema,
kwamba angefungua midomo yake dhidi yako,
611:6 Ay 9:4; 1Kor 2:10; Mao 3:22; Ezr 9:13naye akufunulie siri za hekima,
kwa kuwa hekima ya kweli ina pande mbili.
Ujue hili: Mungu amesahau hata baadhi ya dhambi zako.
711:7 Mhu 3:11; Rum 11:33; Isa 40:28; Ay 5:9; Mt 11:27; Efe 3:8“Je, waweza kujua siri za Mungu?
Je, waweza kuyachunguza mambo yote kumhusu Mwenyezi?
811:8 Za 57:10; Isa 55:9; Efe 3:18; Mwa 15:5; Ay 22:12; 25:2; Za 57:10; 139:8; Isa 55:9; Ay 7:9; 15:13, 25; 33:13; 40:2Ni juu mno kuliko mbingu: waweza kufanya nini?
Kina chake ni kirefu kuliko kuzimu:
wewe waweza kujua nini?
911:9 Efe 3:19-20; Ay 22:12; 35:5; 36:26; 37:5, 23; Isa 40:26Kipimo chake ni kirefu kuliko dunia,
nacho ni kipana kuliko bahari.
1011:10 Ay 9:12; Ufu 3:7“Kama akija na kukufunga gerezani,
na kuitisha mahakama, ni nani awezaye kumpinga?
1111:11 Ay 10:4; 31:37; 34:11, 25; 36:7; Za 10:14Hakika anawatambua watu wadanganyifu;
naye aonapo uovu, je, haangalii?
1211:12 Mwa 12:16; 2Nya 6:36Mpumbavu aweza kuwa mwenye hekima,
endapo mtoto wa punda-mwitu atazaliwa mwanadamu.
1311:13 1Sam 7:3; Za 78:8; 88:9; Kut 9:29; Ay 5:8, 27“Hata sasa ukiutoa moyo wako kwake
na kumwinulia mikono yako,
1411:14 Yos 24:14; Za 101:4; 22:23ukiiondolea mbali ile dhambi iliyo mkononi mwako
wala usiuruhusu uovu ukae hemani mwako,
1511:15 Ay 22:26; 1Yn 3:21; 1Tim 2:8; 1Sam 2:9; Za 20:8; 37:23; 40:2; Efe 6:14; Mwa 4:7ndipo utainua uso wako bila aibu;
utasimama imara bila hofu.
1611:16 Isa 26:16; 37:3; 65:16; Eze 21:7; Yos 7:5; Za 58:7; 112:10; Ay 22:11Hakika utaisahau taabu yako,
utaikumbuka tu kama maji yaliyokwisha kupita.
1711:17 Ay 22:28; Za 37:6; Isa 58:8, 10; 62:1; Ay 17:12; Za 18:28Maisha yako yatangʼaa kuliko adhuhuri,
nalo giza litakuwa kama alfajiri.
1811:18 Mhu 5:12; Isa 11:10; Zek 3:10; Za 127:2Utakuwa salama, kwa kuwa lipo tumaini;
utatazama pande zote na kupumzika kwa salama.
1911:19 Law 26:6; Isa 45:14Utalala, wala hakuna atakayekuogofya,
naam, wengi watajipendekeza kwako.
2011:20 Kum 28:65; Yer 11:11; Amo 2:14; Ay 8:13; 17:5Bali macho ya waovu hayataona,
wokovu utawaepuka;
tarajio lao litakuwa ni hangaiko
la mtu anayekata roho.”
琐法的回答
1拿玛人琐法回答说:
2“难道滔滔不绝就无人反驳?
难道唠唠叨叨就证明有理?
3你喋喋不休,人们岂能缄默不言?
你嘲笑讥讽,岂不该有人使你羞愧?
4你自以为信仰纯全,
在上帝眼中清白。
5唯愿上帝发言,
开口驳斥你,
6告诉你智慧的奥秘,
因为真智慧深奥难懂。
要知道,上帝对你的惩罚比你该受的还轻。
7“你能测度上帝的深奥,
探索全能者的极限吗?
8那可比诸天还高,你能做什么?
那可比阴间还深,你能知道什么?
9那可比大地还宽广,
比海洋还辽阔。
10祂若来囚禁你,
开庭审判,
谁能阻拦?
11祂洞悉诡诈之人,
看见罪恶,
岂会不理?
12愚蠢人若能变得聪明,
野驴驹也可生成人样。
13“你若把心安正,
向祂举手祷告;
14你若除去自己的罪恶,
不容帐篷里有任何不义,
15就必能无愧地仰起脸,
站立得稳,无所畏惧。
16你必忘记自己的苦楚,
它从你记忆中如流水逝去。
17你的人生将比正午还光明,
生命中的黑暗也必像黎明。
18你必充满盼望,感到安稳,
你必得到保护,安然入睡。
19你睡觉时必无人惊扰,
许多人必求你施恩。
20但恶人必眼目失明,无路可逃,
他们的指望只有死亡。”