Mashahidi Waitwa Dhidi Ya Israeli
13:1 Amo 2:10; Sef 2:5Sikilizeni neno hili alilosema Bwana dhidi yenu, enyi watu wa Israeli, dhidi ya jamaa nzima niliowapandisha toka Misri:
23:2 Kut 19:6; 1Pet 4:17; Lk 12:47; Mik 2:3; Eze 9:6; Dan 9:12; Mt 11:22; Rum 2:9; Kum 7:6; Yer 14:10“Ni ninyi tu niliowachagua
kati ya jamaa zote za dunia;
kwa hiyo nitawaadhibu
kwa ajili ya dhambi zenu zote.”
3Je, watu wawili hutembea pamoja
wasipokubaliana kufanya hivyo?
43:4 Za 104:21; Hos 5:14; Isa 42:13Je, simba hunguruma katika kichaka
wakati hana mawindo?
Aweza kuvuma katika pango
wakati ambao hajakamata chochote?
5Je, ndege aweza kuanguka kwenye mtego ulio ardhini
ambapo hajategewa chambo?
Je, mtego unaweza kufyatuka toka ardhini
wakati ambapo hakuna chochote cha kunasa?
63:6 Isa 14:24-27; 31:2; 45:7; Hes 10:2; Eze 33:3; Ay 39:24; Yer 4:21Je, tarumbeta inapopigwa mjini kujulisha hatari,
watu hawatetemeki?
Mji upatwapo na maafa,
je, si Bwana amesababisha?
73:7 1Sam 3:7; Mwa 6:13; 18:17; Mit 3:32; Yn 15:15; Yer 23:22; Mit 3:32; Dan 9:22-27; Ufu 1:1, 19Hakika Bwana Mwenyezi hatafanya neno lolote
bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.
83:8 1Kor 9:16; Yn 3:1-3; Mdo 4:20; Isa 31:4; 42:13; Yer 20:9Simba amenguruma:
je, ni nani ambaye hataogopa?
Bwana Mwenyezi ametamka:
je, ni nani awezaye kukosa kutoa unabii?
93:9 Yos 13:3; 2Nya 26:6Tangazeni katika ngome za Ashdodi
na katika ngome za Misri:
“Kusanyikeni juu ya milima ya Samaria;
angalieni wingi wa wasiwasi ulio ndani yake,
na uonevu ulio miongoni mwa watu wake.”
103:10 Yer 4:22; Amo 6:12; 5:7; Mik 6:10; Hab 2:8Bwana asema: “Hawajui kutenda lililo jema,
wale ambao hujilundikia nyara
na vitu vilivyotekwa katika ngome zao.”
113:11 Amo 2:5; 6:14; 2Fal 17:6Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi:
“Adui ataizingira nchi;
ataangusha chini ngome zenu
na kuteka nyara maboma yenu.”
123:12 1Sam 17:34; Es 1:6; Amo 6:4Hili ndilo asemalo Bwana:
“Kama vile mchungaji aokoavyo kinywani mwa simba
vipande viwili tu vya mfupa wa mguu
au kipande cha sikio,
hivyo ndivyo Waisraeli watakavyookolewa,
wale wakaao Samaria
kwenye kingo za vitanda vyao,
na katika Dameski
kwenye viti vyao vya fahari.”
13“Sikia hili na ushuhudie dhidi ya nyumba ya Yakobo,” asema Bwana, Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote.
143:14 Mwa 12:8; Amo 5:5-6; Kut 27:2; Law 26:18“Siku nitakapomwadhibu Israeli kwa sababu ya dhambi zake,
nitaharibu madhabahu za Betheli;
pembe za madhabahu zitakatiliwa mbali
na kuanguka chini.
153:15 Yer 36:22; Amu 3:20; 1Fal 22:39; Hos 10:5-8; Isa 34:5; Amo 5:11; 6:11Nitabomoa nyumba ya wakati wa masika,
pamoja na nyumba ya wakati wa kiangazi;
nyumba zilizonakshiwa kwa pembe za ndovu
na majumba makubwa ya fahari yatabomolewa,”
asema Bwana.
دليل مجازات اسرائيل
1ای اسرائيل، به پيام خداوند گوش دهيد. اين پيام برای تمام قومی است كه او از سرزمين مصر بيرون آورد: 2«از ميان تمام اقوام روی زمين، من تنها شما را انتخاب كردهام. به همين دليل، وقتی گناه میكنيد، شما را تنبيه میكنم.
3«آیا دو نفر میتوانند با هم راه روند اگر دربارهٔ مسیر خود توافق نکرده باشند؟ 4تا دليلی نداشته باشم، آيا مثل شير غرش میكنم؟ شير ژيان وقتی غرش میكند نشان میدهد كه خود را برای طعمه آماده میكند. 5تله، تا پا رويش نگذارند بسته نمیشود؛ همچنين شما نيز پا روی تله گذاشتهايد. 6شيپور جنگ در شهر به صدا درآمده است! پس بترسيد؛ زيرا من كه خداوند هستم سرزمين شما را دچار مصيبت و بلا میگردانم؛ 7ولی پيش از آن بوسيلهٔ انبیا به شما هشدار خواهم داد.»
8شير غرش كرده است! از ترس بلرزيد. خداوند، خود حكم محكوميت شما را صادر كرده است و من جرأت ندارم آن را اعلام نكنم.
9ساكنان قصرهای اشدود و مصر را جمع كنيد و به آنها بگوييد: «روی کوههای سامره بنشينيد تا شاهد جنايتهای ننگين اسرائيل باشيد.»
10خداوند میفرمايد: «قوم من درستكاری را از ياد بردهاند. كاخهای آنها پر از غنايمی است كه از راه دزدی و غارت به دست آمده است. 11بنابراين، دشمن میآيد و آنها را محاصره نموده، قلعههايشان را ويران میكند و آن كاخهای مجلل را غارت مینمايد.»
12خداوند میفرمايد: «هرگاه چوپانی بخواهد گوسفندش را از چنگ شير برهاند، فقط میتواند دو ساق يا يک گوش گوسفند را از دهان شير بيرون بكشد. در سامره نيز وضعيت همينطور خواهد بود و فقط عدهٔ كمی از بنیاسرائيل كه بر تختهای مجلل نشستهاند جان به در خواهند برد.»
13خداوند، خدای قادر متعال میفرمايد: «به اين اعلاميه گوش كنيد و آن را در سراسر اسرائيل به گوش همه برسانيد. 14همان روزی كه اسرائيل را به سبب گناهانش تنبيه كنم، قربانگاههای بتها را نيز در بيتئيل نابود خواهم كرد. شاخهای قربانگاه بريده میشود و به زمين میافتد. 15كاخهای ثروتمندان را خراب خواهم كرد و خانههای زيبای ييلاقی و قشلاقی و قصرهای ساخته شده از عاج ايشان را با خاک يكسان خواهم ساخت.»