2 Yohana 1 – NEN & PEV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Yohana 1:1-13

Salamu

11:1 Mdo 11:30; 3Yn 1; Rum 16:13; 1Pet 5:13; Yn 8:32; 1Tim 2:4Mzee:

Kwa bibi mteule na watoto wake, niwapendao katika kweli, wala si mimi tu, bali na wale wote waijuayo kweli: 21:2 2Pet 1:12; Yn 14:17; 1Yn 1:8kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kukaa nasi milele:

31:3 Rum 1:7; 1Tim 1:2; 2Yn 1; 1:4; 3Yn 3, 4Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo, Mwanawe Baba, itakuwa pamoja nasi katika kweli na upendo.

Kweli Na Upendo

4Imenipa furaha kuu kuona baadhi ya watoto wako wanaenenda katika kweli, kama vile Baba alivyotuagiza. 51:5 1Yn 2:7; 3:11Sasa, bibi mpendwa, si kwamba ninakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo. Tupendane kila mmoja na mwenzake. 61:6 1Yn 2:5; Yn 14:15; 1Yn 2:7Hili ndilo pendo, kwamba tuenende sawasawa na amri zake. Hii ndiyo amri yake kama vile mlivyosikia tangu mwanzo, kwamba mwenende katika upendo.

71:7 1Yn 2:22; 4:2, 3; 4:1; 2:18Wadanganyifu wengi, wasiokubali kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili, wametokea ulimwenguni. Mtu wa namna hiyo ni mdanganyifu na mpinga Kristo. 81:8 Mt 10:42; Ebr 11:26Jihadharini msije mkapoteza kile mlichokitenda, bali mpate kupewa thawabu kamilifu. 91:9 1Yn 2:23; Yn 8:31Mtu yeyote asiyedumu katika mafundisho ya Kristo, bali akayaacha, yeye hana Mungu. Yeyote anayedumu katika mafundisho ana Baba na Mwana pia. 101:10 Rum 16:17; 2The 3:6; 1Fal 13:17; 3Yn 8Msimpokee mtu yeyote anayewajia ambaye hawaletei mafundisho haya, wala msimkaribishe nyumbani mwenu. 111:11 1Tim 5:22Yeyote amkaribishaye mtu wa namna hiyo anashiriki katika matendo maovu ya mtu huyo.

Salamu Za Mwisho

121:12 3Yn 13, 14; Yn 17:13; 1Yn 1:4Ninayo mengi ya kuwaandikia, lakini sitaki kutumia karatasi na wino. Badala yake, nataraji kuja kwenu na kuongea nanyi ana kwa ana, ili furaha yetu ipate kuwa timilifu.

131:13 1Pet 5:13; 2Yn 1Watoto wa dada yako mteule wanakusalimu. Amen.

La Parola è Vita

2 Giovanni 1:1-13

1Questa lettera è scritta da me, Giovanni, anziano della Chiesa, alla Signora eletta e ai suoi figli, che amo sinceramente, come li amano anche tutti i credenti, 2grazie alla verità che è e resterà per sempre nel nostro cuore.

3Grazia, misericordia e pace saranno con noi come doni di Dio Padre e di Gesù Cristo, Figlio suo nella verità e nellʼamore.

Attenzione ai falsi maestri!

4Mi ha fatto molto piacere aver trovato qui alcuni dei tuoi figli, e constatare che vivono seguendo la verità e obbedendo ai comandamenti di Dio.

5Ed ora, signora, voglio ricordarti il vecchio comandamento che Dio ci ha dato fin dal principio, e cioè che i cristiani devono amarsi a vicenda. 6Se amiamo Dio, vivremo secondo i suoi comandamenti; e il comandamento che Dio ci ha dato fin dal principio, è questo: vivete nellʼamore.

7State in guardia dai falsi maestri (se ne sono presentati tanti), parlo di quelli che non credono che Gesù Cristo venne sulla terra come essere umano, con un corpo come il nostro. Qualsiasi persona così è lʼingannatore e lʼanticristo. 8Badate di non essere come loro e di non perdere il premio delle vostre fatiche, ma comportatevi in modo da ricevere una piena ricompensa dal Signore. 9Chi va al di là dellʼinsegnamento di Cristo, non ha Dio. Chi, invece, sta saldo nellʼinsegnamento di Cristo, resta unito al Padre e al Figlio.

10Se qualcuno viene da voi e non crede a ciò che Cristo ha insegnato, non fatelo neppure entrare in casa! E non lo salutate. 11Se lo fate, sarete suoi complici nella sua malvagità.

12Avrei ancora tante cose da scrivervi, ma non voglio farlo per lettera, perché spero di venire a trovarvi presto e di parlarne con voi a viva voce. Così la vostra gioia sarà completa.

13Ti salutano i figli di tua sorella, eletta da Dio. Giovanni.