2 Wakorintho 9 – NEN & SNC

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Wakorintho 9:1-15

Wasaidieni Wakristo Wenzenu

19:1 1The 4:9; Mdo 24; 17; 9:13Hakuna haja yangu kuwaandikia kuhusu huduma hii itolewayo kwa ajili ya watakatifu. 29:2 2Kor 8:11-19; 7:4, 14; 8:10, 24; Mdo 18:12Kwa kuwa ninajua mlivyo na shauku ya kusaidia, nami nimekuwa nikijivuna kwa ajili ya jambo hilo kwa watu wa Makedonia, nikiwaambia kuwa ninyi wa Akaya mmekuwa tayari kutoa tangu mwaka jana na shauku yenu imewachochea wengi wao katika kutoa. 39:3 2Kor 8:23; 1Kor 16:2Lakini sasa nawatuma hawa ndugu ili kujivuna kwetu kuhusu mchango wenu kusiwe maneno matupu, bali mpate kuwa tayari kama nilivyosema mngekuwa tayari. 49:4 Rum 15:26Kwa maana kama nikija na Mmakedonia yeyote na kuwakuta hamjawa tayari, tutaona aibu kusema chochote juu yenu katika matoleo. 59:5 Flp 4:17; 2Kor 12:17-18Kwa hivyo niliona ni muhimu niwahimize hawa ndugu watangulie kuja huko kwenu kabla yangu, wafanye mipango ya hayo matoleo ya ukarimu mliyokuwa mmeahidi, ili yawe tayari kama matoleo ya hiari wala si kama ya kutozwa kwa nguvu.

Kupanda Kwa Ukarimu

69:6 Mit 11:24-25; 22:9; Gal 6:7-9Kumbukeni kwamba: Yeyote apandaye kwa uchache pia atavuna kwa uchache, naye apandaye kwa ukarimu pia atavuna kwa ukarimu. 79:7 Kut 25:2; 2Kor 8:12; Kum 15:10; Rum 12:8Kila mtu atoe kama anavyokusudia moyoni mwake, si kwa uchoyo au kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo mkunjufu. 89:8 Efe 3:20; Flp 4:19Naye Mungu aweza kuwapa kila baraka kwa wingi, ili katika mambo yote kila wakati, mwe na kila kitu mnachohitaji, ili mweze kushiriki kwa wingi katika kila kazi njema. 99:9 Mal 3:10; Za 112:9Kama ilivyoandikwa:

“Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu

akawapa maskini;

haki yake hudumu milele.”

109:10 Isa 55:10; Hos 10:12Yeye ampaye mpanzi mbegu kwa ajili ya kupanda na mkate kuwa chakula, atawapa na kuzizidisha mbegu zenu za kupanda na kuongeza mavuno ya haki yenu. 119:11 1Kor 1:5; 2Kor 1:11; 4:15Mtatajirishwa kwa kila namna ili mpate kuwa wakarimu kila wakati, na kupitia kwetu, ukarimu wenu utamletea Mungu shukrani.

129:12 2Kor 8:12; 1:11Huduma hii mnayofanya si tu kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya watakatifu, bali huzidi sana kwa shukrani nyingi apewazo Mungu. 13Kwa sababu ya huduma ambayo mmejithibitisha wenyewe, watu watamtukuza Mungu kwa ajili ya utiifu ufuatanao na ukiri wenu wa Injili ya Kristo, na kwa ukarimu wenu wa kushiriki pamoja nao na pia wengine wote. 149:14 2Kor 8:1Nao katika maombi yao kwenu mioyo yao itawaonea shauku kwa sababu ya neema ipitayo kiasi mliyopewa na Mungu. 159:15 2Kor 2:14; Rum 5:15-16Ashukuriwe Mungu kwa karama yake isiyoelezeka.

Slovo na cestu

2. Korintským 9:1-15

Bůh hodnotí štědré dárce

1Myslím, že bych se o té akci na pomoc Jeruzalémským ani nemusel tolik rozepisovat. 2Vím, že tyto věci jsou pro vás samozřejmé, a v Makedonii jsem hrdě prohlašoval, že vy jste se sbírkou začali už vloni. Právě ta vaše horlivost nakazila mnohé z nich. 3-4Teď k vám posílám tyto bratry, abych se přesvědčil, zda jsem vás nepřechválil. Jak bych potom vypadal před Makedonskými, kdyby se ukázalo, že jsem neměl pravdu? Musel bych se propadnout hanbou a vy teprve! 5Proto jsem pokládal za nutné poprosit tyto bratry, aby shromáždili všechny vaše příspěvky ještě před mým příjezdem, aby to pak nevypadalo, že jsem je přijel vymáhat. 6Pamatujte však: skoupá setba – hubená sklizeň. Bohatou úrodu sklidí ten, kdo zasévá štědře.

7Velikost svého příspěvku ať si určí každý sám, nikoho nenuťte dávat víc, než sám chce. Bůh nemá zájem o vynucené dary: miluje toho, kdo dává rád. On si může dovolit ponechat to na vás: 8vždyť od něho dostáváte nejen všechno, co sami potřebujete, ale navíc ještě tolik, abyste mohli být štědří i k jiným. 9Vždyť podle Písma Bůh nikdy nezavře svou ruku před štědrými.

10-11On, který dává rolníku chléb i zrno na setí, poskytne potřebnou setbu i vám a z její sklizně budete mít stále víc pro sebe i pro druhé. K němu pak budou směřovat vždy četnější díky, které od vás odevzdáme. 12Nejde totiž jenom o to, že se pomůže jeruzalémským křesťanům; neméně důležitá je vděčnost Bohu, která tím bude vzbuzena. 13Kdekdo bude Bohu děkovat za to, že jeho slovo milosti a záchrany našlo u vás tak bohatou odezvu. 14Budou se za vás modlit a přilnou k vám vřelým bratrským vztahem.

15Díky Bohu za Ježíše Krista, ten vzácný dar nad všechny dary!