2 Wafalme 2 – NEN & CARST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Wafalme 2:1-25

Eliya Achukuliwa Mbinguni

12:1 Mwa 5:24; 1Fal 19:16Wakati Bwana alipokuwa karibu kumchukua Eliya mbinguni kwa upepo wa kisulisuli, Eliya na Elisha walikuwa njiani wakitoka Gilgali. 22:2 Rut 1:16Eliya akamwambia Elisha, “Kaa hapa. Bwana amenituma Betheli.”

Lakini Elisha akasema, “Kwa hakika, kama Bwana aishivyo na wewe uishivyo, sitakuacha.” Kwa hiyo wakaenda Betheli pamoja.

32:3 1Sam 10:5Wana wa manabii waliokuwako huko Betheli wakamjia Elisha na kumuuliza, “Je, unajua ya kwamba Bwana atakuondolea bwana wako leo?”

Elisha akawajibu, “Ndiyo, najua, lakini msizungumze juu ya jambo hilo.”

42:4 Yos 3:16Kisha Eliya akamwambia, “Baki hapa, Elisha. Bwana amenituma Yeriko.”

Naye akajibu, “Kwa hakika kama Bwana aishivyo na wewe uishivyo, sitakuacha.” Hivyo wakaenda Yeriko.

52:5 2Fal 2:3Wana wa manabii waliokuwako huko Yeriko wakamwendea Elisha na kumuuliza, “Je, unajua ya kwamba Bwana atakuondolea bwana wako leo?”

Akawajibu, “Ndiyo, najua, lakini msizungumze juu ya jambo hilo.”

62:6 Yos 3:15Kisha Eliya akamwambia, “Kaa hapa. Bwana amenituma kwenda Yordani.”

Naye akamjibu, “Kwa hakika kama Bwana aishivyo na wewe uishivyo, sitakuacha.” Hivyo wote wawili wakaendelea pamoja.

7Wana hamsini wa manabii wakaenda na kusimama kwa mbali, kuelekea mahali ambapo Eliya na Elisha walikuwa wamesimama kando ya Mto Yordani. 82:8 Kut 14:21Eliya akachukua vazi lake, akalisokota na kupiga nalo maji. Maji yakagawanyika upande wa kuume na upande wa kushoto, nao wawili wakavuka pakavu.

92:9 Kum 21:17; Hes 11:17Walipokwisha kuvuka, Eliya akamwambia Elisha, “Niambie, nikufanyie nini kabla sijaondolewa kutoka kwako?”

Elisha akajibu, “Naomba nirithi sehemu maradufu ya roho yako.”

10Eliya akasema, “Umeomba jambo gumu. Lakini kama utaniona wakati ninapoondolewa kutoka kwako litakuwa lako. La sivyo, hautalipata.”

112:11 2Fal 6:17; Za 104:3, 4Walipokuwa wakitembea pamoja na kuzungumza, ghafula gari la moto na farasi wa moto vilitokea na kuwatenganisha wao wawili, naye Eliya akapanda mbinguni katika upepo wa kisulisuli. 122:12 2Fal 13:14; Mwa 37:29Elisha aliona hili, naye akapaza sauti, “Baba yangu! Baba yangu! Magari ya Israeli na wapanda farasi wake!” Naye Elisha hakumwona tena. Kisha akazishika nguo zake mwenyewe na kuzirarua.

13Akaliokota lile vazi lililoanguka kutoka kwa Eliya, kisha akarudi na kusimama ukingoni mwa Yordani. 142:14 1Fal 19:19Ndipo akalichukua lile vazi ambalo lilikuwa limeanguka kutoka kwa Eliya, naye akayapiga yale maji nalo. Akauliza, “Yuko wapi sasa Bwana, Mungu wa Eliya?” Elisha alipoyapiga maji, yakagawanyika kulia na kushoto, naye akavuka.

152:15 1Sam 10:5; Hes 11:17Wale wana wa manabii kutoka Yeriko waliokuwa wakitazama wakasema, “Roho wa Eliya inamkalia Elisha.” Nao wakaenda kumlaki na kusujudu hadi nchi mbele yake. 162:16 1Fal 18:12; Mdo 8:39Wakasema, “Tazama, sisi watumishi wako tunao watu hamsini wenye uwezo. Waruhusu waende kumtafuta bwana wako. Labda Roho wa Bwana amemtwaa na kumweka katika mlima fulani au bonde fulani.”

Elisha akajibu, “Hapana, msiwatume.”

172:17 Amu 3:25Lakini wakasisitiza, mpaka akaona aibu kuwakatalia. Hivyo akasema, “Watumeni.” Nao wakawatuma watu hamsini, wakamtafuta kwa siku tatu, lakini hawakumpata. 18Walipomrudia Elisha, ambaye alikuwa akingojea huko Yeriko, akawaambia, “Je, sikuwaambia msiende?”

Kuponywa Kwa Maji

19Watu wa mji wakamwambia Elisha, “Tazama, bwana wetu, mahali mji huu ulipojengwa ni pazuri, kama bwana wangu aonavyo, lakini maji yake ni mabaya, na nchi haizai.”

20Akasema, “Nileteeni bakuli mpya, mweke chumvi ndani yake.” Kwa hiyo wakamletea.

212:21 Kut 15:25; 2Fal 4:41; 6:6Kisha akaenda kwenye chemchemi na kuitupa ile chumvi ndani yake, akisema, “Hili ndilo asemalo Bwana: ‘Nimeyaponya maji haya. Kamwe hayatasababisha mauti tena wala kutozaa.’ ” 222:22 Kut 15:22Nayo yale maji yakaponywa mpaka leo, sawasawa na neno la Elisha alilokuwa amesema.

Elisha Anafanyiwa Mzaha

232:23 2Nya 30:10; Za 31:18Kutoka huko Elisha akakwea kwenda Betheli. Ikawa alipokuwa akitembea barabarani, baadhi ya vijana wakatoka mjini na kumfanyia mzaha. Wakasema, “Paa, wewe mwenye upaa! Paa, wewe mwenye upaa!” 242:24 Mwa 4:11; Kum 18:19Akageuka, akawatazama na kuwalaani kwa Jina la Bwana. Kisha dubu wawili wa kike wakatokea mwituni na kuwararua vijana arobaini na wawili miongoni mwao. 25Naye akaondoka huko, akaenda Mlima Karmeli, na kutoka huko akarudi Samaria.

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

4 Царств 2:1-25

Вознесение Ильёса

1Когда Вечный захотел вознести Ильёса на небо в вихре, Ильёс и Елисей шли из Гилгала. 2Ильёс сказал Елисею:

– Прошу, останься здесь. Вечный посылает меня в Вефиль.

Но Елисей сказал:

– Верно, как и то, что жив Вечный и жив ты сам, – я не оставлю тебя!

И они пошли в Вефиль. 3Ученики пророков из Вефиля вышли к Елисею и спросили:

– Знаешь ли ты, что Вечный возьмёт от тебя сегодня твоего господина?

– Да, я знаю, – ответил он. – Молчите.

4Ильёс сказал:

– Елисей, прошу, останься здесь. Вечный посылает меня в Иерихон.

Елисей ответил:

– Верно, как и то, что жив Вечный и жив ты сам, – я не оставлю тебя!

И они пошли в Иерихон. 5Ученики пророков из Иерихона подошли к Елисею и спросили его:

– Знаешь ли ты, что Вечный возьмёт от тебя сегодня твоего господина?

– Да, я знаю, – ответил он. – Молчите.

6Ильёс сказал ему:

– Прошу, останься здесь. Вечный посылает меня к Иордану.

Елисей ответил:

– Верно, как и то, что жив Вечный и жив ты сам, – я не оставлю тебя!

И они вместе пошли дальше. 7Пятьдесят пророческих учеников пришли и встали поодаль напротив них, когда оба они остановились у Иордана. 8Ильёс снял плащ, скатал его и ударил им по воде. Вода разомкнулась вправо и влево, и они оба переправились по сухой земле. 9Когда они переправились, Ильёс сказал Елисею:

– Скажи, что мне для тебя сделать, прежде чем я буду взят от тебя?

– Дай мне унаследовать твой дух в двойной мере, – ответил Елисей.

10– Трудного просишь, – сказал Ильёс. – Если ты увидишь, как я буду взят от тебя, то случится по-твоему, а если нет, то не случится этого.

11Когда они ещё шли и разговаривали, внезапно явились огненная колесница и огненные кони и разлучили их, и Ильёс вознёсся в вихре на небо. 12Елисей смотрел на это и кричал:

– Отец мой! Отец мой! Колесница и конница Исроила!

А когда он уже не мог его видеть, то взялся за одежду и в глубокой скорби разорвал её. 13Он подобрал плащ, который упал с Ильёса, пошёл назад и встал на берегу Иордана. 14Он взял тот упавший плащ и ударил им по воде.

– Где сейчас Вечный, Бог Ильёса? – сказал он.

Когда он ударил по воде, она разомкнулась вправо и влево, и он переправился через реку. 15Ученики пророков из Иерихона, которые видели это, сказали:

– Дух Ильёса перешёл на Елисея.

Они вышли ему навстречу и поклонились ему до земли.

16– У нас, твоих рабов, есть пятьдесят крепких мужчин, – сказали они. – Позволь, они пойдут и поищут твоего господина. Может быть, Дух Вечного подхватил его и бросил на одной из гор или в одной из долин?

– Нет, – ответил Елисей. – Не посылайте их.

17Но они настаивали, пока он не сдался и не сказал:

– Пошлите их.

И они послали пятьдесят мужчин, которые искали три дня, но не нашли Ильёса. 18Когда они вернулись к Елисею, который оставался в Иерихоне, он сказал им:

– Разве я не говорил вам не ходить?

Чудеса Елисея

19Жители города сказали Елисею:

– Господин, как ты видишь, этот город расположен хорошо, но вода тут плохая и земля бесплодна.

20– Принесите мне новую чашу, – сказал он, – и положите в неё соли.

Они принесли ему. 21Он вышел к источнику и бросил в него соль, говоря:

– Так говорит Вечный: «Я очистил эту воду. Никогда впредь не будет от неё ни смерти, ни бесплодия».

22И по сегодняшний день вода остаётся здоровой по слову, которое сказал Елисей.

23Оттуда Елисей пошёл в Вефиль. Когда он шёл по дороге, из города вышло несколько подростков, которые стали смеяться над ним:

– Иди отсюда2:23 Или: «Возносись», что вероятно было намёком на вознесение Илии (см. ст. 11)., лысый! – кричали они. – Иди отсюда, лысый!

24Он обернулся, посмотрел на них и проклял их во имя Вечного. И из леса вышли две медведицы и растерзали из них сорок два ребёнка.

25А он пошёл к горе Кармил и оттуда вернулся в Сомарию.