2 Wafalme 1 – NEN & NIRV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Wafalme 1:1-18

Hukumu Ya Bwana Juu Ya Ahazia

11:1 Mwa 19:37; 2Sam 8:2; 2Fal 3:5Baada ya kifo cha Mfalme Ahabu, nchi ya Moabu iliasi dhidi ya Israeli. 21:2 Amu 18:5; 2Fal 1:16; 8:7-10; Mt 10:25; Isa 14:29; Mk 3:22; 1Sam 5:10Basi Ahazia alikuwa ameanguka huko Samaria kutoka baraza ya chumba chake cha juu, akaumia. Hivyo akatuma wajumbe, akiwaambia, “Nendeni mkaulize kwa Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni, mkaone kama nitapona kutokana na kuumia huku.”

31:3 Mwa 16:7; 1Sam 28:8; Isa 8:19; Yer 2:10-13; Yon 2:8Lakini malaika wa Bwana akamwambia Eliya, Mtishbi, “Panda ukakutane na wajumbe wa mfalme wa Samaria, uwaulize, ‘Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ndiyo maana mnakwenda kumuuliza Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni?’ 41:4 2Fal 1:6, 16; Za 41:8; Rum 6:23; Mhu 8:13; Mit 11:19; Isa 3:11; Yak 1:15Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana, ‘Hutaondoka kwenye kitanda unachokilalia. Hakika utakufa!’ ” Hivyo Eliya akaenda.

5Wajumbe waliporudi kwa mfalme, akawauliza, “Kwa nini mmerudi?”

61:6 2Fal 1:2; Mit 14:32Wakamjibu, “Mtu fulani alikuja kukutana nasi, naye akatuambia, ‘Rudini kwa mfalme aliyewatuma na mkamwambie, “Hili ndilo asemalo Bwana: Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ndiyo maana unawatuma watu kwenda kuuliza kwa Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni? Kwa hiyo hutaondoka kwenye kitanda unachokilalia. Hakika utakufa!” ’ ”

7Mfalme akawauliza, “Alikuwa mtu wa namna gani ambaye mlikutana naye, akawaambia hili?”

81:8 Isa 3:3; Zek 13:4; Mt 3:4Wakamjibu, “Alikuwa mtu aliyekuwa na vazi la manyoya na mkanda wa ngozi kiunoni mwake.”

Mfalme akasema, “Huyo alikuwa ni Eliya, Mtishbi.”

91:9 Kut 18:25; 2Fal 6:14; Za 105:15; Amo 7:12; Mt 27:29Ndipo mfalme akamtuma mkuu mmoja wa kikosi pamoja na kikosi chake cha askari hamsini kwa nabii Eliya. Yule mkuu wa kikosi akamwendea Eliya, aliyekuwa ameketi juu ya kilima, na kumwambia, “Mtu wa Mungu, mfalme anasema, ‘Shuka chini!’ ”

101:10 Hes 11:1; 1Fal 18:38; Lk 9:54; Ufu 11:5Eliya akamjibu yule mkuu wa kikosi, “Ikiwa mimi ni mtu wa Mungu, moto na ushuke kutoka mbinguni ukuteketeze wewe na watu wako hamsini!” Ndipo moto ukashuka kutoka mbinguni na kuwateketeza yule mkuu wa kikosi pamoja na watu wake.

111:11 Isa 26:11Aliposikia hili, mfalme akatuma kwa Eliya mkuu wa kikosi mwingine na askari wake hamsini. Yule mkuu wa kikosi akamwambia Eliya, “Mtu wa Mungu, hili ndilo asemalo mfalme, ‘Shuka chini mara moja!’ ”

12Eliya akajibu, “Ikiwa mimi ni mtu wa Mungu, moto na ushuke kutoka mbinguni ukuteketeze wewe na watu wako hamsini!” Ndipo moto wa Mungu ukashuka kutoka mbinguni, ukamteketeza yeye na watu wake hamsini.

131:13 1Sam 26:21; Za 72:14; Mit 22:27; Mhu 9:3; Yer 5:3Hivyo mfalme akatuma mkuu wa kikosi wa tatu na watu wake hamsini. Huyu mkuu wa kikosi wa tatu akapanda na kupiga magoti mbele ya Eliya, akiomba, “Mtu wa Mungu, tafadhali niachie uhai wangu na uhai wa hawa watu hamsini, watumishi wako! 14Tazama, moto umeshuka kutoka mbinguni na kuwateketeza wale wakuu wa vikosi viwili vya kwanza pamoja na watu wao. Lakini sasa niachie uhai wangu!”

151:15 2Fal 1:3; Isa 57:11-12; Yer 1:17; Eze 2:6Malaika wa Bwana akamwambia Eliya, “Shuka pamoja naye, usimwogope.” Hivyo Eliya akainuka na kushuka pamoja naye kwa mfalme.

16Akamwambia mfalme, “Hili ndilo asemalo Bwana: Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli wa kumuuliza habari, ndiyo maana ukatuma wajumbe kuuliza Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni? Kwa sababu umefanya hili, kamwe hutaondoka kwenye kitanda unachokilalia. Hakika utakufa!” 171:17 2Fal 8:15-16; Yer 20:6; 28:17Hivyo akafa, sawasawa na lile neno la Bwana ambalo Eliya alikuwa amesema.

Kwa kuwa Ahazia hakuwa na mwana, Yoramu1:17 Yoramu ni namna nyingine ya kutaja jina Yehoramu. akawa mfalme baada yake katika mwaka wa pili wa Yehoramu mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda. 18Kwa matukio mengine ya utawala wa Ahazia na yale aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

New International Reader’s Version

2 Kings 1:1-18

The Lord Judges Ahaziah

1After King Ahab died, Moab refused to remain under Israel’s control. 2Ahaziah had fallen through the window of his upstairs room in Samaria. He had hurt himself. So he sent messengers to ask the god named Baal-Zebub for advice. Baal-Zebub was the god of the city of Ekron. Ahaziah said to the messengers, “Go and ask Baal-Zebub whether I will get well again.”

3But the angel of the Lord spoke to Elijah, who was from Tishbe. The angel said, “Go up to see the messengers of Ahaziah, the king of Samaria. Tell them, ‘You are on your way to ask Baal-Zebub for advice. He is the god of Ekron. Are you going there to pray to that god? Do you think there is no God in Israel?’ 4The Lord says to Ahaziah, ‘You will never leave the bed you are lying on. You can be sure that you will die!’ ” So Elijah went to see the messengers.

5They returned to the king. He asked them, “Why have you come back?”

6“A man met us on our way there,” they replied. “He said to us, ‘Go back to the king who sent you. Tell him, “The Lord says, ‘You are sending messengers to ask Baal-Zebub for advice. He is the god of Ekron. Are you going there to pray to that god? Do you think there is no God in Israel? You will never leave the bed you are lying on. You can be sure that you will die!’ ” ’ ”

7The king asked the messengers, “What kind of man came to see you? Who told you these things?”

8They replied, “He was wearing clothes made out of hair. He had a leather belt around his waist.”

The king said, “That was Elijah from Tishbe.”

9Then Ahaziah sent a captain to Elijah. The captain had his group of 50 fighting men with him. Elijah was sitting on top of a hill. The captain went up to him. He said to Elijah, “Man of God, the king says, ‘Come down!’ ”

10Elijah answered the captain, “If I’m really a man of God, may fire come down from heaven! May it burn up you and your 50 men!” Then fire came down from heaven. It burned up the captain and his men.

11After that happened, the king sent another captain to Elijah. The captain had his 50 men with him. He said to Elijah, “Man of God, the king says, ‘Come down at once!’ ”

12Elijah replied, “If I’m really a man of God, may fire come down from heaven! May it burn up you and your 50 men!” Then the fire of God came down from heaven. It burned up the captain and his 50 men.

13So the king sent a third captain with his 50 men. The captain went up to Elijah. He fell on his knees in front of him. “Man of God,” he begged, “please have respect for my life! Please have respect for the lives of these 50 men! 14Fire has come down from heaven. It has burned up the first two captains and all their men. But please have respect for my life!”

15The angel of the Lord said to Elijah, “Go down along with him. Don’t be afraid of him.” So Elijah got up and went down to the king with the captain.

16Elijah told the king, “The Lord says, ‘You have sent messengers to ask Baal-Zebub for advice. He is the god of Ekron. Did you go there to pray to that god for advice? Do you think there is no God in Israel? You will never leave the bed you are lying on. You can be sure that you will die!’ ” 17So King Ahaziah died. It happened just as the Lord had said it would. He had spoken that message through Elijah.

Ahaziah didn’t have any sons. So Joram, his younger brother, became the next king after him. It was the second year of Jehoram, the king of Judah. Jehoram was the son of Jehoshaphat. 18All the other events of Ahaziah’s rule are written down. Everything he did is written in the official records of the kings of Israel.