2 Timotheo 4 – NEN & HOF

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Timotheo 4:1-22

Maagizo Ya Mwisho

14:1 Mdo 10:42; 1Tim 5:21Nakuagiza mbele za Mungu na mbele za Kristo Yesu, atakayewahukumu watu walio hai na waliokufa wakati wa kuja kwake na ufalme wake, kwamba: 24:2 1Tim 4:13; Gal 6:6; Tit 1:13; 2:15Hubiri Neno; kuwa tayari wakati ufaao na wakati usiofaa; karipia, kemea na utie moyo kwa uvumilivu wote na kwa mafundisho mazuri. 34:3 1Tim 1:4, 10; 2Tim 3:1, 6Maana wakati utakuja watu watakapokataa kuyakubali mafundisho yenye uzima. Badala yake, ili kutimiza tamaa zao wenyewe, watajikusanyia idadi kubwa ya walimu wapate kuwaambia yale ambayo masikio yao yanayowasha yanatamani kuyasikia. 44:4 1Tim 1:4; 4:7; Tit 1:14Watakataa kusikiliza kweli na kuzigeukia hadithi za uongo. 54:5 2Tim 1:8; Mdo 21:8Kwa habari yako wewe, vumilia mateso, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiza wajibu wote wa huduma yako.

64:6 Flp 2:17; 1:23; 2Pet 1:14Kwa maana mimi sasa ni tayari kumiminwa kama sadaka ya kinywaji, nayo saa yangu ya kuondoka imetimia. 74:7 1Tim 1:18; 1Kor 9:24Nimevipiga vita vizuri, mashindano nimeyamaliza, imani nimeilinda. 84:8 Kol 1:5; 2Tim 1:12Sasa nimewekewa taji ya haki ambayo Bwana, mwamuzi wa haki, atanitunukia siku ile: wala si mimi tu, bali pia wote ambao wamengoja kwa shauku kudhihirishwa kwake.

Maelekezo Ya Binafsi

94:9 2Tim 4:21; Tit 3:12Jitahidi kuja kwangu upesi 104:10 Kol 4:14; 1Yn 2:15; Mdo 16:6kwa sababu Dema, kwa kuupenda ulimwengu, ameniacha na amekwenda Thesalonike. Kreske amekwenda Galatia na Tito amekwenda Dalmatia. 114:11 Mdo 12:12; 2Tim 1:15; Kol 4:14; Flm 24; Mdo 12:25; Kol 4:10Ni Luka peke yake aliye hapa pamoja nami. Mtafute Marko uje naye kwa sababu ananifaa sana katika huduma yangu. 124:12 Mdo 20:24; Efe 6:12; Kol 4:7; Tit 3:12Nimemtuma Tikiko huko Efeso. 134:13 Mdo 16:8Utakapokuja, niletee lile joho nililoliacha kwa Karpo huko Troa na vile vitabu vyangu, hasa vile vya ngozi.

144:14 Mdo 19:33; Za 28:4Aleksanda yule mfua chuma alinitendea ubaya mkubwa. Bwana atamlipa kwa ajili ya yale aliyotenda. 15Wewe pia ujihadhari naye kwa sababu aliyapinga sana maneno yetu.

164:16 Mdo 7:60; 2Tim 1:15Katika utetezi wangu wa mara ya kwanza, hakuna hata mmoja aliyeniunga mkono, bali kila mmoja aliniacha. Namwomba Mungu wasihesabiwe hatia kwa jambo hilo. 174:17 Mdo 23:11; 9:15Lakini Bwana alisimama upande wangu akanitia nguvu, ili kupitia kwangu lile Neno lihubiriwe kwa ukamilifu, watu wote Mataifa wapate kulisikia. Mimi niliokolewa kutoka kinywa cha simba. 184:18 Za 121:7; Rum 11:36Bwana ataniokoa katika kila shambulio baya na kunileta salama katika Ufalme wake wa mbinguni. Atukuzwe yeye milele na milele. Amen.

Salamu Za Mwisho

194:19 Mdo 18:2; Rum 16; 3; 2Tim 1:16Wasalimu Prisila4:19 Prisila kwa Kiyunani ni Priska, hivyo tafsiri nyingine zimemuita Priska. na Akila, na wote wa nyumbani kwa Onesiforo. 204:20 Mdo 19:22; 20:4Erasto alibaki Korintho. Nami nikamwacha Trofimo huko Mileto akiwa mgonjwa. 214:21 2Tim 4:9; Tit 3:12Jitahidi ufike huku kabla ya majira ya baridi. Eubulo anakusalimu, vivyo hivyo Pude, Lino, Klaudia na ndugu wote.

224:22 Gal 6:18; Flp 1:25; Kol 4:18Bwana awe pamoja na roho yako. Neema iwe pamoja nanyi. Amen.

Hoffnung für Alle

2. Timotheus 4:1-22

Letzte Anweisungen und Briefschluss

(Kapitel 4)

Der Auftrag und das Vermächtnis von Paulus

1Vor Gott und vor Jesus Christus, der über die Lebenden und die Toten Gericht halten wird, beschwöre ich dich – ja, angesichts dessen, dass er für alle Welt sichtbar kommen und seine Herrschaft antreten wird, fordere ich dich auf: 2Verkünde den Menschen Gottes Botschaft. Setz dich dafür ein, ob es den Leuten passt oder nicht! Rede ihnen ins Gewissen, weise sie zurecht, aber ermutige sie auch. Tu all das geduldig und so, wie es der Lehre unseres Glaubens entspricht.

3Denn es wird eine Zeit kommen, in der die Menschen von der gesunden Lehre nichts mehr wissen wollen. Sie werden sich nach ihrem eigenen Geschmack Lehrer aussuchen, die ihnen nur nach dem Munde reden. 4Und weil ihnen die Wahrheit nicht gefällt, folgen sie allen möglichen Legenden. 5Doch du sollst wachsam und besonnen bleiben, was auch immer geschieht! Sei bereit, für Christus zu leiden. Erfülle deine Aufgabe als Verkündiger der rettenden Botschaft, ja, predige sie unerschrocken. Führ deinen Dienst treu und gewissenhaft aus.

6Ich sage dir das, weil ich mit dem Todesurteil rechnen muss4,6 Wörtlich: Die Zeit meines Abschieds ist da. und mein Leben nun bald für Gott geopfert wird. 7Doch ich habe den guten Kampf des Glaubens gekämpft; jetzt ist das Ziel erreicht, und ich bin Gott treu geblieben. 8Nun hält der Herr für mich auch den Siegespreis bereit: Er, der gerechte Richter, wird mir am Tag des Gerichts seine Anerkennung schenken; aber nicht allein mir, sondern allen, die wie ich voller Sehnsucht auf sein Kommen warten.

Persönliche Bitten und Anliegen

9Nun bitte ich dich: Komm doch so schnell wie möglich zu mir! 10Demas hat mich im Stich gelassen und ist nach Thessalonich gereist, weil ihm die Dinge dieser Welt wichtiger waren. Kreszens ist in Galatien und Titus in Dalmatien. 11Nur Lukas ist bei mir geblieben. Wenn du kommst, bring Markus mit, denn er könnte mir hier viel helfen. 12Tychikus habe ich nach Ephesus geschickt. 13Bring mir aus Troas meinen Mantel mit, den ich bei Karpus zurückgelassen habe, ebenso die Bücher, vor allem aber die Pergamentrollen.

14Der Schmied Alexander hat mir viel Böses angetan. Er wird dafür vom Herrn die Strafe erhalten, die er verdient hat. 15Hüte dich vor ihm, denn er hat unsere Botschaft von Jesus Christus erbittert bekämpft.

16Bei meiner ersten Gerichtsverhandlung stand mir niemand bei. Alle ließen mich im Stich. Gott möge ihnen verzeihen. 17Der Herr aber half mir. Er hat mir Kraft gegeben, so dass ich selbst an diesem Ort die rettende Botschaft von Jesus verkünden konnte und Menschen aus aller Welt sie hörten. Er hat mich vor dem sicheren Tod bewahrt4,17 Wörtlich: aus dem Rachen des Löwen gerettet.. 18Auch in Zukunft wird mich der Herr vor allen bösen Angriffen schützen, bis er mich in sein himmlisches Reich aufnimmt. Ihm gebühren Lob und Ehre in alle Ewigkeit. Amen.

19Grüß bitte Priska und Aquila und alle im Haus von Onesiphorus. 20Erastus ist in Korinth geblieben, und Trophimus habe ich krank in Milet zurücklassen müssen. 21Beeil dich, dass du noch vor Beginn des Winters hier bist.

Eubulus lässt dich herzlich grüßen, ebenso Pudens, Linus, Klaudia und alle anderen Brüder und Schwestern hier.

22Unser Herr Jesus Christus sei mit dir und seine Gnade mit euch!