2 Samweli 8 – NEN & CARST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Samweli 8:1-18

Ushindi Wa Daudi

(1 Nyakati 18:1-17)

18:1 2Sam 7:9; 21:15-22; 1Nya 18:1Baada ya muda, Daudi akawashinda Wafilisti na kuwatiisha, naye akautwaa Metheg-Amma kutoka mikononi mwa Wafilisti.

28:2 Mwa 19:37; Hes 21:29; Amu 3:15; Isa 45:14; Hes 24:17; 1Sam 14:47; Za 50:8; 72:10Pia Daudi akawashinda Wamoabu. Akawafanya walale chini kwa mstari akawapima kwa urefu wa kamba. Kila alipopima urefu wa hiyo kamba mara mbili hilo kundi waliuawa na alipopima mara ya tatu aliwaacha hai. Kwa hiyo Wamoabu wakawa chini ya Daudi nao wakamletea kodi.

38:3 2Sam 10:16; 1Fal 11:23; 1Sam 14:47; Mwa 2:14; 15:18Zaidi ya hayo, Daudi akapigana na Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba, alipokwenda kurudisha tena utawala wake kwenye eneo la Mto Frati. 48:4 Mwa 49:6; Yos 11:9Daudi akateka magari yake ya vita 1,000, askari wapanda farasi 7,000 na askari 20,000 watembeao kwa miguu. Daudi akawakata wale farasi wote wakokotao magari mishipa ya miguu, isipokuwa farasi 100 hakuwakata.

58:5 Mwa 14:15; 2Sam 10:6; 1Fal 11:24; 2Fal 8:7; 14:28Waaramu wa Dameski walipokuja kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Soba, Daudi akawashambulia na kuwaua 22,000 miongoni mwao. 68:6 1Fal 20:34; 2Fal 10:19; 2Sam 3:18Daudi akaweka askari walinzi katika ufalme wa Waaramu huko Dameski, nao Waaramu wakawa watumwa wake na kumlipa ushuru. Bwana akampa Daudi ushindi kote alipokwenda.

78:7 1Fal 10:16; 14:26; 2Fal 11:10Daudi akazitwaa ngao za dhahabu zilizokuwa za maafisa wa Hadadezeri na kuzileta Yerusalemu. 88:8 Eze 47:16Kutoka miji ya Beta8:8 Beta ulikuwa mji wa Aramu-Soba ambao uliitwa Teba kwa Kiaramu; pia uliitwa Tibhathi (1Nya 18:8). na Berothai, iliyokuwa miji ya Hadadezeri, Mfalme Daudi akatwaa shaba nyingi sana.

98:9 1Fal 8:65; 2Fal 14:28; 2Nya 8:4; Lk 14:31-32Tou, mfalme wa Hamathi, aliposikia kwamba Daudi amelishinda jeshi lote la Hadadezeri, 10akamtuma mwanawe Yoramu kwa Mfalme Daudi kumsalimu na kumpongeza kwa ushindi wake katika vita dhidi ya Hadadezeri, kwa kuwa Hadadezeri alikuwa amepigana vita na Tou. Yoramu akamletea Daudi vyombo vya fedha, dhahabu na shaba.

118:11 1Fal 7:51; 15:15; 1Nya 26:26; 2Nya 5:1; 1Nya 18:11; 22:14-16; Mik 4:13; Ufu 21:24Mfalme Daudi akaviweka vifaa hivi wakfu kwa Bwana, kama vile alivyokuwa amefanya kwa fedha na dhahabu kutoka kwa mataifa yote aliyokuwa ameyashinda: 128:12 2Sam 10:14; 5:25; Hes 24:20; 1Sam 27:8yaani Edomu, Moabu, Waamoni, Wafilisti na Waamaleki. Pia akaweka wakfu nyara alizoteka kutoka kwa Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba.

138:13 2Sam 7:9; 2Fal 14:7; 1Nya 18:12; Za 60Naye Daudi akapata sifa baada ya kurudi kutoka kuwaua Waedomu 18,000 katika Bonde la Chumvi.

148:14 Hes 24:17-18; Za 108:9; Isa 34:5; 63:1; Yer 49:7; Eze 25:12; Mwa 27:29, 37-40; Za 144:10; 2Sam 22:44; Za 18:43Akaweka kambi za askari walinzi katika Edomu yote, nao Waedomu wakawa chini ya Daudi. Bwana alimpatia Daudi ushindi kila alipokwenda.

Maafisa Wa Daudi

158:15 Mwa 18:19; 1Fal 11:18; 14:8; 15:11; 22:43; 2Fal 12:2; Ay 29:14; Za 5:12; 119:121; Ebr 11:33Daudi akatawala Israeli yote, akitenda lililo haki na sawa kwa watu wake wote. 168:16 2Sam 2:13; 20:24; 1Fal 4:3; Isa 36:3, 22; 2Sam 19:13Yoabu mwana wa Seruya alikuwa jemadari wa jeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu; 178:17 1Sam 2:35; 15:24, 29; 2Sam 20:25; 1Fal 1:8; 4:4; 1Nya 6:8, 53; 16:39; 24:3; 27:17; 2Nya 13:10; Eze 40:46; 43:19; 44:15; 48:11; Mk 2:26; 1Fal 4:3; 2Fal 12:10; 19:2; 22:3; Isa 36:3; Yer 36:12Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; Seraya alikuwa mwandishi; 188:18 2Sam 20:23; 23:20; 1Fal 1:8; 2:25, 35, 46; 4:4; 1Sam 30:14; 1Nya 18:17Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa msimamizi wa Wakerethi na Wapelethi; nao wana wa Daudi walikuwa washauri wa mfalme.

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

2 Царств 8:1-18

Победы Довуда

(1 Лет. 18:1-13)

1Некоторое время спустя Довуд разбил филистимлян, покорил их и захватил их главный город8:1 Букв.: «взяли Метег-Амму». Другое толкование: «и они более не имели власти над Исроилом».. 2Ещё Довуд разбил моавитян. Он положил их на землю и отмерил их верёвкой. Каждые две верёвки были преданы смерти, а третьей была оставлена жизнь. Так моавитяне покорились Довуду и стали платить ему дань.

3Ещё Довуд разбил Ададезера, сына Рехова, царя Цовы, когда тот шёл, чтобы восстановить свою власть у реки Евфрат. 4Довуд захватил тысячу семьсот всадников и двадцать тысяч пеших воинов. Он подрезал сухожилия всем колесничным коням, оставив из них лишь сотню.

5Когда на помощь Ададезеру, царю Цовы, пришли сирийцы Дамаска, Довуд поразил из них двадцать две тысячи человек. 6Он разместил войска в сирийском царстве Дамаска, и сирийцы стали его рабами и платили ему дань. Вечный давал Довуду победу, куда бы тот ни ходил.

7Довуд взял золотые щиты, которые принадлежали приближённым Ададезера, и принёс их в Иерусалим. 8А из Теваха и Беротая, городов, принадлежавших Ададезеру, царь Довуд взял очень много бронзы.

9Когда Тоу, царь Хамата, услышал, что Довуд разбил всё войско Ададезера, 10то он послал к царю Довуду своего сына Иорама, чтобы приветствовать его и поздравить с победой над Ададезером, с которым тот вёл войну. Иорам привёз с собой изделия из серебра, золота и бронзы.

11Царь Довуд посвятил и эти изделия Вечному вместе с серебром и золотом, взятым у всех народов, которые он покорил: 12у эдомитян8:12 Или: «у сирийцев»., моавитян, аммонитян, филистимлян и амаликитян. Ещё он посвятил добычу, взятую у Ададезера, царя Цовы, сына Рехова.

13Довуд прославился после того, как перебил восемнадцать тысяч эдомитян8:13 Или: «сирийцев». в Соляной долине. 14Он разместил свои войска по всему Эдому, и все эдомитяне стали его рабами. Вечный давал Довуду победу, куда бы тот ни ходил.

Приближённые Довуда

(2 Цар. 20:23-26; 1 Лет. 18:14-17)

15Довуд правил всем Исроилом, верша суд и правду для всего своего народа. 16Иоав, сын Церуи, был начальником войска; Иосафат, сын Ахилуда, был летописцем; 17Цадок, сын Ахитува, и Ахи-Малик, сын Авиатара, были священнослужителями; Серая был писарем; 18Беная, сын Иодая, командовал керетитами и пелетитами8:18 Керетиты и пелетиты – чужеземные наёмники, которые, возможно, были царскими телохранителями. Также в 15:18; 20:7, 23., а сыновья Довуда были первыми при дворе8:18 Букв.: «священнослужителями»..