2 Samweli 4 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Samweli 4:1-12

Ish-Boshethi Auawa

14:1 2Sam 3:27; Ezr 4:4Ish-Boshethi mwana wa Sauli aliposikia kwamba Abneri amekufa huko Hebroni, akakosa ujasiri, nayo Israeli yote wakatiwa hofu kuu. 24:2 Yos 9:17; 18:25Basi mwana wa Sauli alikuwa na watu wawili waliokuwa viongozi wa vikundi vya uvamizi. Mmoja aliitwa Baana na mwingine Rekabu, waliokuwa wana wa Rimoni, Mbeerothi, kutoka kabila la Benyamini. Beerothi alihesabiwa kuwa sehemu ya Benyamini, 34:3 Neh 11:33kwa sababu watu wa Beerothi walikimbilia huko Gitaimu na wameishi huko kama wageni mpaka siku hii ya leo.

44:4 1Sam 18:1; 31:9; Law 21:18; 2Sam 9:8-12; 16:1-4; 19:24; 21:7-8; 1Nya 8:34; 9:40(Yonathani mwana wa Sauli alikuwa na mwana aliyekuwa mlemavu miguu yote miwili. Alikuwa na miaka mitano wakati habari kuhusu Sauli na Yonathani zilipofika kutoka Yezreeli. Yaya wake akambeba ili kukimbia, lakini yaya alipokuwa anaharakisha kuondoka, mtoto alianguka akawa kiwete. Jina lake aliitwa Mefiboshethi.)

54:5 2Sam 2:8; Rut 2:7Basi Rekabu na Baana, wana wa Rimoni Mbeerothi wakaenda nyumbani kwa Ish-Boshethi, nao walifika huko wakati alipokuwa kwenye mapumziko yake ya mchana. 64:6 2Sam 2:23; Amu 5:25; Za 147:14Wakaingia kwenye chumba cha ndani kana kwamba wanachukua ngano, wakamchoma Ish-Boshethi mkuki wa tumboni. Ndipo Rekabu na Baana nduguye wakatoroka.

74:7 Kum 3:17; 1Sam 17:54; 31:9; Mt 14:11Walikuwa wameingia ndani ya nyumba wakati alipokuwa amelala kitandani chumbani kwake. Baada ya kumchoma mkuki na kumuua, walikata kichwa chake. Wakiwa wamekichukua, walitembea usiku kucha kwa njia ya Araba. 84:8 2Sam 20:21; 2Fal 10:7; 1Sam 24:4; 25:29; Hes 31:3; 1Sam 23:15Wakamletea Daudi kichwa cha Ish-Boshethi huko Hebroni, wakamwambia mfalme, “Hiki hapa kichwa cha Ish-Boshethi mwana wa Sauli, adui yako, aliyejaribu kuondoa uhai wako. Siku hii ya leo Bwana amemlipia kisasi mfalme bwana wangu dhidi ya Sauli na mzao wake.”

94:9 Mwa 48:16; 1Fal 1:29; Za 31:7; 103:4; 106:10Daudi akawajibu Rekabu na Baana nduguye, wana wa Rimoni, Mbeerothi, akasema, “Hakika kama Bwana aishivyo, ambaye ameniokoa kutoka taabu zote, 104:10 2Sam 1:2-16yule mtu aliponiambia, ‘Sauli amekufa,’ akadhani ananiletea habari njema, nilimkamata, nikamuua huko Siklagi. Hiyo ndiyo zawadi niliyompa kwa ajili ya taarifa yake! 114:11 Mwa 4:10; 9:5; Za 9:12; 72:14Je, ni mara ngapi zaidi wakati watu waovu wamemuua mtu asiye na hatia akiwa ndani ya nyumba yake mwenyewe na kwenye kitanda chake mwenyewe? Je, sasa nisidai damu yake mikononi mwenu na kuwaondoa duniani?”

124:12 2Sam 1:15; 3:32Kwa hiyo Daudi akawaamuru watu wake, wakawaua. Wakakata mikono yao na miguu, na kutundika viwiliwili vyao kando ya dimbwi huko Hebroni. Lakini wakakichukua kichwa cha Ish-Boshethi na kukizika katika kaburi la Abneri huko Hebroni.

New Russian Translation

2 Царств 4:1-12

Убийство Иш-Бошета

1Когда сын Саула Иш-Бошет услышал о том, что Авнер умер в Хевроне, он пал духом, и весь Израиль охватила тревога. 2У сына Саула было два человека, которые водили воинов в набеги. Одного звали Баана, а другого Рехав. Они были сыновьями беэротянина Риммона из рода Вениамина. Беэрот считается владением Вениамина, 3потому что жители Беэрота бежали в Гиттаим и остались там чужеземцами по сегодняшний день.

4(У Ионафана, сына Саула, был сын, хромой на обе ноги. Ему было пять лет, когда из Изрееля пришла весть о Сауле и Ионафане. Его нянька схватила его и побежала, но бежала так быстро, что он упал и охромел. Его звали Мефи-Бошет4:4 В 1 Пар. 8:34; 9:40 – Мериб-Баал..)

5Итак, Рехав и Баана, сыновья беэротянина Риммона, пошли к дому Иш-Бошета и пришли туда в жаркое время дня, когда он спал во время полуденного отдыха. 6Они вошли внутрь дома, как бы для того, чтобы взять пшеницы4:6 Смысл этого места в еврейском тексте неясен., и поразили его в живот. После этого Рехав и его брат скрылись.

7(Они вошли в дом, когда он лежал на постели в своей спальне. Поразив и убив его, они отрубили ему голову и, взяв ее с собой, всю ночь шли по дороге Иорданской долины.) 8Они принесли голову Иш-Бошета к Давиду в Хеврон и сказали царю:

– Вот голова Иш-Бошета, сына Саула, твоего врага, пытавшегося лишить тебя жизни. Сегодня Господь отомстил Саулу и его потомству за моего господина царя.

9Давид ответил Рехаву и его брату Баане, сыновьям беэротянина Риммона:

– Верно, как и то, что жив Господь, Который избавил меня от всякой беды, 10когда один человек сказал мне: «Саул мертв», думая, что принес хорошую новость, я схватил его и предал его смерти в Циклаге. Вот награда, которую я дал ему за его новость! 11Что же теперь, когда разбойники убили невиновного человека в его собственном доме и на его собственной постели, неужели я не взыщу с вас за его кровь и не избавлю от вас землю!

12Давид отдал своим людям приказ, и они убили их. Они отрубили им руки и ноги, и повесили тела у пруда в Хевроне. Затем они взяли голову Иш-Бошета и погребли ее в гробнице Авнера в Хевроне.