2 Petro 1 – NEN & CRO

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Petro 1:1-21

11:1 Rum 1:1; 1Pet 1:1; Rum 3:21-26; Tit 2:13Simoni Petro, mtumishi na mtume wa Yesu Kristo:

Kwa wale ambao kwa njia ya haki ya Mungu na Mwokozi wetu Yesu Kristo mmepokea imani iliyo na thamani kama yetu:

21:2 2Pet 3:18; Rum 1:7; Flp 3:8; 2Pet 2:20; 1:3, 8Neema na amani iwe kwenu kwa wingi katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.

Wito Wa Mkristo Na Uteule

31:3 1Pet 1:5; Rum 8:28; 1The 2:12Uweza wake wa uungu umetupatia mambo yote tunayohitaji kwa ajili ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe. 41:4 2Kor 7:1; Efe 4:24; Ebr 12:10; Yak 1:27Kwa sababu hiyo, ametukirimia ahadi zake kuu na za thamani kupitia mambo haya, ili kupitia hayo mpate kuwa washiriki wa asili ya uungu, na kuokoka kutoka upotovu ulioko duniani unaosababishwa na tamaa mbaya.

51:5 Kol 2:3; 2Pet 3:18; 1Pet 3:7; Gal 5:6, 22; Yud 3Kwa sababu hii hasa, jitahidini sana katika imani yenu kuongeza wema; na katika wema, maarifa; 61:6 Mdo 24:25; Ebr 10:36; 2Pet 1:3katika maarifa, kiasi; katika kiasi, saburi; katika saburi, utauwa;1:6 Maana yake kumcha Mungu. 71:7 Rum 12:10; 1The 3:12; Gal 6:18; 1The 5:15; 1Yn 4:21katika utauwa, upendano wa ndugu; na katika upendano wa ndugu, upendo. 81:8 Yn 15:2; Kol 1:10Kwa maana haya yakiwa ndani yenu kwa wingi na kuzidi kuongezeka, yanawasaidia msikose bidii wala kutozaa matunda katika kumjua Bwana wetu Yesu Kristo. 91:9 1Yn 2:11; Mt 1:21Lakini mtu yeyote asipokuwa na mambo haya haoni mbali, na ni kipofu, naye amesahau kule kutakaswa kutoka dhambi zake za zamani.

101:10 Za 15:5; Rum 8:28; Za 15:5; 2Pet 3:17; Yud 24Kwa hiyo, ndugu zangu, fanyeni bidii zaidi kuuthibitisha wito wenu na uteule wenu. Kwa maana mkifanya hivyo, hamtajikwaa kamwe, 111:11 Za 145:13; 2Tim 4:18; 2Pet 2:20; 3:18na mtajaliwa kwa ukarimu mwingi kuingia katika ufalme wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo.

Unabii Wa Maandiko

121:12 1Yn 2:21; Flp 3:1; Yud 5; 2Yn 2Hivyo nitawakumbusha mambo haya siku zote, hata ingawa mnayajua na mmethibitishwa katika kweli mliyo nayo. 131:13 Isa 38:12; 2Kor 5:14; 2Pet 3:1; 2Kor 5:1, 4Naona ni vyema kuwakumbusha mambo haya wakati wote niwapo katika hema hili ambalo ni mwili wangu, 141:14 2Tim 4:6; Yn 13:36; 21:18, 19kwa sababu najua ya kwamba hivi karibuni nitaliweka kando, kama vile Bwana wetu Yesu Kristo alivyoliweka wazi kwangu. 151:15 Lk 9:31; Hes 22:4-20; 31:16; Kum 23:4; Yud 11; Ufu 2:14Nami nitafanya kila juhudi kuona kwamba baada ya kuondoka kwangu mtaweza kuyakumbuka mambo haya siku zote.

161:16 Mk 13:26; Hes 22:21-30; 1Kor 1:17; 2:1, 4; 2Kor 2:17; 4:2Tulipowafahamisha juu ya uweza na kuja kwa Bwana wetu Yesu Kristo, hatukufuata hadithi zilizotungwa kwa werevu, bali tulishuhudia kwa macho yetu ukuu wake. 17Alipewa heshima na utukufu kutoka kwa Mungu Baba, sauti ilipomjia katika Utukufu Mkuu, ikisema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa. Ninapendezwa naye sana.” 18Sisi wenyewe tuliisikia sauti hii ambayo ilitoka mbinguni, wakati tulipokuwa pamoja naye kwenye ule mlima mtakatifu.

191:19 Za 119:105; Ufu 22:16Nasi tunalo pia neno la hakika zaidi la unabii, ambalo mtafanya vyema mkiliangalia kwa bidii, kama vile nuru inavyongʼaa gizani, hadi kupambazuka na nyota ya asubuhi izuke mioyoni mwenu. 201:20 Rum 12:6; 2Pet 3:3Zaidi ya yote, yawapasa mjue kwamba hakuna unabii katika Maandiko uliofasiriwa kama alivyopenda nabii mwenyewe. 211:21 2Tim 3:16; 2Sam 23:2; Mdo 1:16Kwa maana unabii haukuja kamwe kwa mapenzi ya mwanadamu, bali watu walinena yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu.

Knijga O Kristu

2 Petrova 1:1-21

Petrovi pozdravi

1Šimun Petar, sluga i apostol Isusa Krista, svima koji dijelite istu dragocjenu vjeru koju smo primili od svojega Boga i Spasitelja Isusa Krista, koji nas je opravdao pred Bogom.

2Želim vam obilje milosti i mira u spoznaji Boga i našega Gospodina Isusa.

Život dostojan Božjeg poziva

3Kako sve bolje upoznajemo Isusa, njegova nam božanska snaga daruje sve što nam je potrebno za pobožan život. Pozvao nas je da budemo dionicima njegove slave i dobrote. 4Time nam je dao najveća, dragocjena obećanja. Obećao je da ćemo umaknuti pokvarenosti koja vlada u svijetu zbog požude te da ćemo biti dionicima njegove božanske naravi.

5Zato se svim silama trudite primijeniti u životu te obećane blagodati. Neka vaša vjera urodi dobrotom, a dobrota znanjem. 6Znanje će uroditi suzdržljivošću, suzdržljivost postojanošću, a postojanost pobožnošću. 7Pobožnost će donijeti ljubav prema drugim vjernicima pa ćete tako naposljetku uzrasti do Božje ljubavi. 8Imate li te vrline i napredujete li u njima, bit ćete marljivi i plodonosni u spoznaji našega Gospodina Isusa Krista. 9Ali tko nema tih vrlina, slijep je, kratkovidan: zaboravio je da ga je Bog očistio od prijašnjih grijeha.

10Zato se, draga braćo, svojski trudite dokazati da zaista pripadate onima koje je Bog pozvao i izabrao. Budete li tako činili, nikada nećete posrnuti. 11I Bog će vam širom otvoriti vrata neba da uđete u vječno kraljevstvo našega Gospodina i Spasitelja Isusa Krista.

Upućivanje na Sveto pismo

12I nadalje ću vas na to podsjećati—iako sve to već znate i čvrsto stojite u istini. 13Smatram da mi je dužnost, dokle god sam u ovomu tijelu, opominjati vas da budete budni. 14Gospodin Isus Krist kazao mi je, doduše, da ću ubrzo napustiti tijelo. 15Ali pobrinut ću se da se i nakon moje smrti sjećate toga u svakoj prilici.

16Jer nismo vam pričali lukavo izmišljene priče o tomu kako je Gospodin Isus Krist bio ovdje i o njegovoj sili, već smo bili očevici njegova veličanstva. 17Primio je slavu od Boga Oca kad se iz njegove uzvišene Slave začuo glas: “Ovo je moj ljubljeni Sin, moja radost!” 18I sami smo čuli taj glas s neba kad smo bili s njim na Svetoj gori.

19Zato proroštva smatramo još pouzdanijima. Dobro činite što ih pomnjivo proučavate jer su njihove riječi poput svjetiljke što svijetli u mraku—sve dok ne osvane dan i dok Kristovo blistavo svjetlo1:19 U grčkome: šatoru. ne zasja u vašim srcima. 20Ponajprije znajte da se nijedno proroštvo iz Svetoga pisma ne može tumačiti svojevoljno 21jer ga prorok nije izrekao svojom voljom, već od Boga nadahnut Svetim Duhom.