2 Nyakati 4 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Nyakati 4:1-22

Vifaa Vya Hekalu

(1 Wafalme 7:23-51)

14:1 Eze 43:13; Kut 27:1-2; 2Fal 16:14; 1Fal 9:25Mfalme Solomoni akatengeneza madhabahu ya shaba yenye urefu wa dhiraa ishirini,4:1 Dhiraa 20 ni sawa na mita 9. upana wa dhiraa ishirini na kimo chake dhiraa kumi.4:1 Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5. 24:2 Kut 30:18; Ufu 4:6; 15:2; 1Fal 7:23Akatengeneza Bahari ya kusubu, yenye umbo la mviringo, ya dhiraa kumi kutoka ukingo hadi ukingo na kimo cha dhiraa tano. Kamba ya urefu wa dhiraa thelathini4:2 Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5. ingeweza kuizunguka. 34:3 1Fal 7:24Chini ya huo ukingo, kulikuwa na mafahali kuizunguka, yaani mafahali kumi katika kila dhiraa moja.4:3 Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45. Hayo mafahali waliyasubu katika safu mbili yakiwa ya kitu kimoja na hiyo Bahari.

44:4 Eze 48:30-34; Ufu 21:13Bahari hiyo ilikaa juu ya mafahali kumi na wawili, mafahali watatu walielekeza nyuso zao kaskazini, watatu magharibi, watatu kusini na watatu mashariki. Bahari hiyo ilikaa juu ya hao mafahali, nazo sehemu zao za nyuma zilielekeana. 54:5 1Fal 7:26Unene wake ulikuwa nyanda nne,4:5 Nyanda nne ni sawa na sentimita 7.5. na ukingo wake ulifanana na ukingo wa kikombe, kama ua la yungiyungi iliyochanua. Iliweza kuchukua bathi 3,000.4:5 Bathi 3,000 ni sawa na lita 60,000.

64:6 Kut 30:18; 1Fal 7:26; Ebr 9:9; 4:7Kisha akatengeneza masinia kumi kwa ajili ya kuoshea vifaa, naye akayaweka matano upande wa kusini na matano upande wa kaskazini. Ndani yake ndimo walioshea vifaa vya kutumika katika sadaka za kuteketezwa, lakini ile Bahari ilikuwa ni kwa ajili ya makuhani kunawia.

74:7 Kut 25:31, 40; 1Fal 7:49Akatengeneza vinara vya taa kumi vya dhahabu kama ilivyoainishwa kwao na kuviweka hekaluni, vinara vitano upande wa kusini na vitano upande wa kaskazini.

84:8 Kut 25:23; Hes 4:14; 1Fal 7:48-49Akatengeneza meza kumi na kuziweka hekaluni, tano upande wa kusini na tano upande wa kaskazini. Pia akatengeneza mabakuli 100 ya dhahabu ya kunyunyizia.

94:9 2Fal 21:5; 2Nya 33:5Akatengeneza ukumbi wa makuhani na ukumbi mwingine mkubwa na milango yake, naye akaifunika hiyo milango kwa shaba. 10Akaweka ile Bahari upande wa kusini, kwenye pembe ya kusini mashariki ya nyumba.

114:11 1Fal 7:14Pia akatengeneza masufuria, masepetu na mabakuli ya kunyunyizia.

Kwa hiyo Huramu akakamilisha kazi katika Hekalu la Mungu kama vile Mfalme Solomoni alikuwa amemwagiza, yaani:

12zile nguzo mbili;

yale mataji mawili yaliyokuwa juu ya hizo nguzo,

zile nyavu mbili za kupamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli yaliyowekwa juu ya zile nguzo;

134:13 Yer 52:23; Wim 4:13; Kut 28:33-34; 1Fal 7:20yale makomamanga 400 kwa ajili ya hizo nyavu mbili (safu mbili za makomamanga kwa kila wavu yakipamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo);

144:14 1Fal 7:27-30vishikio pamoja na masinia yake;

15hiyo Bahari na hao mafahali kumi na wawili chini yake;

16pia hayo masufuria, masepetu, uma za nyama na vyombo vingine vyote vilivyohusiana.

Vitu vyote ambavyo Huramu-Abi alimtengenezea Mfalme Solomoni kwa ajili ya Hekalu la Bwana vilikuwa vya shaba iliyosuguliwa. 174:17 Mwa 33:17; 1Fal 7:46Mfalme aliagiza wavisubu vitu hivi kwenye kalibu za udongo wa mfinyanzi katika uwanda wa Yordani kati ya Sukothi na Sereda.4:17 Au Sarethani. 184:18 1Fal 7:23, 47Vitu hivi vyote Mfalme Solomoni alivyotengeneza vilikuwa vingi sana hivi kwamba uzito wa shaba haungekadirika.

194:19 Kut 25:23, 30; 2Fal 24:13; Dan 5:2-3; Yer 28:3; 1Nya 28:6Solomoni pia akatengeneza samani zote zilizokuwa ndani ya Hekalu la Mungu:

madhabahu ya dhahabu;

meza za kuweka mikate ya Wonyesho;

204:20 Kut 27:20-21vinara vya taa vya dhahabu safi pamoja na taa zake ili ziwake mbele ya sehemu takatifu ya ndani kama ilivyoelekezwa;

214:21 Kut 37:20; 1Fal 6:18-35; Kut 25:31maua ya dhahabu yaliyofanyizwa, taa na makoleo (vilikuwa vya dhahabu bora kabisa);

224:22 Hes 7:14; Law 10:1; 1Fal 6:21mikasi ya dhahabu safi, mabakuli ya kunyunyizia, masinia na vyetezo; milango ya dhahabu ya Hekalu: yaani milango ya ndani ya Patakatifu pa Patakatifu, na milango ya ukumbi mkuu.

New Russian Translation

2 Паралипоменон 4:1-22

Храмовые принадлежности

(3 Цар. 7:23-40)

1Он сделал бронзовый жертвенник двадцати локтей в длину, двадцати локтей в ширину и десяти локтей в высоту4:1 Около 10 м в длину и ширину и 5 м в высоту.. 2Он вылил из бронзы круглый бассейн, названный «морем», размером в десять локтей от края до края и пять локтей в высоту4:2 Около 5 и 2,5 м.. Мерная нить тридцати локтей4:2 Около 15 м. в длину окаймляла его. 3Снизу его окружали два ряда подобия быков – по десять на локоть4:3 Около 0,5 м.. Быки были отлиты с морем одним литьем.

4Море стояло на двенадцати быках, три из которых смотрели на север, три на запад, три на юг и три на восток. Море покоилось на них, а их зады были обращены внутрь, к центру. 5Море было в ладонь4:5 Около 8 см. толщиной, а его край был как край чаши, как цветок лилии. Море вмещало в себя три тысячи батов4:5 Около 66 000 л..

6Он сделал десять умывальниц и поставил пять из них на южной стороне и пять на северной. В них промывали части животных, предназначенные для всесожжения, а морем пользовались для омовений священники.

7Он сделал десять светильников по установленному образцу и поставил их в храме: пять на южной стороне и пять на северной.

8Он сделал десять столов и поставил их в храме: пять на южной стороне и пять на северной. Еще он сделал сто золотых кропильных чаш.

9Он сделал двор для священников, большой двор и двери для двора, и покрыл двери бронзой. 10Затем он поставил море на южной стороне, в юго-восточном углу дома.

11Еще он сделал горшки, лопатки и кропильные чаши.

Список утвари храма

(3 Цар. 7:40-51)

На этом Хирам завершил всю работу, которую выполнял для царя Соломона в доме Божьем. Он сделал:

12две колонны,

две чашеобразные капители для колонн,

две сетки, украшавшие чашеобразные капители,

13четыреста гранатовых плодов для двух сеток (два ряда гранатов для каждой сетки, украшавшей чашеобразные капители),

14подставки с умывальницами,

15море и двенадцать быков под ним,

16горшки, лопатки, вилки для мяса и другие принадлежности.

Вся утварь, которую Хирам-Авий сделал царю Соломону для дома Господа, была из полированной бронзы. 17Царь велел отлить ее в глиняных формах в долине Иордана между Суккотом и Цередатой4:17 Вариант названия Цартан (см. 3 Цар. 7:46).. 18Всей этой утвари, которую сделал Соломон, было так много, что вес бронзы остался неизвестным.

19Еще Соломон сделал всю утварь для Божьего дома:

золотой жертвенник,

столы для хлеба Присутствия,

20подсвечники из чистого золота со светильниками, чтобы они горели перед внутренним святилищем, как предписано,

21золотые цветы, лампады и щипцы (они были из чистого золота),

22ножницы для фитилей, кропильные чаши, блюда и сосуды для возжигания благовоний – все из чистого золота, а также золотые двери храма: внутренние двери в Святое Святых и внешние двери дома.