2 Nyakati 36 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Nyakati 36:1-23

Mfalme Yehoahazi Wa Yuda

(2 Wafalme 23:30-35)

136:1 2Fal 23:30; 2Nya 33:25Watu wa nchi wakamchukua Yehoahazi mwana wa Yosia na kumfanya mfalme mahali pa baba yake huko Yerusalemu.

2Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitatu alipoanza kutawala, akatawala huko Yerusalemu kwa miezi mitatu. 3Mfalme wa Misri akamwondoa madarakani huko Yerusalemu na akatoza Yuda kodi ya talanta 10036:3 Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.75. za fedha na talanta moja36:3 Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34. ya dhahabu. 436:4 Yer 22:10-12; Eze 19:3Mfalme wa Misri akamweka Eliakimu, nduguye Yehoahazi, kuwa mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu na kubadili jina la Eliakimu kuwa Yehoyakimu. Lakini Neko akamchukua Yehoahazi, Nduguye Eliakimu akampeleka Misri.

Yehoyakimu Mfalme Wa Yuda

(2 Wafalme 23:35–24:7)

536:5 Yer 25:1; 36:1, 27-32; 2Fal 23:36-37Yehoyakimu alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na mmoja. Akafanya maovu machoni pa Bwana Mungu wake. 636:6 Yer 25:9; Eze 29:18; 19:9; 2Fal 24:1-6; Hab 1:6-10Nebukadneza mfalme wa Babeli akamshambulia na kumfunga kwa pingu za shaba akampeleka Babeli. 736:7 2Fal 24:13; Yer 27:16Nebukadneza akachukua pia vyombo kutoka Hekalu la Bwana na kuviweka katika hekalu lake36:7 Au: katika jumba lake la kifalme. huko Babeli.

836:8 1Nya 3:16Matukio mengine ya utawala wa Yehoyakimu, machukizo aliyoyafanya na yote yaliyoonekana dhidi yake, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli na Yuda. Naye Yehoyakini mwanawe akawa mfalme baada yake.

Yehoyakini Mfalme Wa Yuda

(2 Wafalme 24:8-17)

936:9 2Fal 24:8; Yer 24:1; 27:16Yehoyakini alikuwa na miaka kumi na minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miezi mitatu na siku kumi. Akafanya yaliyo maovu machoni pa Bwana. 1036:10 Isa 52:11; Dan 5:2Mnamo majira ya vuli, Mfalme Nebukadneza akatuma watu, nao wakamleta Babeli, pamoja na vyombo vya thamani kutoka Hekalu la Bwana. Naye akamfanya Sedekia, ndugu yake Yehoyakimu kuwa mfalme wa Yuda na Yerusalemu.

Mfalme Sedekia Wa Yuda

(2 Wafalme 24:18-20; Yeremia 52:1-3)

1136:11 2Fal 24:17; Yer 39:1Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka kumi na mmoja. 1236:12 Yer 39:18; Kum 8:3; Yer 21:3-7Alifanya maovu machoni pa Bwana Mungu wake, wala hakujinyenyekeza mbele ya nabii Yeremia, ambaye alinena neno la Bwana. 1336:13 Eze 17:13; Kut 32:9; 2Fal 17:14; Neh 8:16-17; Yer 52:3; Kut 17:15Pia alimwasi Mfalme Nebukadneza, ambaye alikuwa amemwapisha kwa jina la Mungu. Akashupaza shingo na akafanya moyo wake kuwa mgumu wala hakutaka kumgeukia Bwana, Mungu wa Israeli. 1436:14 1Nya 5:25Zaidi ya hayo viongozi wote wa makuhani pamoja na watu wakazidi kukosa uaminifu zaidi na zaidi, wakafanya machukizo yote kama walivyofanya mataifa wakinajisi Hekalu la Bwana alilokuwa amelitakasa huko Yerusalemu.

Kuanguka Kwa Yerusalemu

(2 Wafalme 25:1-21; Yeremia 52:3-11)

1536:15 Hag 1:13; Yer 11:7; 44:4-6; Hos 11:8; Yer 25:3Bwana, Mungu wa baba zao, akawapelekea neno kupitia wajumbe wake tena na tena, kwa sababu alikuwa anawahurumia watu wake pamoja na mahali pa maskani yake. 1636:16 Mit 1:25-31; Mik 2:11; Yer 7:26; Dan 9:6; Lk 16:14Lakini waliwadhihaki wajumbe wa Bwana wakayadharau maneno yake na kuwacheka manabii wake mpaka ghadhabu ya Bwana ikawa kubwa dhidi ya watu wake na hakukuwa na namna ya kuituliza. 1736:17 Yer 9:21; 18:21; Mao 2:21; Eze 9:6Mungu akamwinua dhidi yao mfalme wa Wakaldayo, aliyewaua vijana wao wa kiume kwa upanga ndani ya mahali patakatifu, ambaye hakumbakiza kijana mwanaume wala kijana mwanamke, wazee wala vikongwe. Mungu akawatia wote mikononi mwa Nebukadneza. 1836:18 Yer 17:20; 2Fal 25:13Akavichukua kwenda Babeli vyombo vyote kutoka Hekalu la Mungu, vikubwa na vidogo, hazina za Hekalu la Bwana pamoja na hazina za mfalme na za maafisa wake. 1936:19 Amo 2:5; 1Fal 9:8-9; 14:13; Mao 2:6; Za 79:1-3Wakalichoma Hekalu la Mungu na kuzibomoa kuta za Yerusalemu, wakachoma moto majumba yote ya kifalme na kuharibu kila kitu chake cha thamani.

2036:20 Ezr 2:1; Neh 7:6; Yer 27:7Wale watu walionusurika kuuawa kwa upanga wakachukuliwa kwenda uhamishoni Babeli. Nao wakawa watumishi wake na wa wanawe mpaka wakati wa utawala wa ufalme wa Uajemi ulifika. 2136:21 Law 25:4; 26:34Nchi ikaendelea kufurahia pumziko lake la Sabato, wakati wote wa kufanywa kwake ukiwa ilipumzika mpaka ile miaka sabini ilipotimia katika kutimiza neno la Bwana lililonenwa na Yeremia.

Koreshi Atangaza Uhuru Kwa Waliokuwa Uhamishoni

(Ezra 1:1-4)

2236:22 Yer 29:10; Isa 44:28Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi, ili kulitimiza neno la Bwana lililosemwa na nabii Yeremia, Bwana aliusukuma moyo wa Koreshi mfalme wa Uajemi kutangaza katika himaya yake yote kwa maandishi:

23“Hili ndilo asemalo Koreshi mfalme wa Uajemi:

“ ‘Bwana, Mungu wa mbinguni, amenipa falme zote duniani, na ameniagiza kumjengea Hekalu huko Yerusalemu katika Yuda. Yeyote wa watu wake miongoni mwenu, Mungu wake na awe pamoja naye, wacha huyo mtu na apande.’ ”

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

历代志下 36:1-23

犹大王约哈斯

1犹大人在耶路撒冷约西亚的儿子约哈斯接替他父亲做王。 2约哈斯二十三岁登基,在耶路撒冷执政三个月。 3埃及王在耶路撒冷废掉他,并要求犹大埃及进贡三点四吨银子、三十四公斤金子。 4埃及王另立约哈斯的兄弟以利雅敬为王统治犹大耶路撒冷,给他改名为约雅敬,并把约哈斯带到埃及

犹大王约雅敬

5约雅敬二十五岁登基,在耶路撒冷执政十一年。他做他的上帝耶和华视为恶的事。 6巴比伦尼布甲尼撒起兵攻打他,用铜链把他锁着带到巴比伦7尼布甲尼撒把耶和华殿里的一些器皿带到巴比伦,放在他在巴比伦的王宫里36:7 王宫里”或译“神庙里”。8约雅敬其他的事及可憎行径和恶迹都记在以色列犹大的列王史上。他儿子约雅斤继位。

犹大王约雅斤

9约雅斤十八岁36:9 十八岁”希伯来文是“八岁”,七十士译本、叙利亚译本和列王纪下24:8是“十八岁”。登基,在耶路撒冷执政三个月零十天。他做耶和华视为恶的事。 10那年春天,尼布甲尼撒王派人把他和耶和华殿里的贵重器皿一同带到巴比伦尼布甲尼撒另立约雅斤的叔叔36:10 叔叔”参考列王纪下24:17西底迦犹大耶路撒冷的王。

犹大王西底迦

11西底迦二十一岁登基,在耶路撒冷执政十一年。 12他做他的上帝耶和华视为恶的事,耶利米先知向他传讲耶和华的话,他仍不肯在耶利米面前谦卑下来。

耶路撒冷沦陷

13尼布甲尼撒曾让他奉上帝的名起誓,他却背叛了尼布甲尼撒。他顽固不化,不肯归向以色列的上帝耶和华。 14所有祭司长和民众也都仿效外族人的一切可憎行径,犯了大罪,玷污了耶和华在耶路撒冷使之圣洁的殿。 15他们祖先的上帝耶和华因为怜爱祂的子民和祂的居所,就不断派使者来劝告他们。 16他们却嘲弄耶和华上帝的使者,藐视祂的话,嘲笑祂的先知,以致祂的愤怒临到祂的子民身上,无可挽救。

17耶和华使迦勒底人的王起兵攻打他们,在他们的圣殿里用刀击杀他们的壮丁,毫不怜悯少男少女、老人和年高者。耶和华把他们全部交在他的手中。 18上帝殿里的大小器皿,以及耶和华殿里、王宫里和众官员的所有珍宝,都被他带到巴比伦去了。 19迦勒底人焚烧上帝的殿,拆毁耶路撒冷的城墙,并且焚烧所有的宫殿,毁坏其中所有珍贵的器皿。 20没有被杀戮的人都被掳往巴比伦,做他和他子孙的奴隶,直到波斯帝国的时代。 21这就应验了耶和华借耶利米之口所说的话:这片土地享受了安息,它在荒凉中守安息,直到满了七十年。

塞鲁士王准许被掳之民返国

22波斯塞鲁士元年,耶和华为了应验祂借耶利米所说的话,就感动波斯塞鲁士,使他下诏通告全国: 23波斯塞鲁士如此说,‘天上的上帝耶和华已把天下万国都赐给我,祂吩咐我在犹大耶路撒冷为祂建造殿宇。你们当中凡属耶和华的子民,都可以去那里。愿你们的上帝耶和华与你们同在!’”