2 Nyakati 28 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Nyakati 28:1-27

Ahazi Mfalme Wa Yuda

(2 Wafalme 16:1-6)

128:1 2Fal 16:2; 1Nya 3:13Ahazi alikuwa na miaka ishirini alipoanza kutawala. Akatawala huko Yerusalemu kwa miaka kumi na sita. Tofauti na Daudi baba yake, hakufanya yaliyo mema machoni pa Bwana. 228:2 Kut 34:17; 2Nya 22:3; Law 19:4Akaenenda katika njia za wafalme wa Israeli, na pia akasubu sanamu kwa ajili ya kuabudu Mabaali. 328:3 Yos 15:8; 2Fal 23:10; Law 18:21; Eze 20:26; Kum 18:9; 2Nya 33:2Akatoa sadaka za kuteketezwa katika Bonde la Ben-Hinomu, na kuwatoa wanawe kafara kwa kuwateketeza kwa moto, akifuata njia za machukizo za yale mataifa Bwana aliyoyafukuza humo mbele ya Waisraeli. 4Akatoa sadaka na kufukiza uvumba katika mahali pa juu pa kuabudia miungu, juu ya vilima, na chini ya kila mti uliotanda.

528:5 Isa 7:1Kwa hiyo Bwana Mungu wake akamtia mikononi mwa mfalme wa Aramu. Waaramu wakamshinda, wakachukua watu wake wengi mateka na kuwaleta mpaka Dameski.

Tena alitiwa mikononi mwa mfalme wa Israeli, ambaye aliwaua watu wake wengi. 628:6 2Fal 15:25-27; Isa 11:13; Yer 2:19Kwa siku moja Peka mwana wa Remalia aliwaua askari 120,000 katika Yuda, kwa kuwa Yuda walikuwa wamemwacha Bwana, Mungu wa baba zao. 7Zikri, askari shujaa Mwefraimu, akamuua Maaseya mwana wa mfalme, Azrikamu mkuu wa jumba la kifalme na Elikana aliyekuwa wa pili kwa mfalme. 828:8 Kum 28:25-41; 2Nya 11:4; 29:9Waisraeli wakawachukua mateka kutoka ndugu zao, watu wapatao 200,000 hawa wakiwa ni wanawake, watoto wa kiume na wa kike. Wakachukua pia kiasi kikubwa cha nyara, ambazo walirudi nazo Samaria.

928:9 Isa 10:6; Zek 1:15; Ezr 9:6; Ufu 18:5; Amu 3:5Lakini kulikuwako huko nabii wa Bwana aliyeitwa Odedi, akaondoka ili kukutana na jeshi liliporejea Samaria. Akawaambia, “Kwa kuwa Bwana, Mungu wa baba zenu, aliwakasirikia Yuda, aliwatia mikononi mwenu. Lakini mmewachinja kwa hasira ambayo imefika hadi mbinguni. 1028:10 Law 25:39-46; Yer 25:29Nanyi sasa mnakusudia kuwafanya wanaume na wanawake wa Yuda na Yerusalemu watumwa wenu. Lakini ninyi je, hamna pia hatia ya dhambi mliyotenda dhidi ya Bwana Mungu wenu? 1128:11 2Nya 11:4; Yak 2:13Basi nisikilizeni! Mkawarudishe mateka mliowachukua kutoka kwa ndugu zenu, kwa kuwa hasira kali ya Bwana iko juu yenu.”

12Ndipo baadhi ya viongozi katika Efraimu, yaani, Azaria mwana wa Yehohanani, Berekia mwana wa Meshilemothi, Yehizkia mwana wa Shalumu na Amasa mwana wa Hadlai, wakakubaliana na huyo nabii, hivyo wakawapinga wale waliokuwa wanawasili kutoka vitani. 1328:13 Hes 32:14; Yos 22:17Wakamwambia, “Hamna ruhusa kuwaleta hao wafungwa hapa, ama sivyo tutakuwa na hatia mbele za Bwana. Je, mnataka kuongezea dhambi yetu na hatia yetu? Kwa sababu hatia yetu tayari ni kubwa, nayo hasira kali ya Bwana iko juu ya Israeli.”

14Hivyo wale askari wakawaacha wale mateka pamoja na nyara mbele ya hao maafisa na kusanyiko lote. 1528:15 2Fal 6:22; Mit 25:21-22; Kum 34:3; Amu 1:16; Lk 6:27; Rum 12:20Kisha watu waliotajwa kwa majina wakawachukua wale mateka na kutoka zile nyara, wakachukua mavazi wakawavika wale wafungwa wote waliokuwa uchi. Wakawapatia nguo na viatu, chakula na cha kunywa, wakawapa matibabu, wote waliokuwa dhaifu miongoni mwao wakawapandisha juu ya punda, wakawaleta ndugu zao mpaka Yeriko, ndio Mji wa Mitende, kisha wakarudi Samaria.

Waashuru Wakataa Kusaidia Yuda

(2 Wafalme 16:7-9)

1628:16 2Fal 16:7; Eze 23:12; Isa 7:1-9Wakati ule, Mfalme Ahazi akatuma wajumbe kwa mfalme wa Ashuru kuomba msaada. 1728:17 Law 26:18; Isa 63:1; Eze 25:12; 2Nya 29:9Waedomu walikuwa wamekuja tena na kuwashambulia Yuda na kuchukua mateka. 18Pia Wafilisti walikuwa wameshambulia miji iliyokuwa chini ya vilima na katika miji ya Negebu ya Yuda. Nao wakawa wametwaa Beth-Shemeshi, Aiyaloni, Gederothi, Soko pamoja na vijiji vyake, Timna pamoja na vijiji vyake, Gimzo pia pamoja na vijiji vyake na kuishi humo. 1928:19 1Nya 5:25; 2Nya 21:2; Ufu 16:15Bwana aliishusha Yuda kwa sababu ya Ahazi mfalme wa Israeli, kwa kuwa alikuwa ameongeza uovu katika Yuda na kumkosea Bwana mno. 2028:20 2Fal 15:29; 1Nya 5:6; 2Fal 16:7-9; Isa 7:20Hivyo Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru akaja kumtesa badala ya kumsaidia. 21Ahazi akachukua baadhi ya vitu kutoka Hekalu la Bwana, jumba la kifalme na kutoka kwa wakuu wake na kumpa mfalme wa Ashuru kama ushuru, lakini hilo halikumsaidia.

2228:22 Yer 5:3; 15:7; 17:23Katika wakati wake wa mateso Mfalme Ahazi akazidi kukosa uaminifu kwa Bwana. 2328:23 2Nya 25:14; Isa 10:20; Yer 44:17-18Akatoa kafara kwa miungu ya Dameski, waliokuwa wamemshinda, kwa kuwa aliwaza, “Kwa kuwa miungu ya mfalme wa Aramu imewasaidia wao, nitaitolea dhabihu ili inisaidie na mimi.” Lakini haya ndiyo yaliyokuwa maangamizi yake na Israeli wote.

2428:24 2Fal 16:18; 2Nya 29:7; 30:14Ahazi akakusanya pamoja vyombo vya nyumba ya Mungu na kuvivunja vipande vipande. Akafunga milango ya Hekalu la Bwana na kusimamisha madhabahu katika kila njia panda ya barabara za Yerusalemu. 25Katika kila mji wa Yuda akajenga mahali pa juu pa kuabudia miungu ili kutolea miungu mingine kafara za kuteketezwa na kuchochea hasira ya Bwana, Mungu wa baba zake.

2628:26 2Fal 16:19-20; 2Nya 27:7-9Matukio mengine ya utawala wake na njia zake nyingine zote, tangu mwanzo hadi mwisho, zimeandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli. 2728:27 Isa 14:28-32; 2Nya 21:20; 24:25Ahazi akalala na baba zake na akazikwa katika Mji wa Yerusalemu, lakini hawakumleta kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli. Naye Hezekia mwanawe akawa mfalme baada yake.

Bibelen på hverdagsdansk

2. Krønikebog 28:1-27

Kong Ahaz af Juda

2.Kong. 16,1-20

1Ahaz var 20 år28,1 Nogle hebraiske og græske håndskrifter siger 25 år, hvilket lyder mere sandsynligt, da han ellers døde som 36-årig, og hans 25-årige søn overtog magten ifølge 29,1. gammel, da han blev konge, og han regerede i Jerusalem i 16 år. I modsætning til sin forfar David gjorde han ikke, hvad der var ret i Herrens øjne. 2Han var ikke bedre end Israels onde konger, for han støbte afgudsbilleder og dyrkede Ba’al. 3Han gik endda ud til offerstedet i Hinnoms dal for at ofre sine egne børn på bålet.28,3 Jf. Jer. 7,31 og Ez. 16,21. Derved fulgte han de afskyelige skikke, som fandtes hos de folk, Herren i sin tid jog ud af landet for at lade israelitterne bosætte sig der. 4Han bragte slagtofre og røgelsesofre til afguderne på offerstederne rundt omkring i landet, både på højene og under de store træer.

5Derfor tillod hans Gud, Herren, at den aramæiske konge besejrede ham og deporterede et stort antal judæere til Damaskus. Samtidig gjorde Israels hær et stort indhug i hans tropper. 6På en enkelt dag dræbte kong Peka af Israel 120.000 af hans dygtigste krigere, fordi de havde vendt sig fra Herren, deres fædres Gud. 7En soldat fra Efraim ved navn Zikri dræbte Ahaz’ søn Ma’aseja, hofchefen Azrikam og Elkana, der var nummer to i landets styre efter kongen. 8Den israelitiske hær tog desuden 200.000 judæiske kvinder og børn til fange og slæbte et mægtigt krigsbytte med sig til Samaria.

9Men profeten Oded, som boede i Samaria, gik den hjemvendende hær i møde uden for byen med følgende budskab: „Herren, jeres fædres Gud, ønskede at straffe Judas folk, og derfor lod han jer sejre over dem. Men I gik for langt i jeres hensynsløse nedslagtning, som råber til himlen. 10Nu vil I tilmed gøre disse mennesker fra Juda og Jerusalem til slaver. Ved I da ikke, at I selv har syndet lige så groft imod Herren, jeres Gud? 11Gør derfor som jeg siger og send fangerne hjem, så Herren ikke skal straffe jer. De hører trods alt til det samme folk som jer.”

12Oded fik støtte fra flere af Efraims ledende mænd, blandt andet Azarja, søn af Johanan; Berekja, søn af Meshillemot; Hizkija, søn af Shallum; og Amasa, søn af Hadlaj. De sagde nu til de hjemvendte krigere: 13„I må ikke bringe jeres fanger herhen! Gør I det, vil Herrens vrede ramme os. Vi har synd nok på samvittigheden i forvejen, og Herren er allerede vred på os.”

14Derfor efterlod officererne fangerne og krigsbyttet hos folkets ledere, så de kunne afgøre, hvad der skulle ske med dem. 15De fire førnævnte mænd fik til opgave at fordele tøjet fra krigsbyttet til de fanger, som manglede tøj. De gav dem også sko og noget at spise og drikke. De rensede deres sår med olivenolie og skaffede æsler til dem, der ikke kunne gå selv. Så førte de dem hen til deres landsmænd i palmebyen Jeriko, hvorefter de selv vendte tilbage til Samaria.

16-17Omkring den tid begyndte edomitterne at plyndre i Juda og tage fanger med sig tilbage. Derfor henvendte kong Ahaz sig til assyrerkongen Tiglat-Pileser for at få hans hjælp mod alle fjenderne. 18Filistrene havde nemlig også gjort indfald på de vestlige bakkeskråninger og i Negev mod syd. De havde allerede erobret byerne Bet-Shemesh, Ajjalon og Gederot samt Soko, Timna og Gimzo med omliggende landsbyer. 19Det var Herrens straf, fordi kong Ahaz så troløst havde ført folket på afveje. 20Men da assyrerkongen Tiglat-Pileser ankom, blev han til større besvær end hjælp, 21og det på trods af, at Ahaz gav ham en masse kostbarheder fra templet og paladset og fra ledernes hjem.

22Midt i ulykken blev Ahaz endnu mere utro mod Herren. 23Han begyndte at ofre til aramæernes afguder, for han tænkte, at hvis de guder kunne hjælpe aramæerne til sejr, kunne de vel også hjælpe ham! Men Ahaz tog gruelig fejl, og med sin utroskab førte han sig selv og hele sit folk i ulykke. 24Det blev ikke bedre af, at han ødelagde alt udstyret, der blev brugt ved ofringerne i templet, hvorpå han barrikaderede tempeldøren, så ingen mere kunne bringe ofre til Herren. I stedet opstillede han afgudsaltre på hvert gadehjørne i Jerusalem. 25Det samme gjorde han i resten af Judas byer, hvorved han yderligere pådrog sig Herrens vrede.

26Resten af Ahaz’ liv og virke er beskrevet i Judas og Israels kongers krønikebog. 27Da Ahaz døde, blev han begravet i Davidsbyen i Jerusalem, men ikke i det kongelige gravsted. Hans søn Hizkija blev konge efter ham.