2 Nyakati 22 – NEN & CARSA

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Nyakati 22:1-12

Ahazia Mfalme Wa Yuda

(2 Wafalme 8:25-29; 9:21-28)

122:1 2Nya 33:25; 23:20-21; 21:16-17; 26:1; 1Fal 8:24Watu wa Yerusalemu wakamfanya Ahazia, mdogo wa wote wa wana wa Yerohamu, kuwa mfalme mahali pa baba yake, kwa sababu washambuliaji wa ghafula waliokuwa wameingia kambini pamoja na Waarabu, walikuwa wamewaua wana wakubwa wote wa Yehoramu. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu mfalme wa Yuda akaanza kutawala.

222:2 1Fal 16:28; 2Fal 8:26; 2Nya 21:6Ahazia alikuwa na umri wa miaka ishirini na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala katika Yerusalemu kwa mwaka mmoja. Mama yake aliitwa Athalia, mjukuu wa Omri.

322:3 2Nya 18:1; 21:6Ahazia naye akaenenda katika njia za nyumba ya Ahabu, kwa sababu mama yake alimshawishi katika kutenda maovu. 422:4 2Nya 24:17; Mit 1:10; 19:27Akafanya yaliyo maovu machoni pa Bwana kama walivyokuwa wamefanya nyumba ya Ahabu, kwa kuwa baada ya kufa kwa baba yake nyumba ya Ahabu ndio waliokuwa washauri wake, kwa uangamivu wake. 522:5 2Nya 18:11, 34; 2Fal 8:28Pia akafuata shauri lao alipokwenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli kupigana na Hazaeli mfalme wa Aramu huko Ramoth-Gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu. 622:6 1Fal 19:15; 2Fal 9:15Hivyo akarudi Yezreeli ili apate kuuguza majeraha aliyojeruhiwa huko Ramothi22:6 Yaani Rama kwa Kiebrania. alipopigana na Hazaeli mfalme wa Aramu.

Ndipo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akashuka kwenda Yezreeli kumtazama Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu alikuwa amejeruhiwa.

722:7 Amu 14:4; 2Nya 10:15; Amo 3:6; Mdo 2:23; 2Fal 9:16; 1Fal 12:15; Za 5:10; 9:16; 1Fal 19:16Mungu alikuwa ameamuru kwamba kuanguka kwa Ahazia kungetokea atakapokwenda kumwona Yoramu. Ahazia alipowasili, wakatoka pamoja na Yoramu ili kwenda kukutana na Yehu mwana wa Nimshi, ambaye Bwana alikuwa amemtia mafuta kuangamiza nyumba ya Ahabu. 822:8 2Fal 10:13Yehu alipokuwa anatekeleza hukumu juu ya nyumba ya Ahabu, akawakuta wakuu wa Yuda na wana wa jamaa ya Ahazia waliokuwa wanamhudumia Ahazia, naye akawaua. 922:9 Amu 9:5; 2Nya 17:4; 2Fal 9:27Ndipo akaenda kumsaka Ahazia, nao watu wake wakamkamata alipokuwa amejificha huko Samaria. Akaletwa kwa Yehu, naye Yehu akamuua. Wakamzika kwani walisema, “Alikuwa mwana wa Yehoshafati, ambaye alimtafuta Bwana kwa moyo wake wote.” Hivyo hapakuwa na mtu mwenye uwezo katika nyumba ya Ahazia aliyeweza kushika ufalme.

Athalia Na Yoashi

(2 Wafalme 11:1-3)

10Wakati Athalia mamaye Ahazia alipoona kuwa mwanawe amekufa, akainuka na kuiangamiza jamaa yote ya mfalme ya nyumba ya Yuda. 1122:11 2Fal 11:2Lakini Yehosheba, binti wa Mfalme Yehoramu, akamtwaa Yoashi mwana wa Ahazia kwa siri kutoka miongoni mwa wana wa mfalme waliokuwa karibu kuuawa. Akamweka Yoashi pamoja na yaya wake ndani ya chumba cha kulala. Kwa kuwa Yehosheba, aliyekuwa binti wa Mfalme Yehoramu, na pia alikuwa mke wa kuhani Yehoyada, alikuwa dada yake Ahazia, akamficha huyo mtoto ili Athalia asimuue. 12Alibaki amefichwa pamoja nao katika Hekalu la Mungu kwa muda wa miaka sita wakati Athalia alikuwa akitawala nchi.

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

2 Летопись 22:1-12

Охозия – царь Иудеи

(4 Цар. 8:25-29; 9:14-29)

1Жители Иерусалима сделали Охозию, младшего сына Иорама, царём вместо него, потому что люди, которые ворвались вместе с арабами в лагерь, перебили всех его старших сыновей. Так над Иудеей начал царствовать Охозия, сын Иорама.

2Охозии было двадцать два года, когда он стал царём, и правил он в Иерусалиме один год. Его мать звали Аталия, она была внучкой Омри. 3Он тоже ходил путями дома Ахава, потому что мать была ему советчицей на злые дела. 4Он делал зло в глазах Вечного по примеру дома Ахава, который стал ему, на его же погибель, советником после смерти его отца. 5Это их совету он следовал, отправляясь с царём Исраила Иорамом, сыном Ахава, воевать против Хазаила, царя Сирии, под Рамот Галаадский. Сирийцы ранили Иорама, 6и он вернулся в Изреель, чтобы оправиться от ран, нанесённых ему при Рамоте в битве с Хазаилом, царём Сирии.

Тогда иудейский царь Охозия, сын Иорама, отправился в Изреель навестить Иорама, сына Ахава, потому что тот был ранен. 7Но в воле Аллаха было то, чтобы гибель Охозии произошла во время его прихода к Иораму. Когда Охозия пришёл, он вышел с Иорамом навстречу Иеву, сыну Нимши, которого Вечный помазал22:7 Посредством обряда помазания человек посвящался на определённое служение. Такого помазания удостаивались пророки, цари и священнослужители., чтобы истребить дом Ахава. 8Исполняя приговор дому Ахава, Иеву нашёл приближённых царя Иудеи и племянников Охозии, которые сопровождали Охозию, и перебил их. 9Затем он отправился на поиски Охозии, и его люди схватили Охозию, когда тот прятался в Самарии. Он был приведён к Иеву и казнён. Его удостоили похорон, потому что говорили: «Он был сыном Иосафата, который всем сердцем искал Вечного». Так из дома Охозии не осталось никого, кто был бы в силах удержать царскую власть.

Попытка Аталии истребить дом Давуда

(4 Цар. 11:1-3)

10Когда Аталия, мать Охозии, увидела, что её сын мёртв, она встала и убила всю царскую семью Иудеи. 11Но Иехошева, дочь царя Иорама, взяла Иоаша, сына Охозии, выкрала его из среды царских сыновей, которых должны были убить, и спрятала его вместе с кормилицей в спальне. Так Иехошева, дочь царя Иорама и жена священнослужителя Иодая, сестра Охозии, укрыла ребёнка от Аталии, и та не смогла его убить. 12Он прятался у них в храме Аллаха шесть лет, пока Аталия правила страной.