1 Timotheo 2 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Timotheo 2:1-15

Maagizo Kuhusu Kuabudu

12:1 Efe 6:18; Flp 4:6Awali ya yote, nasihi kwamba dua, sala, maombezi na shukrani zifanyike kwa ajili ya watu wote: 22:2 Ezr 6:10; Rum 13:1kwa ajili ya wafalme na wale wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi kwa amani na utulivu, katika uchaji wote wa Mungu na utakatifu. 32:3 Mdo 20:1; 1Tim 5:4; Lk 1:42Jambo hili ni jema, tena linapendeza machoni pa Mungu Mwokozi wetu, 42:4 Eze 18:23-32; 1Tim 4:10; 2Tim 2:25anayetaka watu wote waokolewe na wafikie kuijua kweli. 52:5 Rum 10:12; Gal 3:20Kwa maana kuna Mungu mmoja na mpatanishi mmoja kati ya Mungu na wanadamu, yaani mwanadamu Kristo Yesu, 62:6 1Kor 1:6; 1Tim 6:15aliyejitoa mwenyewe kuwa fidia kwa ajili ya wanadamu wote: jambo hili lilishuhudiwa kwa wakati wake ufaao. 72:7 2Tim 1:11; Mdo 9:15; Efe 3:7-8Nami kwa kusudi hili nimewekwa niwe mhubiri na mtume (nasema kweli katika Kristo wala sisemi uongo), mwalimu wa watu wa Mataifa katika imani na kweli.

82:8 Za 24:4; Lk 24:50Nataka kila mahali wanaume wasali wakiinua mikono mitakatifu pasipo hasira wala kugombana.

92:9 1Pet 3:3Vivyo hivyo nataka wanawake wajipambe kwa adabu na kwa heshima katika mavazi yanayostahili, si kwa kusuka nywele, kuvalia dhahabu, lulu au mavazi ya gharama kubwa, 102:10 1Tim 5:10; Mit 31:13bali kwa matendo mazuri kama iwapasavyo wanawake wanaokiri kuwa wanamcha Mungu.

112:11 1Kor 14:34; 1Pet 3:3, 4Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa utiifu wote. 122:12 Efe 5:22; 1Kor 14:34; Mwa 3:16Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa kimya. 132:13 Mwa 2:7, 22; 1Kor 11:8Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Eva. 142:14 Mwa 3:1-6, 13; 2Kor 11:3Wala si Adamu aliyedanganywa, bali ni mwanamke aliyedanganywa akawa mkosaji. 152:15 1Tim 1:14Lakini mwanamke ataokolewa kwa kuzaa kwake, kama wakiendelea kudumu katika imani, upendo na utakatifu, pamoja na kuwa na kiasi.

Nueva Versión Internacional

1 Timoteo 2:1-15

Instrucciones sobre la adoración

1Así que recomiendo, ante todo, que se hagan plegarias, oraciones, súplicas y acciones de gracias por todos, 2por los reyes y por todas las autoridades, para que tengamos paz y tranquilidad, y llevemos una vida devota y digna. 3Esto es bueno y agradable a Dios nuestro Salvador, 4pues él quiere que todos sean salvos y lleguen a conocer la verdad. 5Porque hay un solo Dios y un solo mediador entre Dios y los hombres, Jesucristo hombre, 6quien dio su vida como rescate por todos. Este testimonio Dios lo ha dado a su debido tiempo, 7y para proclamarlo me nombró heraldo y apóstol. Digo la verdad y no miento: Dios me hizo maestro de los no judíos para enseñarles la verdadera fe.

8Quiero, pues, que en todas partes los hombres oren, levantando las manos al cielo con santidad, sin enojos ni contiendas.

9En cuanto a las mujeres, quiero que ellas se vistan decorosamente, con modestia y recato, sin peinados ostentosos, ni oro, ni perlas, ni vestidos costosos. 10Que se adornen más bien con buenas obras, como corresponde a mujeres que profesan servir a Dios.

11La mujer debe aprender con serenidad,2:11 con serenidad. Alt. en silencio. con toda sumisión. 12No permito que la mujer enseñe al hombre y ejerza autoridad sobre él; debe mantenerse ecuánime.2:12 debe mantenerse ecuánime. Alt. debe guardar silencio. 13Porque primero fue formado Adán, y Eva después. 14Además, no fue Adán el engañado, sino la mujer; y ella, una vez engañada, incurrió en pecado. 15Pero la mujer se salvará2:15 se salvará. Alt. será restaurada. siendo madre y si permanece con sensatez en la fe, el amor y la santidad.