1 Samweli 22 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Samweli 22:1-23

Daudi Akiwa Adulamu Na Mispa

122:1 Mwa 38:1Daudi akaondoka Gathi na kukimbilia kwenye pango la Adulamu. Ndugu zake na watu wa nyumba ya baba yake waliposikia habari hiyo, wakamwendea huko. 222:2 1Sam 23:13; 25:13; 2Sam 15:20; Amu 11:3Wale wote waliokuwa katika dhiki au waliokuwa na madeni au wale ambao hawakuridhika wakamkusanyikia Daudi, naye akawa kiongozi wao. Watu wapatao 400 walikuwa pamoja naye.

322:3 Mwa 47:11; Kut 20:12; Law 19:3; Kum 5:16; Mit 10:1; 23:24; Mt 19:19; Yn 19:25-27; Efe 6:2; 1Tim 5:4Kutoka huko Daudi akaenda Mispa huko Moabu na kumwambia mfalme wa Moabu, “Naomba uwaruhusu baba yangu na mama yangu waje kukaa nawe mpaka nijue nini Mungu atakachonifanyia.” 422:4 Mwa 19:37Hivyo akawaacha wazazi wake wakae na mfalme wa Moabu, nao wakakaa naye muda wote ambao Daudi alikuwa ngomeni.

522:5 2Sam 24:11; 1Nya 21:9; 29:29; 2Nya 29:25; 23:14Ndipo nabii Gadi akamwambia Daudi, “Usikae ngomeni. Nenda katika nchi ya Yuda.” Hivyo Daudi akaondoka na kwenda katika msitu wa Herethi.

Sauli Awaua Makuhani Wa Nobu

622:6 Amu 4:5; Mwa 21:23Basi Sauli akasikia kwamba Daudi na watu wake wameonekana. Sauli akiwa na mkuki mkononi, alikuwa ameketi chini ya mti wa mkwaju kwenye kilima huko Gibea, maafisa wake wote wakiwa wamesimama kumzunguka. 722:7 Kum 1:15; 1Sam 8:14Sauli akawaambia, “Sikilizeni enyi watu wa Benyamini! Je, mwana wa Yese atawapa ninyi nyote mashamba na mashamba ya mizabibu? Je, atawafanya ninyi nyote majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia? 822:8 1Sam 18:3; 20:16; 23:21Je, ndiyo sababu ninyi mkapanga hila mbaya dhidi yangu? Hakuna hata mmoja wenu ambaye ameniambia ni lini mwanangu alifanya agano na mwana wa Yese. Hapana hata mmoja wenu anayejishughulisha nami wala anayeniambia kwamba mwanangu amechochea mtumishi wangu kunivizia, kama afanyavyo leo.”

922:9 1Sam 21:7; 14:3; 21:1; Za 52Lakini Doegi Mwedomu, ambaye alikuwa akisimama na maafisa wa Sauli, akasema, “Nilimwona mwana wa Yese akija kwa Ahimeleki mwana wa Ahitubu huko Nobu. 1022:10 Mwa 25:22; 1Sam 23:2; 21:6; 17:51; Hes 27:21; 27:21Ahimeleki akamuuliza Bwana kwa ajili yake; pia akampa vyakula na ule upanga wa Goliathi Mfilisti.”

11Kisha mfalme akatuma watu wamwite kuhani Ahimeleki mwana wa Ahitubu, na jamaa yote ya baba yake, waliokuwa makuhani huko Nobu, nao wote wakaja kwa mfalme. 12Sauli akasema, “Sikiliza sasa, mwana wa Ahitubu.”

Akajibu, “Naam, bwana wangu.”

13Sauli akamwambia, “Kwa nini umepanga shauri baya dhidi yangu, wewe na mwana wa Yese, ukampa vyakula na upanga, tena hukumuuliza Mungu kwa ajili yake, na kwa sababu hiyo ameasi dhidi yangu na kunivizia, kama afanyavyo leo?”

1422:14 1Sam 19:4; 19:5; 20:32; 24:11; Mit 31:9Ahimeleki akamjibu mfalme, “Ni nani miongoni mwa watumishi wako wote aliye mwaminifu kama Daudi, mkwewe mfalme, kiongozi wa walinzi wako na anayeheshimika sana katika watu wa nyumbani mwako? 15Je, siku hiyo ilikuwa ndiyo ya kwanza kumwomba Mungu kwa ajili yake? La hasha! Mfalme na usiwashutumu watumishi wako wala yeyote wa jamaa ya baba yake, kwa kuwa mtumishi wako hafahamu lolote kabisa kuhusu jambo hili lote.”

1622:16 1Sam 2:31Lakini mfalme akasema, “Ahimeleki, hakika utakufa, wewe na jamaa yote ya baba yako.”

1722:17 Kut 1:17; Mdo 4:19; 5:29Ndipo mfalme akawaamuru walinzi wake waliokuwa kando yake: “Geukeni na kuwaua makuhani wa Bwana, kwa sababu nao pia wamejiunga na Daudi. Walijua kuwa alikuwa anakimbia, wala hawakuniambia.”

Lakini maafisa wa mfalme hawakuwa radhi kuinua mkono kuwaua makuhani wa Bwana.

1822:18 1Sam 4:17; 2:18; 2:31; Za 12:5; Mit 28:15; Kut 28:40Kisha mfalme akamwagiza Doegi, “Wewe geuka ukawaue makuhani.” Hivyo basi Doegi Mwedomu, akageuka na kuwaua. Siku ile aliwaua watu themanini na watano wavaao visibau vya kitani. 1922:19 1Sam 15:3; 21:1; Neh 11:32; Isa 10:32; Ay 20:19, 20; Za 10:1-18; Isa 26:13Pia akaupiga Nobu kwa upanga, mji wa makuhani, wakiwemo wanaume na wanawake, watoto wadogo na wale wanyonyao, ngʼombe wake, punda na kondoo.

2022:20 1Sam 23:6; 30:7; 2Sam 15:24; 20:25; 1Fal 1:7; 2:22, 26-27; 2Fal 4:4; 1Nya 15:11; 27:34; 1Sam 14:3; 2:32Lakini Abiathari, mwana wa Ahimeleki, mwana wa Ahitubu, akatoroka, akakimbia na kujiunga na Daudi. 21Akamwambia Daudi kuwa Sauli amewaua makuhani wa Bwana. 2222:22 1Sam 21:7Kisha Daudi akamwambia Abiathari: “Siku ile, wakati Doegi Mwedomu alipokuwa pale, nilijua atahakikisha amemwambia Sauli. Mimi ninawajibika kwa vifo vya jamaa ya baba yako yote. 2322:23 1Sam 20:1Kaa pamoja nami; usiogope. Mtu anayeutafuta uhai wako anautafuta uhai wangu pia. Ukiwa pamoja nami utakuwa salama.”

New Russian Translation

1 Царств 22:1-23

Давид находит соратников

1Давид покинул Гат и спасся в пещере Адуллама. Когда его отец и весь его дом услышали об этом, они спустились к нему. 2Все несчастные, обиженные и все должники собрались вокруг него, и он стал их вождем. С ним было около четырехсот человек. 3Оттуда Давид пошел в Мицпу, что в Моаве, и сказал царю Моава:

– Пожалуйста, позволь моим родителям прийти и побыть у вас, пока я не узнаю, что сделает для меня Бог.

4Он оставил их у царя Моава, и они оставались у него все время, пока Давид находился в том убежище. 5Но пророк Гад сказал Давиду:

– Не оставайся в убежище. Иди в землю Иудеи.

Давид ушел и пришел в Херетский лес.

Саул убивает новских священников

6Саул услышал о том, что Давид и его люди обнаружены. Он с копьем в руке сидел под тамариском на холме в Гиве, и его приближенные стояли вокруг него. 7Саул сказал им:

– Слушайте, вениамитяне! Разве сын Иессея даст вам всем поля и виноградники? Разве он сделает всех вас тысячниками и сотниками? 8Неужели поэтому вы все сговорились против меня? Никто не открыл мне, когда мой сын заключил дружеский союз с сыном Иессея. Никто из вас не пожалел меня и не открыл мне, что мой сын настроил против меня моего слугу, чтобы тот устроил мне засаду, как он и делает сегодня.

9Но эдомитянин Доэг, который стоял вместе с приближенными Саула, сказал:

– Я видел, как сын Иессея приходил к Ахимелеху, сыну Ахитува, в Нов. 10Ахимелех спрашивал для него Господа. Еще он снабдил его продовольствием и дал ему меч филистимлянина Голиафа.

11Тогда царь послал за священником Ахимелехом, сыном Ахитува, и за всей семьей его отца, члены которой были священниками в Нове, и все они пришли к царю. 12Саул сказал:

– Послушай-ка, сын Ахитува.

– Да, мой господин, – ответил тот.

13Саул сказал ему:

– Почему вы сговорились против меня, ты и сын Иессея?! Ты дал ему хлеб и меч, спрашивал для него Бога, чтобы он восстал против меня и устроил мне засаду, как он и делает сегодня.

14Ахимелех ответил царю:

– Кто из всех твоих слуг так верен тебе, как Давид, который и зять царя, и начальник над22:14 Так в некоторых древних переводах; в нормативном еврейском тексте: «обращается». твоей стражей, и высоко почитаем в твоем доме? 15Разве в тот день я в первый раз спрашивал для него Бога? Конечно, нет! Пусть царь не винит ни твоего слугу, ни кого-либо из членов семьи моего отца, ведь твой слуга совсем ничего не знает об этом деле.

16Но царь сказал:

– Ты непременно умрешь, Ахимелех, ты и вся семья твоего отца.

17И царь приказал страже, которая стояла при нем:

– Ступайте и убейте священников Господа, потому что они также примкнули к Давиду. Они знали, что он сбежал, а мне не открыли.

Но слуги царя не хотели поднять руку на священников Господа, чтобы убить их. 18Тогда царь приказал Доэгу:

– Ты ступай и умертви священников.

И эдомитянин Доэг пошел и умертвил их. В тот день он убил восемьдесят пять человек, которые носили льняной эфод. 19Затем он предал мечу Нов, город священников, вместе со всеми его мужчинами и женщинами, детьми и младенцами, волами, ослами и овцами. 20Но один из сыновей Ахимелеха, сына Ахитува, по имени Авиатар, спасся и бежал к Давиду. 21Он рассказал Давиду, что Саул убил священников Господа.

22Давид сказал Авиатару:

– Когда там был эдомитянин Доэг, я знал, что он непременно расскажет Саулу. Я в ответе за гибель всей семьи твоего отца. 23Оставайся со мной, не бойся, тот, кто охотится за твоей жизнью, охотится и за моей. У меня ты в безопасности.