1 Nyakati 5 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 5:1-26

Wana Wa Reubeni

15:1 Mwa 29:32; 35:22; 49:4; 48:16; 49:26; 48:5; 1Nya 26:10Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli (yeye alikuwa mzaliwa wa kwanza, lakini kwa kuwa alikinajisi kitanda cha baba yake, haki zake za mzaliwa wa kwanza walipewa wana wa Yosefu mwana wa Israeli. Hivyo hakuorodheshwa kwenye orodha ya ukoo wao kulingana na haki yake ya kuzaliwa. 25:2 Mwa 49:10; 49:12; Za 60:7; Mt 2:6; Mwa 25:31; Hes 2:3; 7:12; Za 108:8; 78:68-71; Yer 23:5-6; Mik 5:2Na ingawa Yuda alikuwa na nguvu zaidi ya ndugu zake wote, na mtawala alitoka kwake, haki za mzaliwa wa kwanza zilikuwa za Yosefu.) 35:3 Kut 6:19; Hes 26:5-11; 26:5; Mwa 46:9Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli walikuwa:

Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi.

4Wazao wa Yoeli walikuwa:

Shemaya mwanawe, Gogu mwanawe;

Shimei mwanawe, 5Mika mwanawe,

Reaya mwanawe, Baali mwanawe,

65:6 2Fal 16:10; 2Nya 28:20; 2Fal 15:29na Beera mwanawe, ambaye Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru alimchukua kwenda uhamishoni. Beera alikuwa kiongozi wa Wareubeni.

75:7 Mit 17; Yos 13:17Jamaa zao kulingana na koo zao, walioorodheshwa kwa kufuata koo zao kama ifuatavyo:

Yeieli aliyekuwa mkuu wao, Zekaria, 85:8 Hes 32:34; Amu 11:26; Yos 13:17Bela mwana wa Azazi, mwana wa Shema, mwana wa Yoeli. Hao waliishi katika eneo kuanzia Aroeri mpaka Nebo na Baal-Meoni. 95:9 Hes 32:26; Yos 22:9; Wim 4:1; Mik 7:14Kwa upande wa mashariki walienea hadi pembeni mwa jangwa linaloenea mpaka kwenye Mto Frati, kwa sababu mifugo yao ilikuwa imeongezeka huko Gileadi.

105:10 Mwa 25:12Wakati wa utawala wa Mfalme Sauli, walipigana vita dhidi ya Wahagari, wakaanguka kwa mikono yao, kisha wakaishi katika mahema ya Wahagari katika eneo lote la mashariki ya Gileadi.

Wana Wa Gadi

115:11 Mwa 30:11; Yos 13:24-28; Kum 3:10; Yos 13:11Wagadi waliishi jirani nao katika nchi ya Bashani, mpaka Saleka.

12Yoeli ndiye alikuwa mkuu wao, Shafamu wa pili, na wakafuata Yanai na Shafati, huko Bashani.

13Ndugu zao kulingana na koo zao walikuwa saba:

Mikaeli, Meshulamu, Sheba, Yorai, Yakani, Zia na Eberi.

14Hawa walikuwa ndio wana wa Abihaili mwana wa Huri, mwana wa Yaroa, mwana wa Gileadi, mwana wa Mikaeli, mwana wa Yeshishai, mwana wa Yahdo, mwana wa Buzi.

15Ahi mwana wa Abdieli, mwana wa Guni, alikuwa ndiye kiongozi wa jamaa yao.

165:16 Mit 18:21; 1Nya 27:31; Isa 35:2; 65:10Wagadi waliishi Gileadi, huko Bashani pamoja na vijiji vilivyoizunguka, pia katika nchi yote ya malisho ya Sharoni kote walikoenea.

175:17 2Fal 15:32; 14:23Yote haya yaliwekwa katika kumbukumbu za ukoo wao wakati wa utawala wa Yothamu, mfalme wa Yuda na Yeroboamu mfalme wa Israeli.

185:18 Hes 1:3Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase walikuwa na watu mashujaa 44,760 waliokuwa wameandaliwa kwa ajili ya vita: watu wenye nguvu, hodari wa kutumia ngao na upanga, mashujaa wa kutumia upinde, waliokuwa tayari kwa ajili ya kazi hiyo. 195:19 Mwa 28:15; 1Nya 1:31; Mwa 25:15Walipigana vita dhidi ya Wahagari, Yeturi, Nafishi na Nodabu. 205:20 Za 46:5; 54:4; 20:7-9; 2Nya 6:34; Isa 26:3; Dan 6:23; Za 9:10; Yer 17:7-8Walisaidiwa katika kupigana nao, Mungu akawatia Wahagari pamoja na wote walioungana nao mikononi mwao, kwa sababu walimlilia Mungu wakati wa vita. Alijibu maombi yao, kwa sababu walimtegemea. 21Walitwaa mifugo ya Wahagari: ngamia 50,000, kondoo 250,000, punda 2,000. Pia wakateka watu 100,000, 225:22 Kum 20:4; 2Nya 32:8; 1Nya 5:10; 2Fal 15:29na wengine wengi waliuawa kwa sababu vita vilikuwa ni vya Mungu. Nao waliendelea kuikalia nchi hiyo mpaka wakati wa uhamisho.

Nusu Ya Kabila La Manase

235:23 Kum 3:8, 9; Wim 4:8Idadi ya nusu ya kabila la Manase walikuwa wengi sana, Wakakaa kuanzia Bashani hadi Baal-Hermoni, yaani mpaka Seniri na mlima Hermoni.

24Hawa ndio waliokuwa viongozi wa jamaa za kabila hilo: Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia na Yahdieli. Walikuwa askari shujaa watu maarufu, viongozi wa jamaa zao. 255:25 2Fal 17:7; 2Nya 12:2; Kut 34; 15; Law 18:3; Yer 5:7; Kum 32:15Lakini hawakuwa waaminifu kwa Mungu wa baba zao, nao wakafanya ukahaba kwa miungu ya mataifa, ambayo Mungu alikuwa ameyaangamiza mbele yao. 265:26 Isa 37:7; 2Fal 15:19; 15:29; 17:6; 18:11Kwa hiyo Mungu wa Israeli akaiamsha roho ya Pulu, mfalme wa Ashuru (ambaye pia alijulikana kama Tiglath-Pileseri), ambaye aliwachukua Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase kwenda uhamishoni. Akawapeleka huko Hala, Habori, Hara na mto Gozani, ambako wamekaa mpaka leo.

Swedish Contemporary Bible

1 Krönikeboken 5:1-26

Rubens ättlingar

1Israels förstfödde var Ruben. (Han var den förstfödde, men eftersom han vanhelgade sin fars bädd, gavs hans förstfödslorätt i stället till Josefs, Israels sons, söner. I släktregistret nämns han därför inte som den förstfödde.

2Trots att Judas5:2 Juda var näst äldst och borde ha stått i tur, men förstfödslorätten gick över till Josefs söner, trots att Josef var näst yngst av de tolv bröderna. stam var den starkaste bland bröderna och en furste kom från den, var det Josef som fick förstfödslorätten.)

3Rubens, Israels förstföddes, söner var Henok, Pallu, Hesron och Karmi.

4Joels ättlingar var hans son Shemaja, vars son var Gog, vars son var Shimi, 5vars son var Mika, vars son var Reaja, vars son var Baal, 6vars son var Beera, som fördes bort i fångenskap av den assyriske kungen Tiglat Pileser. Han var en hövding för Rubens stam.

7Hans släktingar skrevs upp efter sina släkter i släktregistret och var: stamledaren Jeiel, Sakarja 8och Bela, son till Asas, son till Shema, son till Joel.

De bosatte sig från Aroer och ända bort till Nebo och Baal Meon. 9Österut tog de allt land i besittning ända bort till öknen vid Eufrat, därför att deras boskap i Gilead hade förökats.

10Under Sauls regering förde de krig med hagaréerna, besegrade dem och intog deras bosättningar i hela området öster om Gilead.

Gads ättlingar

11Gads ättlingar behärskade det område i Bashan som gränsade till rubeniternas, ända bort till Salka.

12Joel var deras ledare och sedan följde Shafam, Janaj och Shafat i Bashan.

13Deras släkter var, familj för familj, Mikael, Meshullam, Sheva, Joraj, Jakan, Sia och Ever, alltså sju.

14Dessa var söner till Avichajil, som var son till Huri, son till Jaroach, son till Gilead, son till Mikael, son till Jeshishaj, son till Jachdo, son till Bus.

15Achi, som var son till Avdiel och sonson till Guni, var överhuvud för deras familjer. 16Gaditerna bodde i Gilead i Bashan, med dess kringliggande byar, och på Sharons ängar så långt de sträckte sig.

17Alla dessa skrevs upp i släktregister under Juda kung Jotams och Israels kung Jerobeams tid.

18Rubens stam och gaditerna och den ena halvan av Manasses stam var vapenföra män, som kunde hantera sköld och svärd och båge, 44 760 män tränade för strid. 19De förde krig mot hagaréerna, Jetur, Nafish och Nodav. 20De fick hjälp mot dem, och hagaréerna och alla deras allierade överlämnades åt dem, eftersom de bad till Gud och han besvarade deras bön, därför att de litade på honom. 21De tog deras boskap, 50 000 kameler, 250 000 får och 2 000 åsnor och 100 000 människor. 22Många hade stupat i slaget, för Gud hade stridit mot dem. Sedan bodde de i detta område ända fram till tiden för exilen.

Manasses ättlingar

23Halva Manasses stam bosatte sig från Bashan till Baal Hermon, Senir och berget Hermon, och de var talrika.

24Dessa var deras familjeöverhuvuden: Efer, Jishi, Eliel, Asriel, Jeremia, Hodavja och Jachdiel. Alla dessa var modiga krigare och ansedda familjeöverhuvuden, 25men de var inte trogna mot sina förfäders Gud. I stället var de otrogna med de gudar som landets olika folk tillbad, de som Gud förintade åt dem. 26Därför ingav Gud kung Pul från Assyrien, också känd som Tiglat Pileser, att föra bort Rubens och Gads stammar och den ena hälften av Manasses stam. De fördes till Halach, Havor, Hara och Gosans flod, där de fortfarande finns kvar.