1 Nyakati 3 – NEN & NSP

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 3:1-24

Wana Wa Daudi

13:1 1Nya 14:3; 14:3; 28:5; Yos 15:56; 1Sam 25:42; 27:3Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni:

Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli;

wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;

23:2 1Fal 2:22wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri;

wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;

33:3 2Sam 3:5wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali;

wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.

43:4 2Sam 5:4; 1Nya 29:27; 1Sam 2:11; 5:5; 1Fal 2:11Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita.

Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu, 53:5 2Sam 11:3; 12:24; 1Nya 14:4nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu:

mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua,3:5 Sawa na Shimea; maana yake ni Mashuhuri, Maarufu. Shobabu, Nathani na Solomoni. 6Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti, 7Noga, Nefegi, Yafia, 83:8 2Sam 5:14Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa. 93:9 2Sam 13:1; 1Nya 14:4; 2Sam 14:27Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.

Wafalme Wa Yuda

103:10 1Fal 14:21-31; 15:1-8; 2Nya 12:16; 13:1; 17:1–21:3Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu,

mwanawe huyo alikuwa Abiya,

mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati,

mwanawe huyo alikuwa Asa,

113:11 2Fal 8:16-24; 2Nya 21:1; 22:1-10; 2Fal 11:1-12mwanawe huyo alikuwa Yehoramu,

mwanawe huyo alikuwa Ahazia,

mwanawe huyo alikuwa Yoashi,

123:12 2Fal 14:1-22; 2Nya 25:1-28; 27:1; Isa 1:1; 3:13; 2Nya 28:1; Isa 1:1; 2Fal 21:1-18; 2Nya 33:1mwanawe huyo alikuwa Amazia,

mwanawe huyo alikuwa Azaria,

mwanawe huyo alikuwa Yothamu,

13mwanawe huyo alikuwa Ahazi,

mwanawe huyo alikuwa Hezekia,

mwanawe huyo alikuwa Manase,

14mwanawe huyo alikuwa Amoni

na mwanawe huyo alikuwa Yosia.

153:15 2Fal 23:34; Yer 37:1; 2Fal 25:3Wana wa Yosia walikuwa:

Yohanani mzaliwa wake wa kwanza,

Yehoyakimu mwanawe wa pili,

wa tatu Sedekia,

wa nne Shalumu.

163:16 2Fal 24:6, 8; Mt 1:11; 2Fal 24:18Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni:

Yekonia mwanawe,

na Sedekia.

Ukoo Wa Kifalme Baada Ya Uhamisho

173:17 Ezr 3:2Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka:

Shealtieli mwanawe, 183:18 Ezr 1:8; 5:14; Yer 22:30Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.

193:19 Hag 2:2; Zek 4:6; Ezr 3:2Wana wa Pedaya walikuwa:

Zerubabeli na Shimei.

Wana wa Zerubabeli walikuwa:

Meshulamu na Hanania.

Shelomithi alikuwa dada yao.

20Pia walikuwepo wengine watano:

Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.

21Wazao wa Hanania walikuwa:

Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.

223:22 Ezr 8:2-3Wazao wa Shekania:

Shemaya na wanawe:

Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.

23Wana wa Nearia walikuwa:

Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.

24Wana wa Elioenai walikuwa:

Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.

New Serbian Translation

1. Књига дневника 3:1-24

Давидови потомци

1А ово су Давидови синови који су му се родили у Хеврону:

првенац Амнон, од Ахиноаме Језраелке,

други Данило од Авигеје Кармилке,

2трећи Авесалом, син Махе, ћерке Талмаја, гесурског цара,

четврти Адонија, син Агитин,

3пети Сефатија од Авитале,

шести Итрам од његове жене Егле.

4Ових шест му се родило у Хеврону, где је царевао седам година и шест месеци.

Тридесет три године је царевао у Јерусалиму. 5Ови су му се родили у Јерусалиму:

Шима, Совав, Натан и Соломон, четири од Витсавеје, Амилове ћерке; 6Јевар, Елисама и Елифелет, 7Нога, Нефег и Јафија, 8Елисама, Елијада и Елифелет; њих девет. 9Све су ово били Давидови синови, поред синова иноча. Тамара им је била сестра.

Цареви Јуде

10Соломонов син је био Ровоам,

његов син Авија,

његов син Аса,

његов син Јосафат,

11његов син Јорам,

а његов син Охозија,

његов син Јоас,

12његов син Амасија,

његов син Азарија,

његов син Јотам,

13његов син Ахаз,

његов син Језекија,

његов син Манасија,

14његов син Амон,

његов син Јосија.

15Јосијини синови:

првенац Јоанан,

други Јоаким,

трећи Седекија,

четврти Салум.

16Синови Јоакимови:

његов син Јехонија,

и његов син Седекија.

Наследници престола након изгнанства

17Синови сужња Јехоније:

његов син Салатило. 18Његови синови: Малхирам, Федаја, Сенасар, Јекамија, Осама и Недавија.

19Федајини синови:

Зоровавељ и Семај.

Зоровавељеви синови:

Месулам, Хананија,

и њихова сестра Селомита.

20Месуламови синови:

Асува, Оило, Варахија, Асадија и Јусавесед; њих пет.

21Хананијини синови:

Фелатија и Исаија, и синови Рефаје, Арнана, Овадије и Сеханије.

22Сеханијини синови:

Семаја, и његови синови:

Хатуш, Игал, Варија, Неарија и Сафат; њих шест.

23Неаријини синови:

Елиоинај, Језекија и Азрикам; њих три.

24Елиоинајеви синови:

Одавија, Елијасив, Фелаја, Акув, Јоанан, Далаја и Анан; њих седам.