1 Nyakati 17 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 17:1-27

Ahadi Ya Mungu Kwa Daudi

(2 Samweli 7:1-17)

117:1 Mdo 7:46; 1Nya 15:1Baada ya Daudi kuingia rasmi katika jumba lake la kifalme, akamwambia nabii Nathani, “Hebu tazama, mimi ninakaa kwenye nyumba nzuri iliyojengwa kwa mierezi, wakati Sanduku la Agano la Bwana liko ndani ya hema.”

217:2 1Nya 22:7; 2Nya 6:7Nathani akamjibu Daudi, “Lolote ulilo nalo moyoni mwako litende, kwa maana Mungu yu pamoja nawe.” 3Usiku ule neno la Mungu likamjia Nathani, kusema:

417:4 1Nya 28:3“Nenda ukamwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Wewe hutanijengea mimi nyumba ili nikae humo. 517:5 2Sam 6:21; Kut 40:2; 1Fal 8:4, 16Mimi sijakaa ndani ya nyumba tangu siku ile niliyowatoa Israeli kutoka Misri mpaka leo. Nimehama kutoka hema moja hadi jingine na kutoka mahali pamoja hadi pengine. 6Je, popote nilipokwenda pamoja na Waisraeli wote, wakati wowote nilimwambia kiongozi yeyote niliyemwagiza kuwachunga watu wangu, kwa nini hujanijengea nyumba ya mierezi?’ 

717:7 2Sam 6:21“Sasa basi, mwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: Nilikuchukua machungani na kutoka kuandama kondoo ili uwatawale watu wangu Israeli. 8Nimekuwa pamoja nawe popote ulipokwenda, nami nimekuondolea mbali adui zako wote mbele yako. Basi nitalifanya jina lako kuwa kuu kama majina ya watu walio wakuu sana duniani. 917:9 2Nya 15:2; Isa 49:17; Yer 31:12; Eze 34:14Nami nitawapatia watu wangu Israeli mahali na nitawapa ili wawe na mahali pao wenyewe pa kuishi na wasisumbuliwe tena. Watu waovu hawatawaonea tena, kama walivyofanya mwanzoni, 1017:10 Amu 2:16na ambavyo wamefanya siku zote tangu nilipowachagua viongozi kwa ajili ya watu wangu Israeli. Pia nitawatiisha adui zenu wote.

“ ‘Pamoja na hayo ninakuambia kwamba Bwana atakujengea nyumba: 11Wakati wako utakapokuwa umekwisha, nawe ukawa umekwenda kukaa na baba zako, nitamwinua mzao wako aingie mahali pako kuwa mfalme, mmoja wa wana wako mwenyewe, nami nitaufanya imara ufalme wake. 1217:12 1Fal 5:5; 2Nya 7:18; 13:5Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili yangu, nami nitakifanya imara kiti cha ufalme wake milele. 1317:13 2Kor 6:18; 2Sam 7:14-15; Ebr 1:5; Lk 1:32; 1Nya 28:6; 22:10Mimi nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu. Kamwe sitaondoa upendo wangu kwake, kama nilivyouondoa kwa yeye aliyekutangulia. 1417:14 1Fal 2:12; 2Nya 9:8; Za 132:11; Yer 33:17; Za 2:6; 89:36; Isa 9:7; Eze 37:25; Dan 2:44; 7:14-27; Mt 21:1-11; Lk 1:33; Ebr 1:8Nitamweka juu ya nyumba yangu na ufalme wangu milele; kiti chake cha enzi nitakifanya imara milele.’ ”

15Nathani akamwarifu Daudi maneno yote ya maono haya.

Maombi Ya Daudi

(2 Samweli 7:18-29)

1617:16 2Sam 7:18; 2Fal 19:14; Ay 7:14-17; Mwa 32:10; Za 144:3Ndipo Mfalme Daudi akaingia ndani, akaketi mbele za Bwana, akasema:

“Mimi ni nani, Ee Bwana Mungu, na jamaa yangu ni nini, hata umenileta mpaka hapa nilipo? 17Kana kwamba hili halitoshi machoni pako, Ee Mungu, umenena pia kuhusu siku zijazo za nyumba ya mtumishi wako. Umeniangalia kama mtu aliyetukuka kuliko watu wote, Ee Bwana Mungu.

1817:18 Za 139:1; Yn 21:17“Daudi aweza kukuambia nini zaidi kuhusu kumheshimu mtumishi wako? Kwa maana wewe unamjua mtumishi wako, 1917:19 2Sam 7:16-17, 25; 2Fal 20:6; Mt 11:26; Efe 1:11Ee Bwana Mungu. Kwa ajili ya mtumishi wako, tena sawasawa na mapenzi yako, umefanya jambo hili kubwa sana na kujulisha ahadi hizi zote zilizo kubwa sana.

2017:20 Kut 8:10; Kum 3:24; Isa 44:6; Kut 15:11; Kum 33:26; 1Sam 2:2; 2Sam 7:22; Za 86:8“Hakuna aliye kama wewe, Ee Bwana Mungu, wala hakuna Mungu ila wewe, kama vile tulivyosikia kwa masikio yetu wenyewe. 2117:21 Kut 6:6Naye ni nani aliye kama watu wako Israeli: taifa pekee duniani ambalo Mungu wake alitoka kwenda kulikomboa kwa ajili yake mwenyewe na kujifanyia jina kwa ajili yake mwenyewe, kwa kufanya maajabu makubwa na ya kutisha kwa kuwafukuza mataifa mbele ya watu wako, ambao uliwakomboa kutoka Misri? 2217:22 Kut 19:5-6Uliwafanya watu wako Israeli kuwa watu wako wewe mwenyewe milele, nawe, Ee Bwana Mungu, umekuwa Mungu wao.

2317:23 1Fal 8:25“Sasa basi, Bwana ahadi uliyoweka kuhusu mtumishi wako na nyumba yake na uithibitishe milele. Fanya kama ulivyoahidi, 2417:24 2Nya 6:33; Yn 12:28; Za 21:13; 72:19; Mt 6:9, 13ili ithibitike na jina lako litakuwa kuu milele. Kisha watu watasema, ‘Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, Mungu aliye juu ya Israeli, ndiye Mungu wa Israeli.’ Nayo nyumba ya mtumishi wako Daudi itafanywa imara mbele zako.

25“Wewe, Mungu wangu, umemfunulia mtumishi wako Daudi kwamba utamjengea yeye nyumba. Hivyo mtumishi wako amekuwa na ujasiri wa kukuomba maombi haya. 2617:26 Kut 34:6; Ebr 6:18Ee Bwana, wewe ndiwe Mungu! Umemwahidi mtumishi wako mambo haya mazuri. 2717:27 Za 16:11; 21:6; Rum 11:29; Mwa 27:33; Za 72:17Basi imekupendeza kuibariki nyumba ya mtumishi wako, ili idumu milele machoni pako; kwa ajili yako, Ee Bwana, umeibariki, nayo itabarikiwa milele.”

La Bible du Semeur

1 Chroniques 17:1-27

Les deux maisons

(2 S 7.1-17)

1Lorsque David se fut installé dans son palais, il dit au prophète Nathan : Qu’en penses-tu ? J’habite dans un palais de cèdre, alors que le coffre de l’alliance de l’Eternel est logé sous une tente de toile.

2Nathan lui répondit : Réalise les projets qui te tiennent à cœur, car Dieu est avec toi.

3Cependant, la nuit suivante, Dieu adressa la parole à Nathan en ces termes : 4Va dire à mon serviteur David : « Voici ce que déclare l’Eternel : Ce n’est pas toi qui me bâtiras un temple pour que j’y habite. 5Je n’ai jamais résidé dans un temple depuis le jour où j’ai fait sortir d’Egypte Israël, mon peuple, jusqu’à ce jour-ci. Au contraire, j’étais dans le tabernacle, allant d’un emplacement à un autre. 6Pendant tout ce temps où j’ai accompagné tout Israël, ai-je jamais dit à un seul des chefs d’Israël que j’avais établis pour diriger mon peuple : “Pourquoi ne me bâtissez-vous pas un temple en bois de cèdre ?” »

7Voici maintenant ce que tu diras à mon serviteur David : « Ainsi parle l’Eternel, le Seigneur des armées célestes : Je suis allé te chercher dans les pâturages où tu gardais les moutons pour faire de toi le chef de mon peuple Israël17.7 Voir 1 S 16.11.. 8Je t’ai soutenu dans toutes tes entreprises et je t’ai débarrassé de tous tes ennemis. Je te ferai un nom glorieux comme celui des grands de la terre. 9J’attribuerai un territoire à mon peuple Israël où je l’implanterai pour qu’il puisse habiter chez lui et qu’il ne soit plus inquiété et maltraité comme auparavant par des hommes méchants, 10comme à l’époque où j’avais établi des chefs pour mon peuple Israël. Je soumettrai tous tes ennemis. Enfin, je t’annonce que je te bâtirai une dynastie17.10 En hébreu, c’est le même terme qui signifie généralement maison et qui est rendu ici tantôt par temple (v. 4, 5, 6), tantôt par dynastie. Il y a là un jeu de mots sur ce terme : ce n’est pas David qui bâtira une maison à l’Eternel, mais l’Eternel qui bâtira une maison à David.. 11Quand le moment sera venu pour toi d’aller rejoindre tes ancêtres, j’établirai après toi l’un de tes descendants, l’un de tes fils, pour te succéder comme roi, et j’affermirai son autorité royale17.11 Voir 1 Ch 22.9.. 12C’est lui qui me construira un temple17.12 Voir 2 Ch 2 à 4. et je maintiendrai toujours son trône. 13Je serai pour lui un père, et il sera pour moi un fils17.13 Cité en 2 Co 6.18 ; Hé 1.5. ; je ne lui retirerai jamais ma faveur, comme je l’ai retirée à celui qui t’a précédé. 14Je le maintiendrai pour toujours dans ma maison et dans mon royaume, et son trône sera inébranlable à perpétuité. »

15Nathan rapporta fidèlement à David toutes ces paroles et toute cette révélation.

Prière de reconnaissance de David

(2 S 7.18-29)

16Alors le roi David alla se placer devant l’Eternel et lui adressa cette prière : Eternel Dieu, qui suis-je et qu’est donc ma famille, pour que tu m’aies fait parvenir où je suis ? 17Et comme si ce n’était pas suffisant à tes yeux, ô Dieu, voilà que tu fais à ton serviteur des promesses pour l’avenir lointain de sa dynastie. Eternel Dieu, toi tu me traites comme si j’étais un homme de haut rang. 18Que pourrais-je encore ajouter au sujet de la gloire que tu accordes à ton serviteur ? Tu connais toi-même ton serviteur, 19Eternel. C’est parce que tu aimes ton serviteur et que tu en as décidé ainsi, que tu as accompli ces grandes choses pour révéler ta grandeur. 20Eternel ! Il n’y a personne comme toi, il n’existe pas d’autre Dieu que toi ! C’est vraiment comme tout ce que nous avons entendu dire. 21Y a-t-il un seul peuple sur terre qui soit comme Israël ton peuple, que Dieu soit allé libérer pour en faire son peuple ? Ainsi tu t’es rendu célèbre en accomplissant des choses grandes et redoutables pour chasser des peuples étrangers devant ton peuple que tu as libéré de l’Egypte. 22Tu as fait de ton peuple Israël ton peuple pour toujours ; et toi, Eternel, tu es devenu son Dieu.

23Maintenant donc, ô Eternel, que soit toujours vraie la promesse que tu as faite à ton serviteur et à sa dynastie ! Oui, veuille l’accomplir ! 24Et que cette promesse se confirme. Ainsi tu seras éternellement exalté et l’on proclamera que l’Eternel, le Seigneur des armées célestes, le Dieu d’Israël, est vraiment Dieu pour Israël ! Et que la dynastie de ton serviteur David demeure stable devant toi ! 25En effet, ô mon Dieu, tu as révélé à ton serviteur que tu lui bâtirais une dynastie. C’est pourquoi ton serviteur a osé prier devant toi.

26Maintenant, ô Eternel, c’est toi qui es Dieu, et tu as promis ce bonheur au sujet de ton serviteur. 27Et à présent, tu as bien voulu bénir ma dynastie pour qu’elle subsiste à jamais devant toi ! Car ce que tu bénis, Eternel, est béni à jamais.