مزمور 94 – NAV & NEN

Ketab El Hayat

مزمور 94:1-23

الْمَزْمُورُ الرَّابِعُ وَالتِّسْعُونَ

1يَا رَبُّ أَنْتَ إِلَهُ الانْتِقَامِ، فَتَجَلَّ بِغَضَبِكَ. 2قُمْ يَا دَيَّانَ الأَرْضِ وَجَازِ الْمُتَكَبِّرِينَ عَلَى أَعْمَالِهِمْ. 3إِلَى مَتَى يَا رَبُّ يَشْمَتُ الأَشْرَارُ فَرِحِينَ؟ 4إِلَى مَتَى يَهْذِرُ عُمَّالُ الإِثْمِ وَيَتَوَاقَحُونَ وَيَتَبَاهَوْنَ بِأَنْفُسِهِمْ؟ 5يَسْحَقُونَ شَعْبَكَ يَا رَبُّ وَيَضْطَهِدُونَهُ، 6يَقْتُلُونَ الأَرْمَلَةَ وَالْغَرِيبَ وَيَذْبَحُونَ الْيَتِيمَ. 7وَيَقُولُونَ: «الرَّبُّ لَا يَرَى هَذَا، وَإِلَهُ إِسْرَائِيلَ لَا يُبَالِي».

8افْهَمُوا يَا أَغْبِيَاءَ الشَّعْبِ! يَا جُهَّالُ مَتَى تَتَعَقَّلُونَ؟ 9صَانِعُ الأُذُنِ أَلَا يَسْمَعُ؟ جَابِلُ الْعَيْنِ أَلَا يُبْصِرُ؟ 10مُؤَدِّبُ الأُمَمِ أَلَا يَزْجُرُ وَهُوَ الَّذِي يُعَلِّمُ الإِنْسَانَ الْحِكْمَةَ؟ 11الرَّبُّ يَعْلَمُ أَفْكَارَ الإِنْسَانِ وَيَعْرِفُ أَنَّهَا بَاطِلَةٌ. 12طُوبَى لِلإِنْسَانِ الَّذِي تُؤَدِّبُهُ، وَتُعَلِّمُهُ مِنْ شَرِيعَتِكَ يَا رَبُّ! 13لِتُرِيحَهُ مِنْ أَيَّامِ السُّوءِ، إِلَى أَنْ يَمُوتَ الشِّرِّيرُ وَيَتَوَارَى فِي مَثْواهُ. 14لَا يَرْفُضُ اللهُ شَعْبَهُ، وَلَا يَنْبِذُ خَاصَّتَهُ. 15لأَنَّ القَضَاءَ يُصْبِحُ عَدْلاً وَيُحِبُّهُ جَمِيعُ الْمُسْتَقِيمِي الْقُلُوبِ.

16مَنْ يَتَوَلَّى عَنِّي مُحَارَبَةَ الأَشْرَارِ؟ مَنْ يُجَابِهُ عَنِّي فَاعِلِي الإِثْمِ؟ 17لَوْ لَمْ يَكُنِ الرَّبُّ مُعِينِي لَسَكَنَتْ نَفْسِي الْقَبْرَ. 18قُلْتُ: قَدْ زَلَّتْ قَدَمِي. وَلَكِنَّ رَحْمَتَكَ يَا رَبُّ صَارَتْ لِي سَنَداً. 19عِنْدَ كَثْرَةِ هُمُومِي فِي دَاخِلِي تَبْتَهِجُ نَفْسِي بِتَعْزِيَاتِكَ. 20أَيُحَالِفُكَ مَلِكُ الشَّرِّ الْمُخْتَلِقُ إثْماً لِيَجْعَلَ الظُّلْمَ شَرِيعَةً لِلْقَضَاءِ؟ 21يَجْتَمِعُونَ مَعاً لِلْقَضَاءِ عَلَى حَيَاةِ الصِّدِّيقِ، وَيَحْكُمُونَ عَلَى الْبَرِيءِ بِالْمَوْتِ. 22وَلَكِنَّ الرَّبَّ هُوَ حِصْنِي الْمَنِيعُ؛ إِلَهِي هُوَ الصَّخْرَةُ الَّتِي بِها أَحْتَمِي. 23غَيْرَ أَنَّ الرَّبَّ إِلَهَنَا يُعَاقِبُهُمْ عَلَى إِثْمِهِمْ، وَيُبِيدُهُمْ بِشَرِّهِمْ.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 94:1-23

Zaburi 94

Mungu Mlipiza Kisasi Kwa Ajili Ya Wenye Haki

194:1 Mwa 4:24; Za 80:1; Rum 12:19; Kum 33:2Ee Bwana, ulipizaye kisasi,

Ee Mungu ulipizaye kisasi, uangaze sasa.

294:2 Mwa 18:25; Yak 5:9; Hes 10:35; Za 31:23Ee Mhukumu wa dunia, inuka,

uwalipize wenye kiburi kama wanavyostahili.

394:3 Za 13:2; Mwa 20:3Hata lini, waovu, Ee Bwana,

hata lini waovu watashangilia?

494:4 Yer 43:2; Za 52:1; Yud 15Wanamimina maneno ya kiburi,

watenda mabaya wote wamejaa majivuno.

594:5 Za 28:9; 44:2; 74:8; Isa 3:15; Yer 8:21Ee Bwana, wanawaponda watu wako,

wanawaonea urithi wako.

694:6 Kum 10:18; 20:19; Isa 1:17Wanamchinja mjane na mgeni,

na kuwaua yatima.

794:7 Ay 22:14; Mwa 24:12Nao husema, “Bwana haoni,

Mungu wa Yakobo hafahamu.”

894:8 Kum 32:6; Za 73:22Sikizeni, enyi wajinga miongoni mwa watu;

enyi wapumbavu, lini mtakuwa na hekima?

994:9 Kut 4:11; Mit 20:12Je, aliyeweka sikio asisikie?

Aliyeumba jicho asione?

1094:10 Za 39:11; Ay 35:11; Yn 6:45; Isa 2:3; 28:26; Kut 35:34Je, anayeadhibisha mataifa asiadhibu?

Je, awafundishaye wanadamu asiwe na maarifa?

1194:11 Za 139:2; Mt 15:26; 9:4; 1Kor 3:20; 1:21Bwana anajua mawazo ya mwanadamu;

anajua kwamba ni ubatili.

1294:12 Ay 5:17; Kum 8:3; 1Kor 11:32; Mit 3:11; Ebr 12:5; 1Sam 12:23Ee Bwana, heri mtu anayeadhibishwa na wewe,

mtu unayemfundisha kwa sheria yako,

1394:13 Za 86:7; 7:15; 55:23unampa utulivu siku za shida,

mpaka shimo litakapokuwa limechimbwa

kwa ajili ya mwovu.

1494:14 Kum 31:6; Za 37:28; Rum 11:2; 1Sam 12:22; 1Fal 6:13; Yer 31:37Kwa kuwa Bwana hatawakataa watu wake,

hatauacha urithi wake.

1594:15 Za 97:2; 7:10; 11:2; 36:10Hukumu itasimamishwa tena kwenye haki,

wote walio na mioyo minyofu wataifuata.

1694:16 Hes 10:35; Isa 14:22; Za 17:13; 59:2Ni nani atakayeinuka dhidi ya mwovu kwa ajili yangu?

Ni nani atakayenikinga dhidi ya watenda maovu?

1794:17 Za 124:2; 31:17Kama Bwana asingelinisaidia upesi,

ningelikuwa ninaishi katika ukimya wa kifo.

1894:18 Kum 32:35; Ay 12:5Niliposema, “Mguu wangu unateleza,”

Ee Bwana, upendo wako ulinishikilia.

1994:19 Mhu 11:10; Ay 6:10Wakati wasiwasi ulipokuwa mwingi ndani yangu,

faraja yako ilinipa furaha nafsini mwangu.

2094:20 Za 58:2; Isa 10:1; 2Kor 6:14; Amo 6:3; Yer 22:30; 36:30Je, kiti cha utawala wa udhalimu kitajiunga nawe,

ule utawala uletao taabu kutokana na sheria zake?

2194:21 Za 56:6; 106:38; Mit 17:15, 26; 28:21; Isa 5:20, 23; Mt 27:1, 4; Mwa 18:23; Mit 17:15; Kut 23:7Huungana kuwashambulia wenye haki,

kuwahukumu kufa wasio na hatia.

2294:22 Za 18:2; 61:2; 2Sam 22:3Lakini Bwana amekuwa ngome yangu,

na Mungu wangu amekuwa mwamba ninaoukimbilia.

2394:23 Za 37:38; 145:20; 54:5; 9:5; Mit 2:22; Kut 32:34Yeye atawalipa kwa ajili ya dhambi zao

na atawaangamiza kwa ajili ya maovu yao;

Bwana Mungu wetu atawaangamiza.