الْمَزْمُورُ الْعِشْرُونَ
لِقَائِدِ الْمُنْشِدِينَ. مَزْمُورٌ لِدَاوُدَ
1لِيَسْتَجِبْ لَكَ الرَّبُّ فِي يَوْمِ ضِيقِكَ. لِيَحْرُسْكَ اسْمُ إِلَهِ يَعْقُوبَ. 2لِيُرْسِلْ لَكَ عَوْناً مِنْ مَقْدِسِهِ، وَمُسَانَدَةً مِنْ صِهْيَوْنَ. 3لِيَتَذَكَّرْ جَمِيعَ تَقْدِمَاتِكَ، وَيَتَقَبَّلْ مُحْرَقَاتِكَ. 4لِيُعْطِكَ بُغْيَةَ قَلْبِكَ، وَيُتَمِّمْ لَكَ كُلَّ مَقَاصِدِكَ. 5نَهْتِفُ مُبْتَهِجِينَ بِخَلاصِكَ، وَبِاسْمِ إِلَهِنَا نَرْفَعُ رَايَتَنَا، لِيُحَقِّقْ لَكَ الرَّبُّ كُلَّ مَا تَسْأَلُهُ.
6الآنَ أَدْرَكْتُ أَنَّ الرَّبَّ يُخَلِّصُ مَسِيحَهُ، وَيَسْتَجِيبُ مِنْ سَمَاوَاتِهِ الْمُقَدَّسَةِ، بِقُدْرَةِ يَمِينِهِ الْمُخَلِّصَةِ. 7يَتَّكِلُ هَؤُلاءِ عَلَى مَرْكَبَاتِ الْحَرْبِ، وَأُولَئِكَ عَلَى الْخَيْلِ. أَمَّا نَحْنُ فَنَتَّكِلُ عَلَى اسْمِ الرَّبِّ إِلَهِنَا. 8هُمْ خَرُّوا وَسَقَطُوا، أَمَّا نَحْنُ فَنَهَضْنَا وَانْتَصَبْنَا. 9خَلِّصْ يَا رَبُّ! لِيَسْتَجِبِ الْمَلِكُ حِينَ نَدْعُوهُ.
Zaburi 20
Maombi Kwa Ajili Ya Ushindi
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
120:1 Za 4:1; 46:7; 59:1; 69:29; 91:14; Kut 3:6; Isa 50:10Bwana na akujibu unapokuwa katika dhiki,
jina la Mungu wa Yakobo na liwe kinga yako.
220:2 Hes 3:28; Za 2:6; 30:10; 33:20; 37:40; 40:17; 54:4; 128:5; 18:18; 134:3; 135:21Na akutumie msaada kutoka patakatifu
na akupatie msaada kutoka Sayuni.
320:3 Mdo 10:4; Kum 33:11Na azikumbuke dhabihu zako zote,
na azikubali sadaka zako za kuteketezwa.
420:4 Za 21:2; 37:4; 140:8; 145:16, 19; Isa 26:8; Eze 24:25; Rum 10:1; Mit 16:3; Dan 11:17; 1Yn 5:14, 15Na akujalie haja ya moyo wako,
na aifanikishe mipango yako yote.
520:5 Hes 1:52; Isa 5:26; 11:10, 12; 13:2; 30:17; 49:22; 62:10; Yer 50:2; 51:12, 27; Ay 3:7; 1Sam 1:17; 12:1, 2; 17:45; Za 60:4Tutashangilia kwa furaha utakaposhinda,
tutainua bendera zetu kwa jina la Mungu wetu.
Bwana na akupe haja zako zote.
620:6 2Sam 23:1; Ay 40:14; Za 28:8; Hab 3:13Sasa nafahamu kuwa Bwana
humwokoa mpakwa mafuta wake,
humjibu kutoka mbingu yake takatifu
kwa nguvu za wokovu wa mkono wake wa kuume.
720:7 2Fal 19:23; Za 33:17; 147:10; Mit 21:31; Isa 31:1; 36:8, 9; 2Nya 32:8; Kum 17:16; Amu 7:7Wengine wanatumaini magari ya vita, na wengine farasi,
bali sisi tutalitumainia jina la Bwana, Mungu wetu.
820:8 Za 27:2; 37:23; Isa 7:9; 40:30; Yer 46:6; 50:32; Mik 7:8; Ay 11:15; Mit 10:25Wao wameshushwa chini na kuanguka,
bali sisi tunainuka na kusimama imara.
920:9 Za 17:6Ee Bwana, mwokoe mfalme!
Tujibu tunapokuita!