ሰቈቃወ 5 – NASV & NEN

New Amharic Standard Version

ሰቈቃወ 5:1-22

1እግዚአብሔር ሆይ፤ በእኛ ላይ የደረሰውን ዐስብ፤

ውርደታችንን እይ፤ ተመልከትም።

2ርስታችን ለመጻተኞች፣

ቤቶቻችን ለባዕዳን ዐልፈው ተሰጡ።

3ወላጅ አልባና አባት የሌላቸው ሆንን፤

እናቶቻችን እንደ መበለቶች ሆኑ።

4ለምንጠጣው ውሃ መክፈል ነበረብን፤

ዕንጨታችንንም የምናገኘው በግዢ ነበር።

5የሚያሳድዱን ከተረከዞቻችን ሥር ናቸው፤

ተጨንቀናል ዕረፍትም ዐጥተናል።

6እንጀራ እንጠግብ ዘንድ፣

ለአሦርና ለግብፅ እጃችንን ሰጠን።

7አባቶቻችን ኀጢአት ሠርተው ዐለፉ፤

እኛም የእነርሱን ቅጣት ተሸከምን።

8ባሮች ሠልጥነውብናል፤

ከእጃቸው ነጻ የሚያወጣን ማንም የለም።

9በምድረ በዳ ካለው ሰይፍ የተነሣ፣

በሕይወታችን ተወራርደን እንጀራ አገኘን።

10ቈዳችን እንደ ምድጃ ጠቍሯል፤

በራብም ተቃጥሏል።

11ሴቶች በጽዮን፣

ደናግል በይሁዳ ከተሞች ተደፈሩ።

12መሳፍንት በእነርሱ እጅ ተሰቀሉ፤

ሽማግሌዎችም አልተከበሩም።

13ጕልማሶች ወፍጮ እንዲፈጩ ተገደዱ፤

ወንዶች ልጆች በዕንጨት ሸክም ተንገዳገዱ።

14ሽማግሌዎች ከከተማዪቱ በር ሄደዋል፤

ጕልማሶች ዝማሬያቸውን አቁመዋል።

15ደስታ ከልባችን ጠፍቷል፤

ጭፈራችን ወደ ልቅሶ ተለውጧል።

16አክሊላችን ከራሳችን ላይ ወድቋል፤

ወዮልን፤ ኀጢአት ሠርተናልና!

17ከዚህ የተነሣ ልባችን ደከመ፤

ከእነዚህ የተነሣም ዐይናችን ፈዘዘ፤

18ባዶዋን የቀረችው የጽዮን ተራራ፣

የቀበሮዎች መፈንጫ ሆናለችና።

19አቤቱ እግዚአብሔር ሆይ፤ አንተ ለዘላለም ትገዛለህ፤

ዙፋንህ ከትውልድ እስከ ትውልድ ይኖራል።

20ስለ ምን ፈጽመህ ትረሳናለህ?

ስለምንስ ለረዥም ጊዜ ትተወናለህ?

21እግዚአብሔር ሆይ፤ ወደ አንተ መልሰን፤ እኛም እንመለሳለን፤

ዘመናችንን እንደ ቀድሞው አድስ፤

22ፈጽመህ ካልጣልኸን፣

ከመጠን በላይ ካልተቈጣኸን።

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Maombolezo 5:1-22

15:1 Za 44:13-16; 89:50Kumbuka, Ee Bwana, yaliyotupata,

tazama, nawe uione aibu yetu.

25:2 Za 79:1; Sef 1:13; Yer 17:4Urithi wetu umegeuziwa kwa wageni,

na nyumba zetu kwa wageni.

35:3 Kut 22:24; Yer 15:8; 18:21Tumekuwa yatima wasio na baba,

mama zetu wamekuwa kama wajane.

45:4 Isa 55:1; Eze 4:16-17; Isa 3:1Ni lazima tununue maji tunayokunywa,

kuni zetu zapatikana tu kwa kununua.

55:5 Isa 47:6; Neh 9:37; Yos 1:13Wanaotufuatilia wapo kwenye visigino vyetu,

tumechoka na hakuna pumziko.

65:6 Yer 2:36; Mwa 24:2; Hos 5:13; 7:11; Yer 50:15; Hos 12:1Tumejitolea kwa Misri na Ashuru

tupate chakula cha kutosha.

75:7 Yer 14:20; 16:12; Eze 8:2; Yer 31:29; Eze 18:2; Mt 23:32Baba zetu walitenda dhambi na hawapo tena,

na sisi tunachukua adhabu yao.

85:8 Neh 5:15; Zek 11:6Watumwa wanatutawala

na hakuna wa kutuokoa mikononi yao.

9Tunapata chakula chetu kwa kuhatarisha maisha yetu

kwa sababu ya upanga jangwani.

105:10 Ay 30:30; Mao 4:8-9Ngozi yetu ina joto kama tanuru,

kwa sababu ya fadhaa itokanayo na njaa.

115:11 Mwa 34:29; Zek 14:2; Isa 13:16Wanawake wametendwa jeuri katika Sayuni,

na mabikira katika miji ya Yuda.

12Wakuu wametungikwa juu kwa mikono yao,

wazee hawapewi heshima.

135:13 Amu 13:16; 16:21Vijana wanataabika kwenye mawe ya kusagia,

wavulana wanayumbayumba chini ya mizigo ya kuni.

145:14 Isa 24:8; Yer 7:34; 2Fal 25:18Wazee wameondoka langoni la mji,

vijana wameacha kuimba nyimbo zao.

155:15 Amu 8:10; Yer 25:10Furaha imeondoka mioyoni mwetu,

kucheza kwetu kumegeuka maombolezo.

165:16 Yer 13:18; 14:20; Za 89:39; Ay 19:9; Isa 3:11Taji imeanguka kutoka kichwani petu.

Ole wetu, kwa maana tumetenda dhambi!

175:17 Ay 17:7; Za 6:7; 16:8; Yer 8:18Kwa sababu hiyo, mioyo yetu inazimia,

kwa sababu ya hayo, macho yetu yamefifia,

185:18 Isa 27:10; Mik 3:12; Za 74:2-4kwa ajili ya Mlima Sayuni, ambao unakaa ukiwa,

nao mbweha wanatembea juu yake.

195:19 1Nya 16:31; Za 45:6; 102:22-27Wewe, Ee Bwana unatawala milele,

kiti chako cha enzi chadumu kizazi hadi kizazi.

205:20 Za 13:1; 44:24; 71:11Kwa nini watusahau siku zote?

Kwa nini umetuacha kwa muda mrefu?

215:21 Isa 60:20-22; Za 80:3Turudishe kwako mwenyewe, Ee Bwana,

ili tupate kurudi.

Zifanye mpya siku zetu kama siku za kale,

225:22 Isa 64:9; Yer 6:30; Za 53:5; 60:12isipokuwa uwe umetukataa kabisa

na umetukasirikia pasipo kipimo.