መዝሙር 85 – NASV & NEN

New Amharic Standard Version

መዝሙር 85:1-13

መዝሙር 85

ስለ ሰላም የቀረበ ጸሎት

ለመዘምራን አለቃ፤ የቆሬ ልጆች መዝሙር።

1እግዚአብሔር ሆይ፤ ለምድርህ በጎ ውለሃል፤

የያዕቆብንም ምርኮ መለስህ።

2የሕዝብህን በደል ይቅር አልህ፤

ኀጢአታቸውንም ሁሉ ሸፈንህ። ሴላ

3መዓትህን ሁሉ አራቅህ፤

ከብርቱ ቍጣህም ተመለስህ።

4መድኀኒታችን የሆንህ አምላክ ሆይ፤ መልሰን፤

በእኛ ላይ የተቃጣውን ቍጣህን መልሰው።

5የምትቈጣን ለዘላለም ነውን?

ቍጣህስ ከትውልድ እስከ ትውልድ ይቀጥላልን?

6ሕዝብህ በአንተ ሐሤት ያደርግ ዘንድ፣

መልሰህ ሕያዋን አታደርገንምን?

7እግዚአብሔር ሆይ፤ ምሕረትህን አሳየን፤

ማዳንህን ለግሰን።

8እግዚአብሔር አምላክ የሚናገረውን እሰማለሁ፤

ለሕዝቡ፣ ለቅዱሳኑ ሰላምን ይናገራልና፤

ዳሩ ግን ወደ ከንቱ ምግባራቸው አይመለሱ።

9ክብሩ በምድራችን ይኖር ዘንድ፣

ማዳኑ ለሚፈሩት በርግጥ ቅርብ ነው።

10ምሕረትና ታማኝነት ተገናኙ፤

ጽድቅና ሰላም ተቃቀፉ።

11ታማኝነት ከምድር በቀለች፤

ጽድቅም ከሰማይ ተመለከተች።

12እግዚአብሔር በጎ ነገር ይለግሳል፤ ምድራችንም ፍሬዋን ትሰጣለች።

13ጽድቅ በፊቱ ይሄዳል፤

ለአረማመዱም መንገድ ያዘጋጃል።

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 85:1-13

Zaburi 85

Maombi Kwa Ajili Ya Ustawi Wa Taifa

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.

185:1 Kum 30:3; Za 14:7; Yer 30:18; Eze 39:25Ee Bwana, ulionyesha wema kwa nchi yako.

Ulimrejeshea Yakobo baraka zake.85:1 Au: Uliwarudisha mateka wa Yakobo.

285:2 Hes 14:19; Kut 32:30; Za 78:38Ulisamehe uovu wa watu wako,

na kufunika dhambi zao zote.

385:3 Za 78:38; 106:23; Dan 9:16; Kut 32:12; Yn 3:9; Kum 13:17Uliweka kando ghadhabu yako yote

na umegeuka na kuiacha hasira yako kali.

485:4 Za 71:20; 65:5Ee Mungu Mwokozi wetu, uturejeshe tena,

nawe uiondoe chuki yako juu yetu.

585:5 Za 50:21Je, utatukasirikia milele?

Utaendeleza hasira yako kwa vizazi vyote?

685:6 Za 80:18; Flp 3:1; Hab 3:2Je, hutatuhuisha tena,

ili watu wako wakufurahie?

785:7 Za 6:4; 27:1Utuonyeshe upendo wako usiokoma, Ee Bwana,

utupe wokovu wako.

885:8 Law 26:6; Isa 60:17; Yn 14:27; 2The 3:16; Mit 26:11; 27:22; Hab 2:1; Zek 9:10; 2Pet 2:20Nitasikiliza lile atakalosema Mungu aliye Bwana;

anaahidi amani kwa watu wake, watakatifu wake:

lakini nao wasirudie upumbavu.

985:9 Za 27:1; Kut 29:43; Isa 43:3; 45:8; 46:13; 62:11; 51:5; 56:1; 60:19; Hag 2:9; Zek 2:5Hakika wokovu wake uko karibu na wale wamchao,

ili utukufu wake udumu katika nchi yetu.

1085:10 Isa 32:17; Mit 3:3; Lk 2:14; Yn 1:17; 14:27; Za 89:14; 115:1; 72:2, 3; Mik 7:20Upendo na uaminifu hukutana pamoja,

haki na amani hubusiana.

1185:11 Isa 45:8Uaminifu huchipua kutoka nchi,

haki hutazama chini kutoka mbinguni.

1285:12 Za 67:6; 84:11; Yak 1:17; Law 26:4; Zek 8:12Naam, hakika Bwana atatoa kilicho chema,

nayo nchi yetu itazaa mavuno yake.

13Haki itatangulia mbele yake

na kutengeneza njia kwa ajili ya hatua zake.