መዝሙር 69 – NASV & NEN

New Amharic Standard Version

መዝሙር 69:1-36

መዝሙር 69

እንጕርጕሮ

ለመዘምራን አለቃ፤ “በጽጌረዳ” ዜማ፤ የዳዊት መዝሙር።

1አምላክ ሆይ፤ አድነኝ፤

ውሃ እስከ ዐንገቴ ደርሶብኛልና።

2የእግር መቆሚያ በሌለው፣

በጥልቅ ረግረግ ውስጥ ሰጥሜአለሁ፤

ወደ ጥልቅ ውሃ ገባሁ፤

ሞገዱም አሰጠመኝ።

3በጩኸት ደከምሁ፤

ጉረሮዬም ደረቀ፤

አምላኬን በመጠባበቅ፣

ዐይኖቼ ፈዘዙ።

4ያለ ምክንያት የሚጠሉኝ፣

ከራሴ ጠጕር በዙ፤

ሕይወቴን ለማጥፋት የሚፈልጉ፣

በከንቱም የሚጠሉኝ ብዙዎች ሆኑ፤

ያልሰረቅሁትን ነገር፣

መልሰህ አምጣ ተባልሁ።

5እግዚአብሔር ሆይ፤ አንተ ሞኝነቴን ታውቃለህ፤

በደሌም ከአንተ የተሰወረ አይደለም።

6ጌታ የሰራዊት አምላክ ሆይ፤

አንተን ተስፋ የሚያደርጉ፣

በእኔ ምክንያት አይፈሩ፤

የእስራኤል አምላክ ሆይ፤

አንተን አጥብቀው የሚሹ፣

ከእኔ የተነሣ አይዋረዱ።

7ስለ አንተ ስድብን ታግሻለሁና፤

ዕፍረትም ፊቴን ሸፍኗልና።

8ለወንድሞቼ እንደ ባዕድ፣

ለእናቴም ልጆች እንደ እንግዳ ሆንሁባቸው።

9የቤትህ ቅናት በላችኝ፤

የሚሰድቡህም ስድብ በላዬ ዐርፏል።

10ነፍሴን በጾም ባስመረርሁ ጊዜ፣

እነርሱ ሰደቡኝ።

11ማቅ በለበስሁ ጊዜ፣

መተረቻ አደረጉኝ።

12በቅጥሩ ደጅ ለሚቀመጡት የመነጋገሪያ ርእስ፣

ለሰካራሞችም መዝፈኛ ሆንሁ።

13እግዚአብሔር ሆይ፤ እኔ ግን በወደድኸው ሰዓት፣

ወደ አንተ እጸልያለሁ፤

አምላክ ሆይ፤ በታላቅ ምሕረትህ፣

በማዳንህም ርግጠኝነት መልስልኝ።

14ከረግረግ አውጣኝ፤

እሰጥም ዘንድ አትተወኝ፤

ከጥልቅ ውሃ፣

ከእነዚያ ከሚጠሉኝ ታደገኝ።

15ጐርፍ አያጥለቅልቀኝ፤

ጥልቅ ውሃም አይዋጠኝ፤

ጕድጓዱም ተደርምሶ አይዘጋብኝ።

16እግዚአብሔር ሆይ፤ ምሕረትህ በጎ ናትና ስማኝ፤

እንደ ርኅራኄም ብዛት መለስ በልልኝ።

17ፊትህን ከባሪያህ አትሰውር፤

ጭንቅ ውስጥ ነኝና ፈጥነህ መልስልኝ።

18ወደ እኔ ቀርበህ ታደገኝ፤

ስለ ጠላቶቼም ተቤዠኝ።

19የደረሰብኝን ስድብ፣ ዕፍረትና ውርደት ታውቃለህ፤

ጠላቶቼንም አንድ በአንድ ታውቃቸዋለህ።

20ስድብ ልቤን ጐድቶታል፤

ተስፋዬም ተሟጥጧል፤

አስተዛዛኝ ፈለግሁ፤ አላገኘሁምም፤

አጽናኝም ፈለግሁ፤ አንድም አልነበረም።

21ምግቤን ከሐሞት ቀላቀሉ፤

ለጥማቴም ሆምጣጤ ሰጡኝ።

22የቀረበላቸው ማእድ ወጥመድ ይሁንባቸው፤

ለማኅበራቸውም አሽክላ ይሁን።

23ዐይኖቻቸው እንዳያዩ ይጨልሙ፤

ጀርባቸውም ዘወትር ይጕበጥ።

24መዓትህን በላያቸው አፍስስ፤

የቍጣህም መቅሠፍት ድንገት ይድረስባቸው።

25ሰፈራቸው ባድማ ይሁን፤

በድንኳኖቻቸው የሚኖር አይገኝ፤

26አንተ የመታሃቸውን አሳድደዋልና፤

ያቈሰልሃቸውንም ሥቃያቸውን አባብሰዋል።

27በበደላቸው በደል ጨምርባቸው፤

ወደ ጽድቅህም አይግቡ።

28ከሕይወት መጽሐፍ ይደምሰሱ፤

ከጻድቃንም ጋር አይጻፉ።

29ነገር ግን እኔ በሥቃይና በጭንቅ ላይ እገኛለሁ፤

አምላክ ሆይ፤ ማዳንህ ደግፎ ይያዘኝ።

30የእግዚአብሔርን ስም በዝማሬ አወድሳለሁ፤

በምስጋናም ከፍ ከፍ አደርገዋለሁ።

31ከበሬ ይልቅ፣

ቀንድና ጥፍር ካበቀለ እንቦሳ ይልቅ ይህ እግዚአብሔርን ደስ ያሰኘዋል።

32ድኾች ይህን ያያሉ፤ ደስም ይላቸዋል፤

እናንተ እግዚአብሔርን የምትሹ ልባችሁ ይለምልም!

33እግዚአብሔር ችግረኞችን ይሰማልና፤

በእስራት ያለውንም ሕዝቡን አይንቅም።

34ሰማይና ምድር፣ ባሕርም፣

በውስጣቸውም የሚንቀሳቀስ ሁሉ ያመስግኑት።

35እግዚአብሔር ጽዮንን ያድናታልና፤

የይሁዳንም ከተሞች መልሶ ይሠራቸዋልና፤

ሕዝቡም በዚያ ይሰፍራል፤ ይወርሳታልም።

36የባሪያዎቹም ዘሮች ይወርሷታል፤

ስሙንም የሚወድዱ በዚያ ይኖራሉ።

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 69:1-36

Zaburi 69

Kilio Cha Kuomba Msaada Wakati Wa Dhiki

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi.” Zaburi ya Daudi.

169:1 Za 42:7; 32:6; Yon 2:5Ee Mungu, niokoe,

kwa maana maji yamenifika shingoni.

269:2 Ay 30:19Ninazama kwenye vilindi vya matope,

pasipo mahali pa kukanyaga,

Nimefika kwenye maji makuu,

mafuriko yamenigharikisha.

369:3 Za 6:6; 119:82Nimechoka kwa kuomba msaada,

koo langu limekauka.

Macho yangu yanafifia,

nikimtafuta Mungu wangu.

469:4 Yn 15:25; Za 25:19; 35:19; 38:19; 40:14; 119:95; Isa 32:7Wale wanaonichukia bila sababu

ni wengi kuliko nywele za kichwa changu;

wengi ni adui kwangu bila sababu,

wale wanaotafuta kuniangamiza.

Ninalazimishwa kurudisha

kitu ambacho sikuiba.

569:5 Za 38:5; 44:21Ee Mungu, wewe unajua upumbavu wangu,

wala hatia yangu haikufichika kwako.

6Ee Bwana, ewe Bwana Mwenye Nguvu Zote,

wakutumainio wasiaibishwe

kwa ajili yangu;

wakutafutao wasifedheheshwe kwa ajili yangu,

Ee Mungu wa Israeli.

769:7 Yer 15:15; Za 39:8; 44:15Kwa maana nimestahimili dharau kwa ajili yako,

aibu imefunika uso wangu.

869:8 Ay 19:13-15; Za 31:11; 38:11; Isa 53:3; Yn 7:5Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu,

mgeni kwa wana wa mama yangu mwenyewe.

969:9 Yn 2:17; Rum 15:3; Za 89:50-51Kwa kuwa wivu wa nyumba yako unanila,

matukano ya wale wanaokutukana yameniangukia.

1069:10 Za 35:13Ninapolia na kufunga,

lazima nivumilie matusi.

1169:11 2Sam 3:31; Za 35:13Ninapovaa nguo ya gunia,

watu hunidharau.

1269:12 Mwa 18:1; 23:10; Ay 30:9Wale wanaoketi mlangoni wananisimanga,

nimekuwa wimbo wa walevi.

1369:13 Isa 49:8; 2Kor 6:2; Za 17:7; 51:1Lakini Ee Bwana, ninakuomba,

kwa wakati ukupendezao;

katika upendo wako mkuu, Ee Mungu,

unijibu kwa wokovu wako wa hakika.

1469:14 Za 69:2; 144:7Uniokoe katika matope,

usiniache nizame;

niokoe na hao wanichukiao,

kutoka kwenye vilindi vya maji.

1569:15 Za 36:6; 68:22; Hes 21:33; Yer 22:2069:15 Za 28:1; 124:4, 5; Hes 16:33Usiache mafuriko yanigharikishe

au vilindi vinimeze,

au shimo lifumbe kinywa chake juu yangu.

1669:16 Za 63:3Ee Bwana, unijibu, kwa wema wa upendo wako;

kwa huruma zako nyingi unigeukie.

1769:17 Za 22:24; 143:7; 50:15; 66:14Usimfiche mtumishi wako uso wako,

uharakishe kunijibu, kwa sababu niko katika shida.

1869:18 Za 49:15Njoo karibu uniokoe,

nikomboe kwa sababu ya adui zangu.

1969:19 Za 22:6Unajua jinsi ninavyodharauliwa,

kufedheheshwa na kuaibishwa,

adui zangu wote unawajua.

2069:20 Ay 16:2; Isa 63:5; Za 142:4Dharau zimenivunja moyo

na nimekata tamaa,

nimetafuta wa kunihurumia, lakini sikumpata,

wa kunituliza, lakini sikumpata.

2169:21 Hes 6:3; Lk 23:36; Mt 27:34, 48; Mk 15:23, 36; Yn 19:28-30Waliweka nyongo katika chakula changu

na walinipa siki nilipokuwa na kiu.

2269:22 1Sam 28:9; Ay 18:10Meza iliyoandaliwa mbele yao na iwe mtego,

nayo iwe upatilizo na tanzi.

2369:23 Rum 11:9-10Macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona,

nayo migongo yao iinamishwe daima.

2469:24 Za 79:6; Yer 10:25Uwamwagie ghadhabu yako,

hasira yako kali na iwapate.

2569:25 Law 26:43; Mt 23:38; Mdo 1:20Mahali pao na pawe ukiwa,

wala asiwepo yeyote atakayeishi katika mahema yao.

2669:26 Ay 19:22; Zek 1:15Kwa kuwa wanawatesa wale uliowajeruhi,

na kuzungumza juu ya maumivu ya wale uliowaumiza.

2769:27 Neh 4:5; Za 109:14Walipize uovu juu ya uovu,

usiwaache washiriki katika wokovu wako.

2869:28 Kut 32:32-33; Lk 10:20; Eze 13:9Wafutwe kutoka kitabu cha uzima

na wasiorodheshwe pamoja na wenye haki.

2969:29 Za 20:1Mimi niko katika maumivu na dhiki;

Ee Mungu, wokovu wako na unihifadhi.

3069:30 Za 28:7; 34:3Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo,

nami nitamtukuza kwa kumtolea shukrani.

3169:31 Za 50:9-13; 51:16Hili litampendeza Bwana kuliko ngʼombe dume,

zaidi ya fahali akiwa na pembe na kwato zake.

3269:32 Za 34:2; 22:26Maskini wataona na kufurahi:

ninyi mnaomtafuta Mungu, mioyo yenu na iishi!

3369:33 Za 12:5Bwana huwasikia wahitaji

wala hadharau watu wake waliotekwa.

3469:34 Za 96:11; 98:7; Isa 44:23Mbingu na dunia zimsifu,

bahari na vyote viendavyo ndani yake,

3569:35 Oba 1:17; Ezr 9:9; Za 51:18kwa maana Mungu ataiokoa Sayuni

na kuijenga tena miji ya Yuda.

Kisha watu watafanya makao yao humo na kuimiliki,

3669:36 Za 25:13; 37:29watoto wa watumishi wake watairithi

na wale wote walipendao jina lake

wataishi humo.