መዝሙር 109 – NASV & NEN

New Amharic Standard Version

መዝሙር 109:1-31

መዝሙር 109

በጠላት ላይ የቀረበ ጸሎት

ለመዘምራን አለቃ፤ የዳዊት መዝሙር።

1የምስጋናዬ ምንጭ የሆንህ አምላክ ሆይ፤ ዝም አትበል፤

2ክፉዎችና አታላዮች፣

አፋቸውን ከፍተውብኛልና፤

በውሸተኛ አንደበት ተናግረውብኛል።

3በጥላቻ ቃል ከብበውኛል፤

ያለ ምክንያትም ጥቃት አድርሰውብኛል።

4ስወድዳቸው ይወነጅሉኛል፤

እኔ ግን እጸልያለሁ።

5በበጎ ፈንታ ክፋትን፣

በወደድኋቸው ፈንታ ጥላቻን ይመልሱልኛል።

6ክፉ ሰው109፥6 ወይም ክፉው በላዩ ሹም፤

ከሳሽም109፥6 ወይም ሰይጣንን በቀኙ ይቁም።

7ፍርድ ፊት ሲቆም በደለኛ ሆኖ ይገኝ፤

ጸሎቱም ለፍርድ ትሁንበት።

8ዕድሜው ይጠር፤

ሹመቱንም ሌላ ይውሰደው።

9ልጆቹ ድኻ ዐደጎች ይሁኑ፤

ሚስቱም መበለት ትሁን።

10ልጆቹ ይንከራተቱ፤ ለማኞችም ይሁኑ፤

ከፈረሰው ቤታቸውም ይሰደዱ።

11ያለውን ሁሉ ዕዳ ጠያቂ ይውረሰው፤

የድካሙንም ዋጋ ባዕዳን ይቀሙት።

12ማንም ሰው ምሕረት አያድርግለት፤

ለድኻ አደግ ልጆቹም የሚራራ አይኑር።

13ዘሩ ተለይቶ ይጥፋ፤

ስማቸውም በሚቀጥለው ትውልድ ይደምሰስ።

14የአባቶቹ በደል በእግዚአብሔር ፊት ይታሰብ፤

የእናቱም ኀጢአት አይደምሰስ።

15መታሰቢያቸውን ከምድር ያጠፉ ዘንድ፣

ኀጢአታቸው ሁልጊዜ በእግዚአብሔር ፊት ይኑር፤

16ችግረኛውንና ምስኪኑን፣ ልቡም የቈሰለውን፣

እስከ ሞት አሳደደ እንጂ፣

ምሕረት ያደርግ ዘንድ አላሰበምና።

17መራገምን ወደደ፤ ወደ እርሱም መጣች፤

በመባረክ ደስ አልተሰኘም፤

በረከትም ከእርሱ ራቀች።

18መርገምን እንደ ልብስ ለበሳት፤

እርሷም እንደ ውሃ ወደ ውስጥ ሰውነቱ፣

እንደ ዘይትም ወደ ዐጥንቱ ዘለቀች።

19ገላውን እንደሚሸፍንበት ልብስ፣

ዘወትር እንደሚታጠቀውም መቀነት ትሁነው።

20እግዚአብሔር ለሚወነጅሉኝ ሰዎች፣

በነፍሴም ላይ ክፉ ለሚናገሩ የሚከፍላቸው ይኸው ይሁን።

21አንተ ግን ጌታ እግዚአብሔር ሆይ፤

ስለ ስምህ በበጎ ተመልከተኝ፤

ምሕረትህም መልካም ናትና አድነኝ።

22እኔ ድኻና ችግረኛ ነኝና፤

ልቤም በውስጤ ቈስሏልና።

23እንደ ምሽት ጥላ ከእይታ ተሰውሬአለሁ፤

እንደ አንበጣም ረግፌአለሁ።

24ከጾም የተነሣ ጕልበቴ ዛለ፤

ሰውነቴም ከስቶ ዐመድ ለበሰ።

25ለመሣለቂያ ሆንሁላቸው፤

ሲያዩኝም ራሳቸውን ይነቀንቃሉ።

26እግዚአብሔር አምላኬ ሆይ፤ ርዳኝ፤

እንደ ምሕረትህም አድነኝ።

27እግዚአብሔር ሆይ፤ እጅህ ይህን እንዳደረገች፣

አንተም ይህን እንደ ፈጸምህ ይወቁ።

28እነርሱ ይራገማሉ፤ አንተ ግን ትባርካለህ፤

በሚነሡበት ጊዜ ይዋረዳሉ፤

ባሪያህ ግን ሐሤት ያደርጋል።

29የሚወነጅሉኝ ውርደትን ይከናነቡ፤

ዕፍረትንም እንደ ሸማ ይልበሱ።

30እግዚአብሔርን በአንደበቴ እጅግ አመሰግናለሁ፤

በታላቅ ሕዝብም መካከል አወድሰዋለሁ።

31በነፍሱ ላይ ከሚፈርዱት ያድነው ዘንድ፣

እርሱ በችግረኛው ቀኝ በኩል ይቆማልና።

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 109:1-31

Zaburi 109

Lalamiko La Mtu Aliyeko Kwenye Shida

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

1109:1 Kut 15:2; Yer 17:14; Ay 34:29; Za 83:1Ee Mungu, ambaye ninakusifu,

usiwe kimya,

2109:2 Za 43:1; 52:4kwa maana watu waovu na wadanganyifu

wamefungua vinywa vyao dhidi yangu;

wasema dhidi yangu

kwa ndimi za udanganyifu.

3109:3 Za 69:4; 35:7; 35:7, 10; Yn 15:25; 1Sam 19:4, 5Wamenizunguka kwa maneno ya chuki,

wananishambulia bila sababu.

4109:4 Za 69:13; 141:5Wanachonilipa badala ya urafiki wangu ni kunishtaki,

lakini mimi ninawaombea.

5109:5 Mwa 44:4; Za 38:20Wananilipiza mabaya kwa mema,

chuki badala ya urafiki wangu.

6109:6 1Nya 21:1; Ay 1:6; Zek 3:1Agiza mtu mwovu ampinge,

mshtaki109:6 Mshtaki hapa maana yake ni Shetani. asimame mkono wake wa kuume.

7109:7 Za 1:5; Mit 28:9; Zek 3:1Anapohukumiwa, apatikane na hatia,

nayo maombi yake yamhukumu.

8109:8 Ay 15:32; Mdo 1:20Siku zake za kuishi na ziwe chache,

nafasi yake ya uongozi ichukuliwe na mtu mwingine.

9109:9 Kut 22:24; Yer 18:21Watoto wake na waachwe yatima,

mke wake na awe mjane.

10109:10 Mwa 4:12Watoto wake na watangetange wakiomba,

na wafukuzwe kwenye magofu ya nyumba zao.

11109:11 Hes 14:3; Isa 1:7; 6:11; 36:1; Mao 5:2; Neh 5:3; Ay 20:18; 18:9Mtu anayemdai na ateke vyote alivyo navyo,

matunda ya kazi yake yatekwe nyara na wageni.

12109:12 Ay 5:4Asiwepo mtu yeyote wa kumtendea mema

wala wa kuwahurumia yatima wake.

13109:13 Za 21:10; 9:5; 37:28; Hes 14:12; Mit 10:7; Ay 18:19Uzao wake na ukatiliwe mbali,

majina yao yafutike katika kizazi kifuatacho.

14109:14 Kut 20:5Maovu ya baba zake na yakumbukwe

mbele za Bwana,

dhambi ya mama yake

isifutwe kamwe.

15109:15 Za 90:8; Kut 17:14; Kum 32:26; Ay 18:17Dhambi zao na zibaki daima mbele za Bwana,

ili apate kukatilia mbali kumbukumbu lao duniani.

16109:16 Ay 20:19; Za 35:10; 34:18Kwa maana kamwe hakuweza kutenda wema,

bali alimfukuza mnyonge na mhitaji,

aliwafanyia jeuri wahitaji na waliovunjika moyo.

17109:17 Mit 28:27; Mt 7:2Alipenda kulaani,

nayo laana ikampata;

hakupenda kubariki,

kwa hiyo baraka na ikae mbali naye.

18109:18 Za 10:7; Hes 5:22Alivaa kulaani kama vazi lake,

nayo laana ikamwingia mwilini mwake kama maji,

kwenye mifupa yake kama mafuta.

19109:19 Za 109:29; 73:6; Eze 7:27Na iwe kama joho alilozungushiwa,

kama mshipi aliofungiwa daima.

20109:20 Kut 32:34; Za 54:5; 94:23; 7:10; Isa 3:11; 2Tim 4:14Haya na yawe malipo ya Bwana kwa washtaki wangu,

kwa wale wanaoninenea mabaya.

21109:21 Kut 9:16; Za 3:7; 23:3; 69:16Lakini wewe, Ee Bwana Mwenyezi,

unitendee wema kwa ajili ya jina lako,

uniokoe kwa wema wa pendo lako.

22Maana mimi ni maskini na mhitaji,

moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.

23109:23 Ay 14:2Ninafifia kama kivuli cha jioni,

nimerushwa-rushwa kama nzige.

24109:24 Ebr 12:12; Ay 16:8; Za 35:13Magoti yangu yamelegea kwa kufunga,

mwili wangu umedhoofika na kukonda.

25109:25 Za 22:6; Ay 16:4; Mt 27:39; Mk 15:29; Isa 37:22Nimekuwa kitu cha kudharauliwa kwa washtaki wangu,

wanionapo, hutikisa vichwa vyao.

26109:26 Za 12:1; 119:86Ee Bwana, Mungu wangu nisaidie,

niokoe sawasawa na upendo wako.

27109:27 Ay 37:7Watu na wafahamu kuwa ni mkono wako,

kwamba wewe, Ee Bwana, umetenda hili.

28109:28 2Sam 16:12; Za 66:4; Isa 35:10; 51:11; 54:1; 65:14; Hes 22:12Wanaweza kulaani, lakini wewe utabariki,

watakaposhambulia wataaibishwa,

lakini mtumishi wako atashangilia.

29109:29 Za 35:26Washtaki wangu watavikwa fedheha,

na kufunikwa na aibu kama joho.

30109:30 Za 35:18Kwa kinywa changu nitamtukuza sana Bwana,

katika umati mkubwa nitamsifu.

31109:31 Za 16:8; 108:6Kwa maana husimama mkono wa kuume wa mhitaji,

kuokoa maisha yake kutoka kwa wale wanaomhukumu.