መዝሙር 103 – NASV & NEN

New Amharic Standard Version

መዝሙር 103:1-22

መዝሙር 103

እግዚአብሔር ፍቅር ነው

የዳዊት መዝሙር።

1ነፍሴ ሆይ፤ እግዚአብሔርን ባርኪ፤

የውስጥ ሰውነቴም ሁሉ ቅዱስ ስሙን ባርኪ።

2ነፍሴ ሆይ፤ እግዚአብሔርን ባርኪ፤

ውለታውንም ሁሉ አትርሺ፤

3ኀጢአትሽን ሁሉ ይቅር የሚል፣

ደዌሽንም ሁሉ የሚፈውስ፣

4ሕይወትሽን ከጥፋት ጕድጓድ የሚያድን፣

ምሕረትንና ርኅራኄን የሚያቀዳጅሽ፣

5ጕልማሳነትሽም እንደ ንስር ይታደስ ዘንድ፣

ምኞትሽን በበጎ ነገር የሚያረካ እርሱ ነው።

6እግዚአብሔር ለተጨቈኑ ሁሉ፣

ቅን ፍርድንና ፍትሕን ይሰጣቸዋል።

7መንገዱን ለሙሴ፣

ሥራውንም ለእስራኤል ሕዝብ አሳወቀ።

8እግዚአብሔር መሓሪና ይቅር ባይ፣

ለቍጣ የዘገየ፣ ፍቅሩም የበዛ ነው።

9እርሱ ሁልጊዜ በደልን አይከታተልም፤

ለዘላለምም አይቈጣም።

10እንደ ኀጢአታችን አልመለሰልንም፤

እንደ በደላችንም አልከፈለንም።

11ሰማይ ከምድር ከፍ እንደሚል፣

እንዲሁ ለሚፈሩት ምሕረቱ ታላቅ ናት።

12ምሥራቅ ከምዕራብ እንደሚርቅ፣

መተላለፋችንን በዚያው መጠን ከእኛ አስወገደ።

13አባት ለልጆቹ እንደሚራራ፣

እግዚአብሔር ለሚፈሩት እንዲሁ ይራራል።

14እርሱ አፈጣጠራችንን ያውቃልና፤

ትቢያ መሆናችንንም ያስባል።

15ሰው እኮ ዘመኑ እንደ ሣር ነው፤

እንደ ዱር አበባ ያቈጠቍጣል፤

16ነፋስ በነፈሰበት ጊዜ ግን ድራሹ ይጠፋል፤

ምልክቱም በቦታው አይገኝም።

17የእግዚአብሔር ምሕረት ግን፣

ከዘላለም እስከ ዘላለም በሚፈሩት ላይ ነው፤

ጽድቁም እስከ ልጅ ልጅ ድረስ በላያቸው ይሆናል፤

18ኪዳኑን በሚጠብቁት ላይ፣

ትእዛዙንም ለመፈጸም በሚተጕት ላይ ይሆናል።

19እግዚአብሔር ዙፋኑን በሰማይ አጽንቷል፤

መንግሥቱም ሁሉን ትገዛለች።

20እናንተ ለቃሉ የምትታዘዙ መላእክቱ፣

ትእዛዙንም የምትፈጽሙ እናንተ ኀያላን፤

እግዚአብሔርን ባርኩ።

21እናንተ ፈቃዱን የምትፈጽሙ አገልጋዮቹ፣

ሰራዊቱ ሁሉ፣ እግዚአብሔርን ባርኩ።

22እናንተ በግዛቱ ሁሉ የምትኖሩ፣

ፍጥረቱ ሁሉ፣ እግዚአብሔርን ባርኩ፤

ነፍሴ ሆይ፤ እግዚአብሔርን ባርኪ።

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 103:1-22

Zaburi 103

Upendo Wa Mungu

Zaburi ya Daudi.

1103:1 Za 28:6; 104:1; 30:4Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.

Vyote vilivyomo ndani yangu

vilihimidi jina lake takatifu.

2103:2 Za 106:1; 117:1; Kum 6:12; Za 77:11Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana,

wala usisahau wema wake wote,

3103:3 Kut 34:7; 15:26; Kol 3:13; 1Pet 2:24; 1Yn 1:9akusamehe dhambi zako zote,

akuponya magonjwa yako yote,

4103:4 Za 34:22; 56:13; 8:5; 23:6; Isa 43:1aukomboa uhai wako na kaburi,

akuvika taji ya upendo na huruma,

5103:5 Ay 33:25; Za 90:14; 104:28; 119:25, 93; 2Kor 4:16; Kut 19:4atosheleza mahitaji yako kwa vitu vyema,

ili ujana wako uhuishwe kama wa tai.

6103:6 Za 9:8; 74:21; 65:5; Isa 9:7; Lk 4:10Bwana hutenda haki,

naye huwapa hukumu ya haki wote wanaoonewa.

7103:7 Za 99:7; 147:19; 106:22; Kut 33:13Alijulisha Mose njia zake,

na wana wa Israeli matendo yake.

8103:8 Kut 22:27; 34:6; Za 86:15; Mik 7:18-19; Yak 5:11; Kum 5:10; Hes 14:18Bwana ni mwingi wa huruma na mwenye neema;

si mwepesi wa hasira, bali amejaa upendo.

9103:9 Yer 3:5, 12; Mik 7:18; Isa 57:16; Za 30:5; 79:5Yeye hatalaumu siku zote,

wala haweki hasira yake milele,

10103:10 Ezr 9:13; Rum 6:23yeye hatutendei kulingana na dhambi zetu

wala hatupatilizi kwa kadiri ya maovu yetu.

11103:11 Efe 3:18; Za 13:5; 57:10; 100:5; 106:45; 117:2; Mao 3:22; 2Nya 6:31Kama vile mbingu zilivyo juu ya dunia sana,

ndivyo wema wake ulivyo mwingi kwa wanaomcha;

12103:12 2Sam 12:13; Rum 4:7; Efe 1:7; 2:5; Isa 43:25kama mashariki ilivyo mbali na magharibi,

ndivyo Mungu alivyoziweka dhambi zetu mbali nasi.

13103:13 Mal 3:17; Kum 8:5; 1Yn 3:1; Isa 63:15, 16Kama baba alivyo na huruma kwa watoto wake,

ndivyo Bwana anavyowahurumia wale wanaomcha;

14103:14 Za 119:73; 139:13-15; 146:4; Isa 29:16; Mwa 2:7kwa kuwa anajua tulivyoumbwa,

anakumbuka kwamba sisi tu mavumbi.

15103:15 Za 37:2; 90:5; 102:11; Yak 1:10; Isa 40:6; Ay 14:2Kuhusu mwanadamu, siku zake ni kama majani,

anachanua kama ua la shambani;

16103:16 Isa 40:7; Hag 1:9; Ay 7:8upepo huvuma juu yake nalo hutoweka,

mahali pake hapalikumbuki tena.

17103:17 Mwa 48:11; Ezr 9:12; Kut 20:6Lakini kutoka milele hata milele

upendo wa Bwana uko kwa wale wamchao,

nayo haki yake kwa watoto wa watoto wao:

18103:18 Yn 14:15; Kum 7:9; 28:9; Za 119:52; Hes 15:40; Za 47:8; 80:1; 113:5; 22:28; 66:7; Dan 4:17kwa wale walishikao agano lake

na kukumbuka kuyatii mausia yake.

19Bwana ameweka imara kiti chake cha enzi mbinguni,

ufalme wake unatawala juu ya vyote.

20103:20 Neh 9:6; Lk 2:13; Ebr 1:14; Za 29:1; 28:6; 107:25; 135:7; 148:8; Mt 6:10Mhimidini Bwana, enyi malaika zake,

ninyi mlio mashujaa mnaozitii amri zake,

ninyi mnaotii neno lake.

21103:21 1Fal 22:19; Neh 7:73; Dan 7:9; Mwa 32:2Mhimidini Bwana, ninyi jeshi lake lote la mbinguni,

ninyi watumishi wake mnaofanya mapenzi yake.

22103:22 Za 104:1; 67:3; 19:1; 145:10; 150:1, 6Mhimidini Bwana, kazi zake zote

kila mahali katika milki yake.

Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.