ሕዝቅኤል 7 – NASV & NEN

New Amharic Standard Version

ሕዝቅኤል 7:1-27

ፍጻሜው ደረሰ

1የእግዚአብሔር ቃል እንዲህ ሲል ወደ እኔ መጣ፤ 2“አንተ የሰው ልጅ ሆይ፤ ጌታ እግዚአብሔር ለእስራኤል ምድር እንዲህ ይላል፤

“ ‘ፍጻሜ! በአራቱም የምድሪቱ ማእዘን

ፍጻሜ መጥቷል!

3አሁንም መጨረሻሽ ደርሷል፤

ቍጣዬን በአንቺ ላይ አፈስሳለሁ፤

እንደ አካሄድሽ እፈርድብሻለሁ፤

ስለ ጸያፍ ተግባርሽ ሁሉ፣

ተገቢውን ቅጣት እከፍልሻለሁ።

4በርኅራኄ ዐይን አልመለከትሽም፤

ምሕረትም አላደርግልሽም፤

ስለ አካሄድሽና በመካከልሽ ስላለው ጸያፍ ተግባር፣

ተገቢውን ቅጣት እከፍልሻለሁ፤

በዚያ ጊዜ እኔ እግዚአብሔር እንደ ሆንሁ ታውቃላችሁ።’

5“ጌታ እግዚአብሔር እንዲህ ይላል፤

“ ‘መዓት! ተሰምቶ የማይታወቅ መዓት7፥5 አብዛኛዎቹ የዕብራይስጥ የጥንት ቅጆች እንዲሁ ናቸው፤ አንዳንድ የዕብራይስጥና የሱርስት የጥንት ቅጆች ግን በጥፋት ላይ ጥፋት ይላሉ ይመጣል።

6ፍጻሜ መጥቷል!

ፍጻሜ መጥቷል!

በአንቺ ላይ ተነሣሥቷል፤

እነሆ፤ ደርሷል!

7እናንት በምድሪቱ የምትኖሩ ሆይ፤

የጥፋት ፍርድ መጥቶባችኋል፤

ጊዜው ደርሷል፤

በተራሮች ላይ እልልታ ሳይሆን ሽብር የሚሰማበት ቀን ቀርቧል።

8እነሆ፤ መዓቴን በቅርብ ቀን አፈስስብሻለሁ፤

በአንቺ ላይ ቍጣዬን እፈጽምብሻለሁ፤

እንደ አካሄድሽ እፈርድብሻለሁ፤

ስለ ጸያፍ ተግባርሽም ሁሉ ተገቢውን ቅጣት እከፍልሻለሁ።

9በርኅራኄ ዐይን አልመለከትሽም፤

ምሕረት አላደርግልሽም፤

ስለ አካሄድሽና በመካከልሽ ስላለው ጸያፍ ተግባር፣

ተገቢውን ቅጣት እከፍልሻለሁ፤

በዚያ ጊዜ፣ የምቀሥፍ እኔ እግዚአብሔር መሆኔን ታውቃላችሁ።

10“ ‘እነሆ ቀኑ ይኸው ደረሰ!

የጥፋት ፍርድ ተገልጧል፤

በትሩ አቈጥቍጧል፤

ትዕቢት አብቧል።

11ዐመፅ ዐድጋ7፥11 ወይም ዐመፀኛው የክፋት በትር

የክፋት በትር ሆነች፤

ከሕዝቡ አንድም አይተርፍም፤

ከሰዎቹ፣

ከሀብታቸውና እርባና ካለው ነገር

አንዳች አይቀርም።

12ጊዜው ደርሷል፤

ቀኑም ይኸው!

መዓት በሕዝቡ ሁሉ ላይ ስለ መጣ፣

የሚገዛ አይደሰት፤

የሚሸጥም አይዘን።

13ሁለቱ በሕይወት እስካሉ ድረስ

ሻጩ የሸጠውን መሬት አያስመልስም፤

ስለ መላው ሕዝብ የተነገረው ራእይ አይለወጥምና።

ከኀጢአታቸው የተነሣ ሕይወቱን ማትረፍ የሚችል አንድም አይገኝም።

14“ ‘መለከት ቢነፉም፣

ሁሉንም ነገር ቢያዘጋጁም፣

ወደ ጦርነት የሚሄድ አንድ እንኳ አይኖርም፤

መዓቴ በሕዝብ ሁሉ ላይ መጥቷልና።

15በውጭ ሰይፍ፣

በውስጥ ደግሞ ቸነፈርና ራብ አለ፤

በገጠር ያሉት

በሰይፍ ይወድቃሉ፤

በከተማ ያሉትም

በራብና በቸነፈር ያልቃሉ።

16ተርፈው ያመለጡት ሁሉ

በሸለቆ እንደሚኖሩ ርግቦች

ስለ ኀጢአታቸው እያለቀሱ

በተራራ ላይ ይሆናሉ።

17እጅ ሁሉ ይዝላል፤

ጕልበት ሁሉ ውሃ ይሆናል።

18ማቅ ይለብሳሉ፤

ሽብርም ይውጣቸዋል።

ፊታቸው ኀፍረት ይለብሳል፤

ራሳቸውም ይላጫል።

19“ ‘ብራቸውን በየጐዳናው ይጥላሉ፤

ወርቃቸውም እንደ ርኩስ ነገር ይቈጠራል።

በእግዚአብሔር የቍጣ ቀን

ብራቸውና ወርቃቸው

ሊያድናቸው አይችልም፤

በኀጢአት እንዲወድቁ ዕንቅፋት ሆኖባቸዋልና

በልተው አይጠግቡበትም፤ ሆዳቸውንም አይሞሉበትም።

20በውብ ዕንቋቸው ታብየዋል፤

ይህንም አስጸያፊ የጣዖት ምስሎቻቸውንና

ርኩስ ቅርጻ ቅርጾችን ለመሥራት ተጠቅመውበታል።

ስለዚህ እነዚህን ነገሮች ወደ ርኩሰት እለውጥባቸዋለሁ።

21ለባዕዳን ዝርፊያ፣ ለምድር ክፉዎችም ብዝበዛ አድርጌ አሳልፌ እሰጣለሁ፤

እነርሱም ያረክሱታል።

22ፊቴን ከእነርሱ እመልሳለሁ፤

እነርሱም የከበረውን ቦታዬን ያረክሳሉ፤

ወንበዴዎች ይገቡበታል፤

ያረክሱታልም።

23“ ‘ምድር በደም መፋሰስ፣

ከተማዪቱም በዐመፅ ተሞልታለችና

ሰንሰለት አዘጋጅ።

24እጅግ የከፉትን ከአሕዛብ አምጥቼ

ቤቶቻቸውን እንዲነጥቁ አደርጋለሁ፣

የኀያላኑንም ትዕቢት አጠፋለሁ፤

መቅደሳቸውም ይረክሳል።

25ሽብር በመጣ ጊዜ ሰላምን ይሻሉ፤

ነገር ግን አያገኟትም።

26ጥፋት በጥፋት ላይ፣

ወሬም በወሬ ላይ ይመጣል።

ራእይን ከነቢይ ለማግኘት ይጥራሉ፤

የሕግ ትምህርት ከካህኑ፣

ምክርም ከሽማግሌው ዘንድ ይጠፋል።

27ንጉሡ ያለቅሳል፤

መስፍኑ ተስፋ መቍረጥን ይከናነባል፤

የምድሪቱም ሕዝብ እጅ ትንቀጠቀጣለች።

የእጃቸውን እከፍላቸዋለሁ፤

ራሳቸው ባወጡት መስፈርት መሠረት

እፈርድባቸዋለሁ።

በዚያ ጊዜ እኔ እግዚአብሔር እንደ ሆንሁ ያውቃሉ።’ ”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 7:1-27

Mwisho Umewadia

1Neno la Bwana likanijia kusema: 27:2 Amo 8:2-10; Ufu 20:8; Mao 4:18“Mwanadamu, hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo kwa nchi ya Israeli: Mwisho! Mwisho umekuja juu ya pembe nne za nchi. 37:3 Eze 18:30; Mwa 6:13Sasa mwisho umekuja juu yenu nami nitamwaga hasira yangu dhidi yenu. Nitawahukumu sawasawa na matendo yenu na kuwalipiza kwa ajili ya desturi zenu zote za kuchukiza. 47:4 Yer 13:14; Eze 5:11; 23:49Sitawaonea huruma wala sitawarehemu, hakika nitalipiza kwa ajili ya matendo yenu na desturi zenu za machukizo miongoni mwenu. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.

57:5 2Fal 21:12“Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Maafa! Maafa ambayo hayajasikiwa yanakuja. 67:6 Eze 39:8Mwisho umewadia! Mwisho umewadia! Umejiinua wenyewe dhidi yenu. Umewadia! 77:7 Sef 1:14; Mal 3:2; 1Pet 4:17; Ay 18:20; Isa 2:12; Amo 5:18-20; Eze 12:23Maangamizi yamekuja juu yenu, ninyi mnaoishi katika nchi. Wakati umewadia, siku imekaribia, kuna hofu kuu ya ghafula, wala si furaha, juu ya milima. 87:8 Hos 5:10; Nah 1:6; Eze 36:19; 14:19; 20:8, 21; 9:8; Isa 42:25Ninakaribia kumwaga ghadhabu yangu juu yenu na kumaliza hasira yangu dhidi yenu, nitawahukumu sawasawa na matendo yenu na kuwalipiza kwa ajili ya desturi zenu zote za machukizo. 97:9 Yer 21:9; Isa 9:13; Eze 5:11; 22:31; Za 39:10Sitawaonea huruma wala sitawarehemu; nitawalipiza sawasawa na matendo yenu na desturi zenu za machukizo miongoni mwenu. Ndipo mtajua kuwa Mimi ndimi Bwana ambaye huwapiga kwa mapigo.

107:10 Za 89:32; Isa 10:5“Siku imefika! Imewadia! Maangamizi yamezuka ghafula, fimbo imechanua majivuno yamechipua! 117:11 Yer 16:6; Sef 1:18; Isa 58:4; Za 55:9Jeuri imeinuka kuwa fimbo ya kuadhibu uovu, hakuna hata mmoja wa hao watu atakayeachwa, hata mmoja wa kundi lile, hakuna utajiri, hakuna chenye thamani. 127:12 Isa 5:13-14; Eze 30:3; Isa 24:2Wakati umewadia, siku imefika. Mnunuzi na asifurahi wala muuzaji asihuzunike, kwa maana ghadhabu iko juu ya kundi lote. 137:13 Law 25:24-25Muuzaji hatajipatia tena ardhi aliyoiuza wakati wote wawili wangali hai, kwa kuwa maono kuhusu kundi lote hayatatanguka. Kwa sababu ya dhambi zao, hakuna hata mmoja atakayeokoa maisha yake. 147:14 Ay 39:24; Yer 25:38Wajapopiga tarumbeta na kuweka kila kitu tayari, hakuna hata mmoja atakayekwenda vitani, kwa maana ghadhabu yangu iko juu ya kundi lote.

157:15 Kum 32:25; Yer 14:18; Mao 1:20; Eze 5:12; 33:27“Nje ni upanga, ndani ni tauni na njaa, wale walioko shambani watakufa kwa upanga, nao wale waliomo mjini njaa na tauni vitawala. 167:16 Mwa 8:8; Isa 59:11; 10:20; Ezr 9:15; Yer 9:19; 41:16; 42:17Wale wote watakaopona na kutoroka watakuwa milimani, wakiomboleza kama hua wa mabondeni, kila mmoja kwa sababu ya dhambi zake. 177:17 2Fal 19:26; Isa 13:7; Dan 6:5; Yer 43:7; Eze 21:7; 22:14Kila mkono utalegea na kila goti litakuwa dhaifu kama maji. 187:18 Isa 15:2-3; Amo 8:10; Za 55:5; Yer 6:26; 4:8; 49:3; 48:37Watavaa nguo ya gunia na kufunikwa na hofu. Nyuso zao zitafunikwa na aibu na nywele za vichwa vyao zitanyolewa. 197:19 Isa 42:25; Sef 1:18; Hos 4:5; Eze 3:20; Mit 11:4; Yoe 1:15; Eze 13:5; 14:3Watatupa fedha yao barabarani, nayo dhahabu yao itakuwa najisi. Fedha yao na dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku hiyo ya ghadhabu ya Bwana. Hawatashibisha njaa yao au kujaza matumbo yao kwa hiyo fedha wala dhahabu, kwa sababu imewaponza wajikwae dhambini. 207:20 Eze 5:11; 16:17; Yer 7:30; 10:3; Isa 2:20Walijivunia vito vyao vizuri na kuvitumia kufanya sanamu za machukizo na vinyago vya upotovu. Kwa hiyo nitavifanya vitu hivyo kuwa najisi kwao. 217:21 2Fal 24:13; Hes 14:3Nitavitia vyote mikononi mwa wageni kuwa nyara na kuwa vitu vilivyotekwa mikononi mwa watu waovu wa dunia, nao watavinajisi. 227:22 Yer 2:27; 19:13; Eze 39:23-24; Za 74:7-8Nitageuza uso wangu mbali nao, nao waovu wa dunia watapanajisi mahali pangu pa thamani, wanyangʼanyi watapaingia na kupanajisi.

237:23 2Fal 21:16; Isa 1:15; Za 10:8; Eze 11:6; 22:9; Mwa 6:11“Andaa minyororo, kwa sababu nchi imejaa umwagaji wa damu na mji umejaa udhalimu. 247:24 Mao 2:7; Eze 24:21; 28:7; 2Nya 7:20Nitaleta taifa ovu kuliko yote ili kumiliki nyumba zao, nitakomesha kiburi cha wenye nguvu na mahali pao patakatifu patatiwa unajisi. 257:25 Yer 6:14; 8:11; Eze 13:10-16Hofu ya ghafula itakapokuja, watatafuta amani, lakini haitakuwepo. 267:26 Kum 29:21; 31:17; Yer 4:20; 18:18; Amo 8:11; Mik 3:6; Mal 2:7-9; Isa 47:11; 3:11; Eze 18:20; Za 109:19Maafa juu ya maafa yatakuja, tetesi ya mabaya juu ya tetesi ya mabaya. Watajitahidi kupata maono kutoka kwa nabii, mafundisho ya sheria toka kwa kuhani yatapotea, vivyo hivyo shauri kutoka kwa wazee. 27Mfalme ataomboleza, mwana wa mfalme atavikwa kukata tamaa, nayo mikono ya watu wa nchi itatetemeka. Nitawashughulikia sawasawa na matendo yao na kwa kanuni zao wenyewe nitawahukumu. Ndipo watajua kwamba Mimi ndimi Bwana.”