학개 2 – KLB & NEN

Korean Living Bible

학개 2:1-23

새 성전이 더 화려할 것을 약속함

1그 해 7월 21일에 여호와께서 예언자 학개에게 다시 말씀하셨다.

2“너는 스알디엘의 아들인 유다 총독 스룹바벨과 여호사닥의 아들인 대제사장 여호수아와 남은 백성에게 내가 이렇게 말한다고 일러 주어라.

3‘너희 가운데 이전의 성전이 얼마나 화려했는지 기억할 수 있는 자가 있느냐? 지금 이 성전은 너희에게 어떻게 보이느냐? 이것은 너희에게 보잘것없어 보이지 않느냐?

4그러나 용기를 가져라. 스룹바벨과 여호수아와 이 땅 모든 백성아, 힘을 내어 일하라. 내가 너희와 함께한다. 이것은 전능한 나 여호와의 말이다.

5너희가 이집트에서 나올 때에 내가 항상 너희와 함께하겠다고 약속한 대로 내가 지금도 너희와 함께한다. 그러므로 너희는 두려워하지 말아라.

6“ ‘조금 후에 내가 한 번 더 하늘과 땅과 바다와 육지를 진동시키고

7모든 나라를 뒤흔들어 놓겠다. 온 세상의 보물이 이리로 굴러들어올 것이며 내가 이 성전을 영광으로 충만하게 할 것이다.

8은도 내 것이요 금도 내 것이다.

9새 성전이 옛 성전보다 더욱 찬란할 것이다. 그리고 내가 이 곳에 평안을 주겠다. 이것은 전능한 나 여호와의 말이다.’ ”

부정한 백성과 축복을 약속하시는 하나님

10다리우스황제 2년 9월 24일에 여호와께서 예언자 학개에게 말씀하셨다.

11“전능한 나 여호와가 말한다. 너는 율법에 대하여 제사장에게 이렇게 물어 보아라.

12‘사람이 만일 거룩한 제물의 고기를 옷자락에 싸가지고 가다가 그 옷자락이 떡이나 국이나 포도주나 기름이나 다른 음식물에 닿으면 그래도 그것이 거룩하겠습니까?’ ” 그래서 학개가 제사장들에게 묻자 그들은 “아닙니다” 하고 대답하였다.

13그때 학개가 “만일 시체를 만져서 부정하게 된 자가 이 음식물 중 하나를 만지면 그것도 역시 부정하겠습니까?” 하고 다시 묻자 제사장들은 “부정합니다” 하고 대답하였다.

14그러자 학개가 대답하였다. “여호와께서 이렇게 말씀하십니다. ‘내 앞에서는 이 백성과 이 나라가 마찬가지이다. 그들이 행하는 일도 부정하고 그들이 드리는 것도 다 부정하다.

15이제 너희는 2:15 또는 ‘여호와의 전에 돌이 돌 위에 첩놓이지 않았던 때를 추억하라’성전 재건 공사를 시작하기 전에 있었던 일을 잘 생각해 보아라.

16그때 너희는 곡식 20석을 기대하고 갔으나 10석뿐이었으며 포도주 50통을 길으려고 포도즙틀로 갔으나 20통뿐이었다.

172:17 또는 ‘너희 손으로 지은 모든 일에’너희가 기르는 모든 것에 내가 뜨거운 바람과 곰팡이와 우박으로 쳤으나 너희는 나에게 돌아오지 않았다.

18오늘은 9월 24일, 곧 성전 기초 공사를 완성한 날이다. 너희는 오늘 이후의 일을 잘 관찰해 보아라.

19아직도 창고에 남아 있는 씨앗이 있느냐? 지금까지는 포도나무, 무화과나무, 석류나무, 감람나무가 열매를 맺지 못하였으나 오늘부터는 내가 너희에게 복을 내려 주겠다.’ ”

스룹바벨에 대한 여호와의 약속

20그 날 여호와께서 다시 학개에게 말씀하셨다.

21“너는 유다 총독 스룹바벨에게 이렇게 말하라. ‘내가 하늘과 땅을 진동시키며

22여러 나라의 왕위를 뒤엎고 그 권력을 무너뜨리며 전차와 그 전차병을 엎어 버리겠다. 말과 기병들이 서로서로 친 칼날에 쓰러질 것이다.

23전능한 나 여호와가 말한다. 스알디엘의 아들 내 종 스룹바벨아, 그 날에 내가 너를 세워 내 인장 반지처럼 사용하겠다. 이것은 내가 너를 택하였기 때문이다.’ ”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hagai 2:1-23

Utukufu Ulioahidiwa Wa Nyumba Mpya

12:1 Law 23:34; Yn 7:37; Ezr 5:1Katika siku ya ishirini na moja ya mwezi wa saba, neno la Bwana lilikuja kupitia nabii Hagai, kusema: 22:2 Hag 1:12; 1Nya 6:15“Sema na Zerubabeli mwana wa Shealtieli, mtawala wa Yuda, kuhani mkuu Yoshua mwana wa Yehosadaki, na mabaki ya watu. Uwaulize, 32:3 Ezr 3:12; Isa 60:7; Zek 4:10‘Ni nani miongoni mwenu aliyebaki ambaye aliiona hii nyumba katika utukufu wake wa mwanzo? Sasa inaonekanaje kwenu? Je, haionekani kwenu kama si kitu? 42:4 Zek 8:9; Hag 1:13; 1Sam 16:18; Mk 16:20; Rum 8:31; 1Nya 28:20; Efe 6:10; Kut 3:12; 33:14; Hes 14:9; Mdo 7:9; 2Sam 5:10Lakini sasa uwe imara, ee Zerubabeli,’ asema Bwana. ‘Kuwa imara, ee kuhani mkuu Yoshua mwana wa Yehosadaki. Mwe imara, enyi watu wote wa nchi,’ asema Bwana, ‘na mfanye kazi. Kwa kuwa mimi nipo pamoja nanyi,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. 52:5 Mwa 6:18; 15:1; Kut 29:46; Neh 9:20; Zek 4:6; 8:13; Isa 63:11; Ezr 5:2; 1Nya 28:20‘Hili ndilo nililoagana nanyi mlipotoka katika nchi ya Misri. Pia Roho wangu anadumu katikati yenu. Msiogope.’

62:6 Kut 19:18; Ay 9:6; Isa 10:25; 14:16; 34:4; Eze 38:19; Yer 4:26; Ebr 12:26“Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Baada ya muda kidogo kwa mara nyingine nitazitikisa mbingu na nchi, bahari na nchi kavu. 72:7 1Sam 9:20; Isa 60:7; Mwa 3:15; Kum 18:15; Za 24:7; Lk 2:32; Kut 16:7; 29:43Nitatikisa mataifa yote, nacho kile kinachotamaniwa na mataifa yote kitakuja, nami nitaujaza utukufu katika nyumba hii,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. 82:8 1Nya 29:2‘Fedha ni mali yangu na dhahabu ni mali yangu,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. 92:9 Za 85:9; Isa 9:6; 11:10; 60:7, 17; Law 26:6; Ezr 3:12; Lk 11:31; 2:14; Yn 1:14‘Utukufu wa nyumba hii ya sasa utakuwa mkubwa kuliko utukufu wa ile nyumba ya mwanzoni,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. ‘Na mahali hapa nitawapa amani,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.”

Baraka Kwa Watu Waliotiwa Unajisi

102:10 Hag 1:15Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi wa tisa, katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Dario, neno la Bwana lilikuja kwa nabii Hagai: 112:11 Law 10:10-11; Kum 17:8-11; 33:8; Yer 18:18“Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Ulizeni makuhani jinsi sheria inavyosema: 122:12 Yer 11:15; Mwa 7:2Kama mtu akibeba nyama iliyowekwa wakfu katika pindo la vazi lake, kisha lile pindo likagusa mkate au mchuzi, divai, mafuta au chakula kingine, je, kitu hicho kitakuwa kimewekwa wakfu?’ ”

Makuhani wakajibu, “La hasha.”

132:13 Law 22:4-6; Hes 19:13Kisha Hagai akasema, “Je, kama mtu aliyetiwa unajisi kwa kugusa maiti akigusa mojawapo ya vitu hivi, kitu hicho kitakuwa kimetiwa unajisi?”

Makuhani wakajibu, “Ndiyo, huwa kimenajisiwa.”

142:14 Isa 1:13; 29:13; Tit 1:14-15; Za 51:17Kisha Hagai akasema, “ ‘Basi ndivyo walivyo machoni pangu hawa watu na taifa hili,’ asema Bwana. ‘Lolote wafanyalo na chochote watoacho hapo ni najisi.

152:15 Ezr 3:10; 4:24; Hag 1:5“ ‘Sasa fikirini kwa uangalifu kuanzia leo na kuendelea: tafakarini jinsi mambo yalivyokuwa kabla halijawekwa jiwe moja juu ya lingine katika Hekalu la Bwana. 162:16 Rut 3:7; Ay 24:11; Isa 5:2, 10; Hag 1:6; Kum 28:38Wakati mtu alipoendea lundo la nafaka la vipimo ishirini, kulikuwa na vipimo kumi tu. Wakati mtu alipoendea pipa la mvinyo ili kuchota vipimo hamsini, kulikuwa na vipimo ishirini tu. 172:17 Hag 1:11; Kut 9:18; Kum 28:22; Za 78:48; Isa 9:13; Amo 4:6; 1Fal 8:37; Yer 3:10; 5:3Kazi zenu zote za mikono nilizipiga kwa ukame, ukungu na mvua ya mawe, lakini hata hivyo, hamkunigeukia mimi,’ asema Bwana. 182:18 Zek 8:9; Hag 1:5; Ezr 3:11‘Tangu leo na kuendelea, kuanzia siku hii ya ishirini na nne ya mwezi wa tisa, tafakarini siku ambayo msingi wa Hekalu la Bwana uliwekwa. Tafakarini: 192:19 Kut 28:33; Yoe 1:12; 2:14; Mwa 12:2; Law 25:21; Za 128:1-6Je, bado kuna mbegu iliyobakia ghalani? Mpaka sasa, hakuna mzabibu au mtini, mkomamanga wala mzeituni uliozaa tunda.

“ ‘Kuanzia leo na kuendelea, nitawabariki.’ ”

Zerubabeli Pete Ya Muhuri Ya Bwana

202:20 Ezr 1:5; Hag 1:15Neno la Bwana likamjia Hagai kwa mara ya pili katika siku ya ishirini na nne ya mwezi kusema: 212:21 Ezr 5:2; Isa 14:16; Eze 21:27; 38:19-20; Ebr 12:26“Mwambie Zerubabeli mtawala wa Yuda kwamba nitazitikisa mbingu na nchi. 222:22 Mwa 19:25; Ay 2:13; Dan 2:44; Mik 5:10; Mt 24:7; Kut 15:21; Eze 38:21; Amu 7:22Nitapindua viti vya enzi vya falme, na kuziharibu kabisa nguvu za falme za kigeni. Nitapindua magari ya vita pamoja na waendeshaji wake; farasi na wapanda farasi wataanguka, kila mmoja kwa upanga wa ndugu yake.

232:23 Zek 4:10; Kut 28:9; Dan 9:24-26; Mwa 38:18; 2Kor 1:22; Mt 1:12; Wim 8:6; Yer 22:24; Isa 2:11; 10:20; 20:3; 2:1“ ‘Katika siku ile,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, ‘nitakuchukua wewe, mtumishi wangu Zerubabeli mwana wa Shealtieli,’ asema Bwana. ‘Nitakufanya kama pete yangu ya muhuri, kwa kuwa nimekuchagua,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.”