욥기 19 – KLB & NEN

Korean Living Bible

욥기 19:1-29

1그래서 욥이 이렇게 대답하였다.

2“너희가 언제까지 나를 괴롭히고 말로 나를 꺾을 작정이냐?

3너희가 열 번이나 나를 책망하며 학대하고도 부끄러워하지 않는구나.

4나에게 정말 잘못이 있다고 해도 그것은 나 혼자만의 문제이다.

5너희는 나보다 낫다고 생각하며 내가 당하는 어려움이 내 죄의 대가라고 여기고 싶겠지만

6너희가 먼저 알아야 할 것은 나를 이렇게 하신 분이 하나님이시며 그가 나를 잡기 위해서 덫을 놓았다는 사실이다.

7“내가 학대를 받고 있다고 부르짖어도 아무런 응답이 없고 도움을 요청하여도 해결해 주는 자가 없구나.

8하나님이 내 길을 막아 나를 지나가지 못하게 하시며 그 길을 가려 어둡게 하시고

9또 나의 영광을 빼앗아 가셨으며 내 머리의 면류관을 벗기셨다.

10그가 사방에서 나를 치시므로 내가 죽게 되었다. 그가 나무 뽑듯이 내 희망을 뿌리째 뽑아 버리시고

11나를 향해 노하시며 나를 원수같이 여기시고

12그의 군대를 보내 내 집을 포위하는구나.

13“하나님이 내 형제들을 내게서 멀리 떠나게 하시므로 나를 아는 자들에게 내가 낯선 사람이 되고 말았다.

14내 친척들도 나를 저버리고 내 친구들도 모두 나를 잊었다.

15내 집에 묵고 있는 손님들과 심지어 내 종들까지도 나를 모르는 척하므로 내가 그들에게 외국 사람같이 되고 말았다.

16내 종을 불러도 대답하지 않으니 내가 사정하는 신세가 되었다.

17내 아내도 내 입에서 나는 냄새를 맡지 못하고 내 형제들도 내 곁에 가까이 오기를 싫어하며

18어린 아이들까지 나를 보면 업신여기고 조롱하는구나.

19나의 제일 가까운 친구들도 나를 싫어하며 내가 사랑하던 사람들도 돌이켜 나의 대적이 되었다.

20나는 뼈와 가죽만 남아 겨우 목숨만 붙어 있는 신세가 되었구나.

21내 친구들이여, 나를 좀 불쌍히 여겨다오. 하나님의 손이 나를 치셨다.

22너희가 어째서 하나님처럼 나를 핍박하느냐? 나를 이처럼 괴롭히고도 아직 마음에 만족함이 없느냐?

23“누가 내 말을 기억하였다가 책에 기록해 두었으면!

24누가 철필로 내 말을 돌에 새겨 그것이 영원히 보존되도록 했으면 좋겠구나!

25내가 알기에는 나를 19:25 또는 ‘구속자가’구하실 분이 살아 계시므로 그가 결국 땅 위에 서실 것이다.

26내 육체의 가죽이 썩은 후에는 내가 육체 밖에서 하나님을 볼 것이며

27그 때는 내 눈이 그를 보아도 낯선 사람처럼 하지 않을 것이니 내 마음이 한없이 설레는구나!

28“너희는 ‘우리가 어떻게 그를 괴롭혀 줄까?’ 하고 나를 칠 구실을 찾겠지만

29너희는 칼을 두려워해야 한다. 분노는 칼의 형벌을 초래하므로 너희가 심판이 있는 것을 알게 될 것이다.”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 19:1-29

Hotuba Ya Sita Ya Ayubu

Ayubu Anajibu: Najua Mkombozi Wangu Yu Hai

1Ndipo Ayubu akajibu:

219:2 1Sam 1:6; Za 6:2, 3; Ay 6:9; 13:25“Je, mtaendelea kunitesa mpaka lini,

na kuniponda kwa maneno yenu?

319:3 Mwa 31:7; Ay 20:3Mara kumi hizi mmenishutumu;

bila aibu mnanishambulia.

419:4 Ay 6:24; Za 19:12; Eze 18:4Kama ni kweli nimepotoka,

kosa langu ninabaki kuhusika nalo mwenyewe.

519:5 Za 38:16; 55:12; Mik 7:8Kama kweli mngejitukuza wenyewe juu yangu,

na kutumia unyonge wangu dhidi yangu,

619:6 Ay 6:29; 18:8; 10:3basi jueni kuwa Mungu amenitendea yaliyo mabaya,

naye amekokota wavu wake kunizunguka.

719:7 Ay 9:24; 30:20; Za 22:2; Hab 1:2-4“Ingawa ninalia, ‘Nimetendewa mabaya!’ sipati jibu;

ingawa ninaomba msaada, hakuna haki.

819:8 Mao 3:7; Hos 2:6; Mhu 6:4; Yer 14:19Yeye ameizuia njia yangu hivyo siwezi kupita;

ameyafunika mapito yangu na giza.

919:9 Ay 12:17; Za 89:39-44; Mao 5:16Amenivua heshima yangu,

na kuniondolea taji kichwani pangu.

1019:10 Ay 12:14; 7:6; 14:7Amenibomoa kila upande hadi nimeisha;

amelingʼoa tegemeo langu kama mti.

1119:11 Ay 16:9; 13:14Hasira yake imewaka juu yangu;

amenihesabu kuwa miongoni mwa adui zake.

1219:12 Ay 16:13; 16:10; 3:23Majeshi yake yananisogelea kwa nguvu;

yamenizingira,

yamepiga kambi kulizunguka hema langu.

1319:13 Ay 16:10-13; 30:12; Mt 26:56; 2Tim 4:16“Amewatenga ndugu zangu mbali nami;

wale tunaojuana nao wamefarakana nami kabisa.

1419:14 Ay 19:19; 2Sam 15:12; Ay 12:4; 16:20; Za 88:18; Yer 20:10; 38:22Watu wa jamaa yangu wamekwenda mbali;

rafiki zangu wamenisahau.

1519:15 Mwa 14:14; Mhu 2:7Wageni wangu na watumishi wangu wa kike wananiona kama mgeni;

wananitazama kama mgeni.

16Namwita mtumishi wangu, wala haitiki,

ingawa namwomba kwa kinywa changu mwenyewe.

1719:17 Za 38:5Pumzi ya kinywa changu ni kinyaa kwa mke wangu;

nimekuwa chukizo mno kwa ndugu zangu mwenyewe.

1819:18 2Fal 2:23; Ay 13:25Hata watoto wadogo hunidhihaki;

ninapojitokeza, hunifanyia mzaha.

1919:19 Za 38:11; 55:12-13; Ay 3:10Rafiki zangu wa moyoni wote wananichukia kabisa;

wale niwapendao wamekuwa kinyume nami.

2019:20 Ay 2:5Mimi nimebaki mifupa na ngozi tu;

nimeponea nikiwa karibu kufa.

2119:21 Ay 6:14; Amu 2:15; Ay 4:5; 10:3; Mao 3:1“Nihurumieni, rafiki zangu, kuweni na huruma,

kwa kuwa mkono wa Mungu umenipiga.

2219:22 Ay 13:25; 16:11; Mit 30:14; Isa 53:4Kwa nini mnanifuatia kama Mungu afanyavyo?

Hamtosheki kamwe na mwili wangu?

2319:23 Kut 17:16; Isa 30:8“Laiti maneno yangu yangewekwa kwenye kumbukumbu,

laiti kwamba yangeandikwa kwenye kitabu,

2419:24 Yer 17:1; Ay 16:18kwamba yangechorwa kwenye risasi kwa kifaa cha chuma,

au kuyachonga juu ya mwamba milele!

2519:25 Law 25:25; Mit 23:11; 1Sam 14:39; Ay 16:19Ninajua kwamba Mkombozi19:25 Au: Mtetezi. wangu yu hai,

naye kwamba mwishoni atasimama juu ya nchi.

2619:26 Hes 12:8; 1Yn 3:2Nami baada ya ngozi yangu kuharibiwa,

bado nikiwa na mwili huu nitamwona Mungu;

2719:27 Lk 2:30; Za 42:1; 63:1; 54:2mimi nitamwona kwa macho yangu mwenyewe:

mimi, wala si mwingine.

Tazama jinsi moyo wangu unavyomtamani sana!

28“Kama mkisema, ‘Tazama tutakavyomwinda,

maadamu mzizi wa tatizo uko ndani yake,’

2919:29 Ay 15:22; Za 58:11; Mhu 12:14ninyi wenyewe uogopeni upanga,

kwa kuwa ghadhabu italeta adhabu kwa upanga,

nanyi ndipo mtakapojua kwamba kuna hukumu.”