하나님의 위대하심을 찬양하라
1새 노래로
여호와께 노래하라.
온 땅이여, 여호와께 노래하라.
2여호와께 노래하여
그 이름을 찬양하고
그의 구원의 기쁜 소식을
날마다 전파하라.
3그의 영광을 온 세계에 선포하고
그가 행하시는 놀라운 일을
모든 민족에게 말하라.
4여호와는 위대하시고
높이 찬양을 받으실 분이시니
모든 신보다 두려워해야 하리라.
5세상의 모든 신들이
다 우상에 불과하나
여호와는 하늘을 만드셨다.
6영광과 위엄이 그 앞에 있고
능력과 아름다움이
그의 성소에 있구나.
7세상의 모든 민족들아,
영광과 능력을 여호와께 돌려라.
8여호와의 이름에
합당한 영광을 그에게 돌리고
예물을 가지고
그의 96:8 또는 ‘궁정에’성전에 들어가며
9거룩한 옷을 입고
여호와께 경배하라.
온 땅이여, 그 앞에서 떨어라.
10온 세계에 “여호와께서
통치하신다” 고 말하여라.
세계가 굳게 서고 움직일 수 없으니
그가 모든 민족을
공정하게 다스릴 것이다.
11하늘이여, 기뻐하라!
땅이여, 즐거워하라!
바다와 그 안에 있는
모든 생물아, 외쳐라.
12밭과 그 가운데 있는
모든 것들아, 즐거워하라.
그때 숲속의 모든 나무들이
여호와 앞에서 즐겁게 노래하리라.
13여호와께서 세상을
심판하러 오실 때
세계 만민을
의와 진리로 심판하시리라.
Zaburi 96
Mungu Mfalme Mkuu
(1 Nyakati 16:23-33)
196:1 Za 30:4; 33:3; 40:4; 98:1; 144:9; Isa 42:10; Ufu 5:9Mwimbieni Bwana wimbo mpya;
mwimbieni Bwana dunia yote.
296:2 Isa 42:10; Ufu 5:9; Za 68:4; 27:1; 71:15Mwimbieni Bwana, lisifuni jina lake;
tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.
396:3 Za 8:1; 71:17; 15:3Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa,
matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.
496:4 Za 48:1; 89:7; 95:3; Kum 28:58; 1Nya 16:25Kwa kuwa Bwana ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote;
yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.
596:5 Mwa 1:1; Isa 42:5; 41:24; Law 19:4; Yer 10:11; 2Nya 2:12; Hab 2:18-20; Mdo 19:26; 1Kor 8:4, 5Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu,
lakini Bwana aliziumba mbingu.
696:6 Za 21:5; 29:1; 89:17Fahari na enzi viko mbele yake;
nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.
796:7 Za 29:1; 22:27Mpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa,
mpeni Bwana utukufu na nguvu.
896:8 Za 45:12; 51:19; 72:10; 65:4; 84:10; 92:13; 100:4Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake;
leteni sadaka na mje katika nyua zake.
996:9 Kut 15:14; 23:25; Yon 1:9; Za 93:5; 114:7; 33:8Mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake;
dunia yote na itetemeke mbele zake.
1096:10 Za 97:1; 24:2; 78:69; 119:90; 93:1; 58:11; 67:4; 98:9Katikati ya mataifa semeni, “Bwana anatawala.”
Ulimwengu ameuweka imara, hauwezi kusogezwa;
atawahukumu watu kwa uadilifu.
1196:11 Ufu 12:12; Za 97:1; Isa 49:13Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi;
bahari na ivume, na vyote vilivyomo ndani yake;
1296:12 Isa 44:23; 55:12; Eze 17:24; Za 65:13mashamba na yashangilie,
pamoja na vyote vilivyomo ndani yake.
Kisha miti yote ya msituni itaimba kwa furaha;
1396:13 Ufu 19:11; Za 7:11; Mdo 17:31; Za 86:11itaimba mbele za Bwana kwa maana anakuja,
anakuja kuihukumu dunia.
Ataihukumu dunia kwa haki,
na mataifa katika kweli yake.