승리에 대한 찬양
(다윗의 시. 성가대 지휘자를 따라 부른 노래)
1여호와여, 주께서
왕에게 힘을 주셨으므로
그가 기뻐하고
주께서 왕에게 승리를 주셨으므로
그가 즐거워합니다.
2주께서는 그 마음의 소원을
들어주셨고
그의 요구를 거절하지
않으셨습니다.
3주는 풍성한 축복으로
그를 영접하시고
순금 면류관을
그 머리 위에 씌우셨습니다.
4그가 생명을 구했을 때
주께서 그것을 주시고
오래오래 살도록 하셨습니다.
5주께서 그에게 승리를 주셔서
그의 영광이 한층 돋보이게 하시고
그에게 명성과 위엄도 주셨습니다.
6주께서 그에게
영원한 축복을 주시고
그와 함께하셔서
그에게 한없는 기쁨을
누리게 하셨습니다.
7왕이 여호와를 의지하므로
그는 가장 높으신 분의
크신 사랑으로
흔들리지 않을 것입니다.
8왕은 자기를 미워하는
모든 원수들을 붙잡아
9그가 21:9 또는 ‘노할 때에’나타날 때에
그들을 용광로처럼 되게 할 것이다. 여호와께서 그의 분노로
그들을 삼키실 것이니
불이 그들을 소멸하리라.
10그들의 후손이
하나도 살아 남지 못할 것이니
왕이 그들을 모조리 죽일 것임이라.
11그들이 왕을 해할 음모를 꾸미지만
성공하지 못할 것이다.
12그들은 왕이 자기들을 향해
활을 겨누고 있는 것을 보고
돌아서서 도망하리라.
13여호와여, 주의 능력이 크시니
높임을 받으소서.
우리가 주의 크신 능력을
노래하고 찬양하겠습니다.
Zaburi 21
Shukrani Kwa Mungu Kwa Ajili Ya Ushindi
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
121:1 1Sam 2:10; 2Sam 22:51Ee Bwana, mfalme huzifurahia nguvu zako.
Tazama jinsi ilivyo kuu furaha yake
kwa ushindi unaompa!
221:2 Za 20:4; Yn 11:42Umempa haja ya moyo wake
na hukumzuilia maombi ya midomo yake.
321:3 2Sam 12:30; Ufu 14:14; Zek 6:11Ulimkaribisha kwa baraka tele
na kumvika taji ya dhahabu safi kichwani pake.
421:4 Za 10:16; 45:17; 48:14; 133:3; 2Sam 7:19Alikuomba maisha, nawe ukampa,
wingi wa siku milele na milele.
521:5 Za 18:50; 44:4; 8:5; 45:3; 93:1; 96:6; 104:1Kutokana na ushindi uliompa, utukufu wake ni mkubwa,
umeweka juu yake fahari na utukufu.
621:6 Za 43:4; 126:3; 1Nya 17:27Hakika umempa baraka za milele,
umemfanya awe na furaha
kwa shangwe ya uwepo wako.
721:7 2Fal 18:5; Za 6:4; 15:5; 55:22; 91:7; Mwa 14:18Kwa kuwa mfalme anamtumaini Bwana;
kwa upendo usiokoma wa Aliye Juu Sana hatatikiswa.
821:8 Isa 10:10Mkono wako utawashika adui zako wote,
mkono wako wa kuume utawakamata adui zako.
921:9 Kum 32:22; Yer 15:14Wakati utakapojitokeza
utawafanya kama tanuru ya moto.
Katika ghadhabu yake Bwana atawameza,
moto wake utawateketeza.
1021:10 Kum 28:18Utawaangamiza wazao wao kutoka duniani,
uzao wao kutoka wanadamu.
1121:11 Za 2:1; 10:2; 26:10; 37:7; Ay 10:3Ingawa watapanga mabaya dhidi yako
na kutunga hila, hawawezi kufanikiwa,
1221:12 Kut 23:27kwa kuwa utawafanya wakimbie
utakapowalenga usoni pao
kwa mshale kutoka kwenye upinde wako.
1321:13 Za 18:46; Ufu 15:3, 4Ee Bwana, utukuzwe katika nguvu zako,
tutaimba na kusifu nguvu zako.