시편 145 – KLB & NEN

Korean Living Bible

시편 145:1-21

은혜롭고 자비로우신 사랑의 하나님

(다윗의 찬양시)

1왕이신 나의

하나님이시여,

내가 주를 높이고

영원히 주의 이름을

찬양하겠습니다.

2내가 날마다 주께 감사하며

영원히 주를 찬양하겠습니다.

3여호와는 위대하시므로

높이 찬양을 받으실 분이시다.

그의 위대하심은 측량할 수가 없다.

4모든 세대가

주께서 행하신 일을 찬양하며

주의 능력 있는 일을

선포할 것입니다.

5내가 주의 영광과 위엄을 말하며

주의 놀라운 일을 묵상하겠습니다.

6사람들이 주의 능력 있는

일을 말할 것이며

나도 주의 위대하심을

선포하겠습니다.

7모든 사람이 주의 선하심을

기억하여 말하며

주의 의에 대하여 노래할 것입니다.

8여호와는 은혜롭고

자비로운 분이시며

쉽게 화를 내지 않으시고

사랑이 풍성한 분이시다.

9여호와는 모든 사람을

선하게 대하시며

그가 만드신 만물을

불쌍히 여기신다.

10여호와여, 주께서 만드신

모든 것이 주께 감사하며

주의 성도들이 주를

찬양할 것입니다.

11그들이 주의 나라의 영광을 말하고

주의 능력을 전하여

12모든 사람들이 주의 능력 있는 일과

주의 나라의 영광스러운 위엄을

알도록 할 것입니다.

13주의 나라는 영원한 나라이므로

주는 대대로 통치하실 것입니다.

14여호와께서는

곤경에 처한 자를 도우시며

넘어지는 자를 일으켜 세우십니다.

15모든 인류가 주를 바라보고 있으니

주는 그들에게 때를 따라

먹을 것을 주시고

16모든 생물의 필요를

145:16 또는 ‘손을 펴사’채워 주심으로

그들의 소원을 만족시켜 주십니다.

17여호와는 그가 행하시는

모든 일에 의로우시며

그 모든 행위에 자비로운 분이시다.

18여호와께서는 자기에게

부르짖는 모든 자,

곧 진실한 마음으로 부르짖는

모든 자에게 가까이하신다.

19그는 자기를 두려운 마음으로

섬기는 자들의 소원이

이루어지게 하시며

그들의 부르짖음을 들으시고

그들을 구원하신다.

20여호와께서는 자기를 사랑하는

모든 자를 보호하시고

악인들은 다 멸하실 것이다.

21내 입이 항상 여호와를 찬양하며

모든 인류가 그의 거룩한 이름을

영원히 찬양하리라.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 145:1-21

Zaburi 145145:1 Zaburi hii imetungwa kila mstari (ikiwa ni pamoja na 13b) ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.

Wimbo Wa Kusifu Ukuu Na Wema Wa Mungu

Wimbo wa Sifa. Wa Daudi.

1145:1 Za 30:1; 34:1; 2:6; 5:2; 54:6Nitakutukuza wewe, Mungu wangu Mfalme,

nitalisifu jina lako milele na milele.

2145:2 Za 71:6; 34:1; Isa 25:1; 26:8Kila siku nitakusifu

na kulitukuza jina lako milele na milele.

3145:3 2Sam 22:4; Ay 5:9; Za 95:3; 96:4Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana,

ukuu wake haupimiki.

4145:4 Za 22:30; 71:16; Kum 11:19Kizazi kimoja kitasifia kazi zako kwa kizazi kingine,

watasimulia matendo yako makuu.

5145:5 Za 96:6; 148:13; 75:1Watasema juu ya utukufu wa fahari ya ukuu wako,

nami nitatafakari juu ya kazi zako za ajabu.

6145:6 Kum 32:3; Za 75:1; 78:4; 66:3; 106:2Watasimulia uwezo wa kazi zako za kutisha,

nami nitatangaza matendo yako makuu.

7145:7 Kut 18:9; Za 5:11; 27:13; 138:5; 101:1Wataadhimisha wema wako mwingi,

na wataimba kwa shangwe juu ya haki yako.

8145:8 Za 57:10; 86:15; 103:8; Kut 34:6; Hes 14:18; Yn 1:17; Mao 3:22Bwana ni mwenye neema na mwingi wa huruma,

si mwepesi wa hasira, bali ni mwingi wa upendo.

9145:9 1Nya 16:34; Mt 19:17; Nah 1:7; Mk 10:18; Mdo 14:17; Za 103:13, 14; 136:1; 100:5Bwana ni mwema kwa wote,

ana huruma kwa vyote alivyovifanya.

10145:10 Za 8:6; 103:22; 139:14; 148:14; 19:1; 149:9; 30:4; 115:17-18Ee Bwana, vyote ulivyovifanya vitakusifu,

watakatifu wako watakutukuza.

11Watasimulia utukufu wa ufalme wako

na kusema juu ya ukuu wako,

12145:12 Za 103:19; 105:1; 75:1; Isa 2:10, 19, 21ili watu wote wajue matendo yako makuu

na utukufu wa fahari ya ufalme wako.

13145:13 Kut 15:18; 1Tim 1:17; 2Pet 1:11; Ufu 11:15; Kum 7:9; 1Kor 1:9; Yos 23:14Ufalme wako ni ufalme wa milele,

mamlaka yako hudumu vizazi vyote.

Bwana ni mwaminifu kwa ahadi zake zote

na mwenye upendo kwa vyote alivyovifanya.

14145:14 Za 37:17; 146:8; 38:6; 1Sam 2:8Bwana huwategemeza wote waangukao,

na huwainua wote waliolemewa na mizigo yao.

15145:15 Mwa 1:30; Ay 28:5; Mt 6:26; Za 37:25Macho yao wote yanakutazama wewe,

nawe huwapa chakula chao wakati wake.

16145:16 Za 90:14; 104; 28Waufumbua mkono wako,

watosheleza haja ya kila kitu kilicho hai.

17145:17 Kut 9:27; Ezr 9:15Bwana ni mwenye haki katika njia zake zote,

na mwenye upendo kwa vyote alivyovifanya.

18145:18 Flp 4:5; Za 46:1; 18:6; 80:18; 91:1; Isa 61:10; Ufu 3:20; Yak 4:8; 1Yn 2:24; Yud 23; Yn 4:23; 14:23; Hes 23:21Bwana yu karibu na wote wamwitao,

karibu na wote wamwitao kwa uaminifu.

19145:19 1Yn 5:14; Za 20:4; 31:22; 40:1; 7:10; 34:18; 1Sam 10:19; Ay 22:28Huwatimizia wamchao matakwa yao,

husikia kilio chao na kuwaokoa.

20145:20 Za 94:23; 31:23; 91:14; 97:10; 1:6; 1Pet 1:5Bwana huwalinda wote wampendao,

bali waovu wote atawaangamiza.

21145:21 Za 71:8; 65:2; 150:6; 30:4; 99:3; Kut 3:15Kinywa changu kitazinena sifa za Bwana.

Kila kiumbe na kilisifu jina lake takatifu

milele na milele.