시편 141 – KLB & NEN

Korean Living Bible

시편 141:1-10

악에 빠지지 않게 하소서

(다윗의 시)

1여호와여,

내가 주께 부르짖습니다.

속히 나에게 오셔서

내가 부르짖을 때

내 음성에 귀를 기울이소서.

2나의 기도를 주께 드리는

향과 저녁 제사처럼 받으소서.

3여호와여, 내 입에

경비병을 세우시고

내 입술의 문을 지키소서.

4내 마음이 악한 것에 끌려

악을 행하는 자들과 함께

악한 짓을 하지 않게 하시고

그들의 잔치에

참석하지 않게 하소서.

5의로운 자들이

나를 치고 책망할지라도

내가 그것을 좋게 여기고

거절하지 않을 것이나

141:5 또는 ‘저희의 재난 중에라도 내가 항상 기도하리로다’악인들의 악한 행위는

내가 대적하고

항상 기도하리라.

6그들의 통치자들이

바위 절벽에서 떨어질 때

사람들은

내 말을 들을 것이다.

7사람들이 밭을 갈아

흙덩이를 부수뜨려 놓은 것처럼

우리 뼈가 141:7 또는 ‘음부 문에’무덤가에 흩어졌구나.

8주 여호와여,

내가 주를 바라보며

주를 신뢰합니다.

나를 죽도록 내버려 두지 마소서.

9나를 지키셔서

악인들의 덫과 함정에

걸려들지 않게 하소서.

10그들을

자기 그물에 걸리게 하시고

나는 무사히 피하게 하소서.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 141:1-10

Zaburi 141

Maombi Ya Kuhifadhiwa Dhidi Ya Uovu

Zaburi ya Daudi.

1141:1 Za 22:19; 4:1; 5:1-2; 27:7; 143:1Ee Bwana, ninakuita wewe, uje kwangu hima.

Sikia sauti yangu ninapokuita.

2141:2 Lk 1:9; Ufu 5:8; 8:3; Za 28:2; 63:4; 1Tim 2:8; Kut 29:39, 41; 30:8; Efe 5:2Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba;

kuinua mikono yangu juu na kuwe kama dhabihu ya jioni.

3141:3 Za 34:13; 12:2; Yak 1:26; 3:8Ee Bwana, weka mlinzi kinywani mwangu,

weka ulinzi mlangoni mwa midomo yangu.

4141:4 Yos 24:23; Za 106:29; Mit 23:1-3Usiuache moyo wangu uvutwe katika jambo baya,

nisije nikashiriki katika matendo maovu

pamoja na watu watendao mabaya,

wala nisije nikala vyakula vyao vya anasa.

5141:5 Mit 9:8; 19:25; 25:12; Mhu 7:5; Kut 29:7; Za 23:5Mtu mwenye haki na anipige: ni jambo la huruma;

na anikemee: ni mafuta kichwani mwangu.

Kichwa changu hakitalikataa.

Hata hivyo, maombi yangu daima

ni kinyume cha watenda mabaya,

6141:6 2Nya 25:12watawala wao watatupwa chini

kutoka kwenye majabali,

waovu watajifunza kwamba maneno yangu

yalikuwa kweli.

7141:7 Za 129:3; Hes 16:32-33; 16:30; 2Kor 1:9Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi,

ndivyo mifupa yetu imetawanywa kwenye mlango wa kaburi.”

8141:8 Za 123:2; 2:12; 11:1Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee Bwana Mwenyezi,

ndani yako nimekimbilia, usiniache nife.

9141:9 Za 140:4; 64:5; 38:12Niepushe na mitego waliyonitegea,

kutokana na mitego iliyotegwa na watenda mabaya.

10141:10 Za 7:15; 35:8; 57:6; 124:7Waovu na waanguke kwenye nyavu zao wenyewe,

wakati mimi ninapita salama.