놀라운 일을 행하시는 여호와
1여호와를 찬양하라!
내가 여호와의 백성이
모인 자리에서 진심으로
그에게 감사하리라.
2여호와께서
행하시는 일이 크시니
이 일을 기뻐하는 자들이
다 이것을 연구하는구나.
3그가 행하시는 모든 일이
영광스럽고 위엄이 있으며
그의 의는 영원하다.
4그는 자기가 행한 놀라운 일을
사람들이 기억하도록 하셨으니
여호와는 은혜스럽고
자비로운 분이시다.
5여호와는
자기를 두려워하는 자에게
양식을 주시며
항상 그의 약속을 잊지 않으신다.
6그가 자기 백성에게
다른 민족의 땅을 주심으로
그들에게 능력을 보여 주셨다.
7그가 행하시는 일이
신실하고 공정하니
그의 교훈은 신뢰할 만하며
8진리와 의로 행하신 것이니
영원히 확실하다.
9여호와께서
자기 백성을 구원하시고
그들과 영원한 계약을 세우셨으니
그 이름이 거룩하고 위엄이 있구나.
10여호와를
두려워하는 것이
지혜의 첫걸음이다.
그의 교훈을 따르는 자가
다 좋은 지각을 얻게 되니
그는 영원히
찬양을 받으실 분이시다.
Zaburi 111111 Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.
Sifa Za Bwana Kwa Matendo Ya Ajabu
1111:1 Za 34:1; 109:30; 115:18; 145:10; 9:1; 89:7; 1:5Msifuni Bwana.
Nitamtukuza Bwana kwa moyo wangu wote,
katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.
2111:2 Ay 36:24; Za 143:5; 64:9; Ufu 15:3Kazi za Bwana ni kuu,
wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.
3111:3 Za 112:3, 9; 119:142Kazi zake zimejaa fahari na utukufu,
haki yake hudumu daima.
4111:4 Kum 4:31; Za 86:15Amefanya maajabu yake yakumbukwe,
Bwana ni mwenye neema na huruma.
5111:5 Mwa 1:30; Za 37:25; 103:11; 105:8; Mt 6:26, 31-33; 1Nya 16:15Huwapa chakula wale wanaomcha,
hulikumbuka agano lake milele.
6111:6 Za 64:9; 66:3; 105:44Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake,
akiwapa nchi za mataifa mengine.
7111:7 Za 92:4; 19:7; 119:128Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki,
mausia yake yote ni ya kuaminika.
8111:8 Za 119:89, 152, 160; Isa 40:8; Mt 5:18Zinadumu milele na milele,
zikifanyika kwa uaminifu na unyofu.
9111:9 Za 34:22; 103:4; 130:7; 30:4; 99:3; Lk 1:68; 1:49Aliwapa watu wake ukombozi,
aliamuru agano lake milele:
jina lake ni takatifu na la kuogopwa.
10111:10 Ay 23:15; Kum 4:6; Za 19:9; 119:98, 104, 130; 28:6; 89:52Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima,
wote wanaozifuata amri zake wana busara.
Sifa zake zadumu milele.