민수기 21 – KLB & NEN

Korean Living Bible

민수기 21:1-35

아랏의 패배

1가나안 남쪽 지방에 사는 아랏 왕은 이스라엘 백성이 아다림 길로 자기들에게 접근해 온다는 말을 듣고 그들을 공격하여 그들 가운데 몇 사람을 생포하였다.

2그때 이스라엘 백성이 “만일 주께서 아랏 왕과 그의 백성을 정복 하도록 도와주신다면 우리가 그들과 그들의 성들을 완전히 섬멸해 버리겠습니다” 하고 여호와께 서약하였다.

3여호와께서는 그들의 서약을 들으시고 가나안 사람들을 정복할 수 있도록 그들을 도와주셨다. 그래서 이스라엘 백성은 가나안 사람들과 그 성들을 완전히 소탕해 버렸는데 그 후로 그 곳을 21:3 ‘완전히 멸한다’ 는 뜻.‘호르마’ 라고 불렀다.

놋뱀

4이스라엘 백성은 에돔 땅을 돌아가려고 호르산을 떠나 홍해로 가는 길을 따라갔다. 그런데 길을 돌아가는 고생을 참지 못해

5그들은 하나님과 모세를 원망하며 “왜 우리를 이집트에서 끌어내어 이 광야에서 죽이려 하시오? 여기는 먹을 것도 없고 마실 물도 없지 않소? 이제 이 지겨운 만나도 신물이 나서 못 먹겠소!” 하고 모세에게 불평하였다.

6그때 여호와께서 그들 가운데 독사를 보내셨다. 그래서 많은 사람들이 독사에 물려 죽었다.

7그러자 사람들이 모세에게 와서 “우리가 하나님과 당신을 원망하여 죄를 지었습니다. 제발 여호와께 기도하여 이 뱀들을 없애 주십시오” 하고 애걸하였다. 모세가 그들을 위해 기도하자

8여호와께서 모세에게 “놋뱀을 만들어 장대에 매달아 뱀에 물린 자마다 그것을 보고 살게 하라” 하고 말씀하셨다.

9그래서 모세는 놋뱀을 만들어 장대에 매달아 두었는데 뱀에 물린 자마다 그 놋뱀을 쳐다보고 살아났다.

호르산에서 모압까지

10이스라엘 백성은 그 곳을 떠나 오봇에 가서 진을 쳤고

11다시 오봇을 떠나 모압 동쪽 광야에 있는 이예 – 아바림에 진을 쳤으며

12또 거기서 출발하여 세렛 골짜기로 가서 진을 쳤다.

13그리고 그들은 다시 거기서 떠나 아모리 땅에서 뻗어 나온 광야의 아르논강 건너편에 진을 쳤다. 아르논강은 모압 땅과 아모리인의 땅 사이에 있는 모압의 경계선이었다.

14-15그래서 여호와의 전쟁기에는 이렇게 적혀 있다. “수바의 와헵과 그 골짜기들, 아르논과 그 골짜기의 비탈은 아르 지방으로 뻗어 있고 모압의 경계에 닿았다.”

16그 후에 이스라엘 백성은 거기서 21:16 ‘우물’ 이라는 뜻.브엘로 갔다. 여호와께서는 그 곳에서 모세에게 “백성을 모아라. 내가 그들에게 물을 주겠다” 하고 말씀하셨다.

17-18그때 이스라엘 백성이 이렇게 노래하 였다.

“우물물아 솟아나라!

이 물을 노래하세!

이것은 귀족들이 판 우물이요

백성의 지도자들이

홀과 지팡이로 판 우물이라네.”

그러고 나서 그들은 그 광야를 떠나 맛다나,

19나할리엘, 바못을 거쳐

20광야가 내려다보이는 비스가산 밑 모압 땅 계곡에 이르렀다.

시혼과 옥의 패배

21이스라엘 백성은 여기서 아모리 왕 시혼에게 사람을 보내 이렇게 요청하였다.

22“우리가 당신의 땅을 통과할 수 있도록 허락해 주십시오. 우리가 밭이나 포도원에 들어가지 않고 우물물도 마시지 않으며 당신의 땅을 다 지나갈 때까지 큰 길로만 가겠습니다.”

23그러나 시혼왕은 이스라엘 백성이 자기 땅으로 지나가는 것을 거절하고 군대를 동원하여 광야의 야하스로 나와 이스라엘을 공격하였다.

24그래서 이스라엘 백성은 그들을 대항하여 시혼왕과 많은 군사를 죽이고 아르논강에서부터 암몬 사람의 국경 지대인 얍복강까지 점령하였다. 그러나 암몬 사람의 국경이 너무 튼튼하여 그들은 더 이상 진격하지 못하였다.

25이렇게 해서 이스라엘 백성은 아모리 사람의 모든 성을 점령하고 헤스본과 그 주변 부락에 살았는데

26헤스본은 시혼왕의 수도였으며 시혼은 한때 모압 왕과 싸워 아르논강에 이르는 그의 모든 땅을 점령한 왕이었다.

27그래서 시인들은 이렇게 노래하였다.

“시혼왕의 수도,

헤스본으로 오너라.

시혼의 성을 굳게 세워라.

28“헤스본에서

시혼의 군대가 불같이 나와

모압의 아르성을 삼키며

아르논 고원의 주민들을

멸망시켰다!

29“모압아,

네가 재난을 당하였구나!

그모스의 백성들아,

너희가 멸망하였구나!

너희 아들들은

도망하는 신세가 되었으며

너희 딸들은

아모리 사람의 왕 시혼에게

포로가 되었다.

30“그러나 우리는 그들을 쳐서

헤스본에서 디본까지

멸망시켰으며

메드바에 이르는 노바까지

휩쓸어 버렸다.”

31이렇게 해서 이스라엘 사람들은 아모리 사람의 땅에서 정착하게 되었다.

32그리고 모세는 사람을 보내 야셀을 정찰하게 한 후에 그 주변 부락들을 점령하여 거기에 살고 있던 아모리 사람들을 쫓아내 버렸다.

33그 후에 그들은 바산을 향하여 올라갔다. 그러자 바산 왕 옥이 군대를 거느리고 나와 에드레이에서 이스라엘군과 싸우려고 맞섰다.

34그때 여호와께서 모세에게 “그를 두려워하지 말아라. 너는 그와 그의 군대를 이기고 그 땅을 점령하게 될 것이다. 그러므로 너는 헤스본에서 통치하던 아모리 사람의 왕 시혼에게 행한 것을 그에게도 행하라” 하고 말씀하셨다.

35그래서 이스라엘군은 옥과 그의 아들들과 그의 군대를 하나도 남김없이 다 죽이고 그 땅을 점령하였다.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 21:1-35

Nchi Ya Aradi Yaangamizwa

121:1 Hes 33:40; Yos 12:14; Mwa 12:9; Hes 13:17; Kum 1:7; Amu 1:9Mfalme wa Kikanaani wa Aradi aliyeishi huko Negebu aliposikia kwamba Waisraeli walikuwa wanakuja kwa njia ya Atharimu, aliwashambulia Waisraeli na kuwateka baadhi yao. 221:2 Law 7:16; Kut 22:20; Kum 2:34; Yos 2:10; 8:26; Yer 25:9; 50:21Ndipo Israeli akaweka nadhiri hii kwa Bwana: “Ikiwa utawatia watu hawa mikononi mwetu, tutaiangamiza kabisa miji yao.” 321:3 Mwa 10:18; Hes 14:45Bwana akasikiliza ombi la Waisraeli, naye akawapa ushindi juu ya Wakanaani. Wakawaangamiza kabisa na miji yao; hivyo mahali pale pakaitwa Horma.21:3 Horma maana yake Maangamizi.

Nyoka Wa Shaba

421:4 Hes 20:22; 14:25; Kum 2:1; 11:4; Hes 20:21; Kum 2:8; Amu 11:18Waisraeli wakasafiri kutoka mlima Hori kupitia njia inayoelekea Bahari ya Shamu,21:4 Yaani Bahari Nyekundu au Bahari ya Mafunjo (ona 14:25). kuizunguka Edomu. Lakini watu wakakosa uvumilivu njiani, 521:5 Za 78:19; Kut 14:11; Hes 11:20; 14:2, 3; 20:3; 11:5wakamnungʼunikia Mungu na Mose, wakisema, “Kwa nini umetupandisha kutoka Misri ili tufe jangwani? Hakuna mkate! Hakuna maji! Nasi tunachukia sana chakula hiki duni!”

621:6 Kum 8:15; 32:33; Ay 20:14; Za 58:4; 140:3; Yer 8:17; 1Kor 10:9Ndipo Bwana akapeleka nyoka wenye sumu katikati yao; wakawauma watu, nao Waisraeli wengi wakafa. 721:7 Za 78:34; Hos 5:15; Hes 14:40; Kut 8:8; 1Sam 7:8; Yer 27:18; 37:3; Mdo 8:24; Hes 11:2Watu wakamjia Mose na kusema, “Tumetenda dhambi wakati tuliponena dhidi ya Bwana na dhidi yako. Mwombe Bwana ili atuondolee hawa nyoka.” Hivyo Mose akawaombea hao watu.

821:8 Yn 3:14Bwana akamwambia Mose, “Tengeneza nyoka wa shaba na umweke juu ya mti; yeyote aliyeumwa na nyoka anaweza kumtazama na akaishi tena.” 921:9 2Fal 18:4; Yn 3:14-15Kwa hiyo Mose akatengeneza nyoka wa shaba na kumweka juu ya mti. Kisha wakati mtu yeyote aliumwa na nyoka, naye akamtazama yule nyoka wa shaba, aliishi.

Safari Kwenda Moabu

1021:10 Hes 33:43Waisraeli waliendelea na safari yao na wakapiga kambi huko Obothi. 1121:11 Mwa 36:35; Hes 33:44; Kum 34:8; Yer 40:11Kisha wakaondoka Obothi na kupiga kambi huko Iye-Abarimu, katika jangwa linalotazamana na Moabu kuelekea mawio ya jua. 1221:12 Kum 2:13, 14Kutoka hapo waliendelea mbele wakapiga kambi kwenye Bonde la Zeredi. 1321:13 Hes 22:36; Kum 2:24; Yos 12:1; Amu 11:13, 18; 2Fal 10:33; Isa 16:2; Yer 48:20; Mwa 10:16Wakasafiri kutoka hapo na kupiga kambi kando ya Mto Arnoni, ambao uko katika jangwa lililoenea hadi nchi ya Waamori. Arnoni ni mpaka wa Moabu, kati ya Moabu na Waamori. 1421:14 1Sam 17:47; 18:17; 25:28Ndiyo sababu Kitabu cha Vita vya Bwana kinasema:

“…Mji wa Wahebu nchini Seifa na mabonde

ya Arnoni, 1521:15 Kum 2:9, 18; Isa 15:1na miteremko ya mabonde

inayofika hadi mji wa Ari

na huelekea mpakani mwa Moabu.”

1621:16 Hes 25:1; 33:49; Amu 9:21; Isa 15:8Kutoka hapo waliendelea mbele hadi kisima cha Beeri; kwenye kisima ambacho Bwana alimwambia Mose, “Wakusanye watu pamoja, nami nitawapa maji.”

1721:17 Kut 15:1Kisha Israeli akaimba wimbo huu:

“Bubujika, ee kisima!

Imba kuhusu maji,

18kuhusu kisima ambacho kilichimbwa na wakuu,

ambacho watu mashuhuri walikifukua,

watu mashuhuri wakiwa na fimbo za utawala na bakora.”

Kisha wakatoka jangwani kwenda Matana, 19kutoka Matana wakafika Nahalieli, kutoka Nahalieli wakafika Bamothi, 2021:20 Hes 23:14; Kum 3:17; 34:1; Yos 12:3; 13:20na kutoka Bamothi wakafika kwenye bonde lililoko Moabu, mahali ambapo kilele cha Pisga kinatazamana na nyika.

Kushindwa Kwa Sihoni Na Ogu

(Kumbukumbu 2:26–3:11)

2121:21 Mwa 32:3; Hes 32:33; Kum 1:4; Yos 2:10; 12:2; 13:10; Amu 11:19-21; 1Fal 4:19; Neh 9:22; Za 135:11; 136:19; Yer 48:4; 48:45; Kut 23:23Israeli akawatuma wajumbe kumwambia Sihoni mfalme wa Waamori:

2221:22 Hes 20:17“Uturuhusu tupite katika nchi yako. Hatutageuka kando kwenda katika mashamba au mashamba ya mizabibu, ama kunywa maji kutoka kisima chochote. Tutasafiri kwenye njia kuu ya mfalme hata tutakapokuwa tumekwisha kupita katika nchi yako.”

2321:23 Hes 20:21; Kum 2:32; Yos 13:18; 21:36; Amu 11:20; Isa 15:4; Yer 48:21, 34; Hes 20:18Lakini Sihoni hakumruhusu Israeli apite katika nchi yake. Alilikutanisha jeshi lake lote, wakaondoka kwenda jangwani ili kupigana na Israeli. Alipofika huko Yahazi, akapigana na Israeli. 2421:24 Kum 2; 33; 3:3; 29:7; Za 135:10-11; Amo 2:9; Kum 3:4; Mwa 32:22; Hes 32:33; Amu 11:13, 22; Mwa 19:38; Kum 2:37; Yos 13:10Hata hivyo, Israeli alimshinda kwa upanga na kuiteka ardhi yake kutoka Arnoni mpaka Yaboki, lakini ni hadi kufikia nchi ya Waamoni tu, kwa sababu mipaka yake ilikuwa imezungushwa ukuta. 2521:25 Hes 13:29; Amu 10:11; 11:26; Amo 2:10; Hes 32:3; Kum 1:4; 29:7; Yos 9:10; 12:2; Isa 15:4; 16:8; Yer 48:2Israeli akaiteka miji yote ya Waamori na kuikalia, pamoja na Heshboni na makazi yote yanayoizunguka. 2621:26 Kum 29:7; Za 135:11; Hes 13:29Heshboni ulikuwa mji wa Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alikuwa amepigana dhidi ya mfalme wa Moabu aliyetangulia na akawa amechukua ardhi yake yote mpaka Arnoni.

27Ndiyo sababu watunga mashairi husema:

“Njoo Heshboni na ujengwe tena;

mji wa Sihoni na ufanywe upya.

2821:28 Yer 48:45; Hes 11:1; 22:41; Kum 12:2; Yos 13:17; Isa 15:2; Yer 1:5“Moto uliwaka kutoka Heshboni,

mwali wa moto kutoka mji wa Sihoni.

Uliteketeza Ari ya Moabu,

raiya wa mahali pa Arnoni palipoinuka.

2921:29 Hes 24:17; 2Sam 8:2; 1Nya 18:2; Za 60:8; Isa 25:10; Yer 48:46; Amu 10:6; 11:24; Rum 1:15; 1Fal 11:7; 2Fal 23:13; Yer 48:7; Isa 15:5; 16:2Ole wako, ee Moabu!

Umeharibiwa, enyi watu wa Kemoshi!

Amewatoa wanawe kuwa wakimbizi,

na binti zake kama mateka

kwa Mfalme Sihoni wa Waamori.

3021:30 Hes 32:3; Yos 13:19; Neh 11:25; Isa 15:2; Yer 48:18; Yos 13:16; 1Nya 19:7“Lakini tumewashinda;

Heshboni umeharibiwa hadi Diboni.

Tumebomoa hadi kufikia Nofa,

ulioenea hadi Medeba.”

3121:31 Hes 13:29Kwa hiyo Israeli akaishi katika nchi ya Waamori.

3221:32 Yos 2:1; 6:22; 7:2; Amu 18:2; 2Sam 10:3; 1Nya 19:3; Hes 32:1; Yos 13:25; 2Sam 24:5; 1Nya 6:8; Isa 16:8; Yer 48; 32Baada ya Mose kutuma wapelelezi kwenda mji wa Yazeri, Waisraeli waliteka viunga vya mji huo na kuwafukuza Waamori waliokuwa wanaishi huko. 3321:33 Hes 32:33; Kum 3:3; 31:11; Yos 2:10; 12:4; 13:30; 1Fal 4:19; Neh 9:22; Za 135:11; 136:20; Kum 3:4; 32:14; Yos 9:10; 1Fal 4:13; Kum 1:4; 3:1; Yos 12:4; 13:12; 19:37Kisha wakageuka na kwenda katika njia inayoelekea Bashani, naye Ogu mfalme wa Bashani pamoja na jeshi lake lote wakatoka kupigana nao huko Edrei.

3421:34 Kum 3:2Bwana akamwambia Mose, “Usimwogope Ogu, kwa sababu nimeshamkabidhi mikononi mwako, pamoja na jeshi lake lote na nchi yake. Mtendee kama ulivyomtendea Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni.”

3521:35 Hes 21:35; Yos 9:10; 22:1; Hes 22:11; 13:29; Yos 2:7; Hes 31:12; 33:48; Kum 32:49; Yos 2:1Kwa hiyo wakamuua, pamoja na wanawe na jeshi lake lote, bila ya kumwacha hata mtu mmoja hai. Nao wakaimiliki nchi yake.