1 Chronicles 8 – KJV & NEN

King James Version

1 Chronicles 8:1-40

1Now Benjamin begat Bela his firstborn, Ashbel the second, and Aharah the third, 2Nohah the fourth, and Rapha the fifth. 3And the sons of Bela were, Addar, and Gera, and Abihud,8.3 Addar: or, Ard 4And Abishua, and Naaman, and Ahoah, 5And Gera, and Shephuphan, and Huram.8.5 Shephuphan: or, Shupham 6And these are the sons of Ehud: these are the heads of the fathers of the inhabitants of Geba, and they removed them to Manahath: 7And Naaman, and Ahiah, and Gera, he removed them, and begat Uzza, and Ahihud. 8And Shaharaim begat children in the country of Moab, after he had sent them away; Hushim and Baara were his wives. 9And he begat of Hodesh his wife, Jobab, and Zibia, and Mesha, and Malcham, 10And Jeuz, and Shachia, and Mirma. These were his sons, heads of the fathers. 11And of Hushim he begat Abitub, and Elpaal. 12The sons of Elpaal; Eber, and Misham, and Shamed, who built Ono, and Lod, with the towns thereof: 13Beriah also, and Shema, who were heads of the fathers of the inhabitants of Aijalon, who drove away the inhabitants of Gath: 14And Ahio, Shashak, and Jeremoth, 15And Zebadiah, and Arad, and Ader, 16And Michael, and Ispah, and Joha, the sons of Beriah; 17And Zebadiah, and Meshullam, and Hezeki, and Heber, 18Ishmerai also, and Jezliah, and Jobab, the sons of Elpaal; 19And Jakim, and Zichri, and Zabdi, 20And Elienai, and Zilthai, and Eliel, 21And Adaiah, and Beraiah, and Shimrath, the sons of Shimhi;8.21 Shimhi: or, Shema 22And Ishpan, and Heber, and Eliel, 23And Abdon, and Zichri, and Hanan, 24And Hananiah, and Elam, and Antothijah, 25And Iphedeiah, and Penuel, the sons of Shashak; 26And Shamsherai, and Shehariah, and Athaliah, 27And Jaresiah, and Eliah, and Zichri, the sons of Jeroham. 28These were heads of the fathers, by their generations, chief men. These dwelt in Jerusalem. 29And at Gibeon dwelt the father of Gibeon; whose wife’s name was Maachah:8.29 father…: also called Jehiel 30And his firstborn son Abdon, and Zur, and Kish, and Baal, and Nadab, 31And Gedor, and Ahio, and Zacher.8.31 Zacher: or, Zechariah 32And Mikloth begat Shimeah. And these also dwelt with their brethren in Jerusalem, over against them.8.32 Shimeah: or, Shimeam

33¶ And Ner begat Kish, and Kish begat Saul, and Saul begat Jonathan, and Malchi-shua, and Abinadab, and Esh-baal.8.33 Abinadab: also called, Ishui8.33 Esh-baal: or, Ish-bosheth 34And the son of Jonathan was Merib-baal; and Merib-baal begat Micah.8.34 Merib-baal: or, Mephibosheth 35And the sons of Micah were, Pithon, and Melech, and Tarea, and Ahaz.8.35 Tarea: or, Tahrea 36And Ahaz begat Jehoadah; and Jehoadah begat Alemeth, and Azmaveth, and Zimri; and Zimri begat Moza,8.36 Jehoadah: also called, Jarah 37And Moza begat Binea: Rapha was his son, Eleasah his son, Azel his son:8.37 Rapha: also called, Rephaiah 38And Azel had six sons, whose names are these, Azrikam, Bocheru, and Ishmael, and Sheariah, and Obadiah, and Hanan. All these were the sons of Azel. 39And the sons of Eshek his brother were, Ulam his firstborn, Jehush the second, and Eliphelet the third. 40And the sons of Ulam were mighty men of valour, archers, and had many sons, and sons’ sons, an hundred and fifty. All these are of the sons of Benjamin.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 8:1-40

Ukoo Wa Sauli Mbenyamini

18:1 Mwa 46:21; 1Nya 7:6; Hes 26:38Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza,

Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,

2Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.

38:3 Mwa 46:21Wana wa Bela walikuwa:

Adari, Gera, Abihudi, 48:4 2Sam 23:9Abishua, Naamani, Ahoa, 5Gera, Shefufani na Huramu.

68:6 Amu 3:12-30; 1Nya 2:52; Neh 6:2Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:

7Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.

8Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara. 9Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu, 10Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao. 11Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.

128:12 Ezr 2:33; Neh 7:37Wana wa Elpaali walikuwa:

Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka), 138:13 Yos 10:12; Yn 11:22; Yos 19:42na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.

14Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi, 15Zebadia, Aradi, Ederi, 16Mikaeli, Ishpa, na Yoha.

17Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi, 18Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.

19Yakimu, Zikri, Zabdi, 20Elienai, Silethai, Elieli, 21Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.

22Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli, 23Abdoni, Zikri, Hanani, 24Hanania, Elamu, Anthothiya, 25Ifdeya na Penueli.

26Shamsherai, Sheharia, Athalia, 27Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.

28Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.

298:29 Yos 9:3; 1Nya 9:35Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni.

Mke wake aliitwa Maaka. 30Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu, 318:31 1Nya 9:37Gedori, Ahio, Zekeri, 32na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.

338:33 1Sam 28:19; 9:1; 14:49; 2Sam 2:8; Mdo 13:21Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.

348:34 2Sam 9:12; 4:4; 21:7-14Yonathani akamzaa:

Merib-Baali,8:34 Merib-Baali maana yake ni Baali na Ashindane naye (Amu 6:32); ni jina lingine la mwana wa Yonathani, Mefiboshethi ambalo nalo maana yake ni Mtu wa Aibu (ona 2Sam 4:4). naye Merib-Baali akamzaa Mika.

35Wana wa Mika walikuwa:

Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.

36Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa. 37Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.

38Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao:

Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.

39Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa:

Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti. 408:40 Hes 26:38; 1Nya 12:2; 2Nya 11:1; 13:3; Neh 4:13; Wim 3:7-8; Efe 6:11-20Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150.

Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.