詩篇 74 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

詩篇 74:1-23

74

1ああ神よ、

なぜいつまでも私たちをお見捨てになるのですか。

なぜ、あなたを信じて従う私たちに、

こんなにも激しい怒りを向けられるのですか。

2その昔、奴隷の身であった私たちを救い出し、

かけがえのない宝のように大切になさったことを、

思い出してください。

自ら地上の住まいとお定めになったエルサレムを、

思い起こしてください。

3どうか、敵の手で、見るも無残な廃墟と化した都を、

あなたの聖所を、ごらんください。

4そこで、敵は勝ちどきをあげ、

勝利の碑を建てたのです。

5-6あらゆるものが荒廃し、

木を切り倒したあとの森のようです。

彼らはハンマーや斧で、聖所の彫り物を打ち砕き、

切り刻み、

7-8こともあろうに、あなたの聖所に火を放ちました。

彼らは、

「さあ、神の名残をとどめるものを一掃しろ」

と叫びながら、国中を駆け巡り、

礼拝するための集会場を焼き払いました。

9-10私たちが神の民であることを証明するものは、

もう何もなくなりました。預言者もいないのです。

こんな状態がいつまで続くのか、だれも知りません。

ああ神よ、いつまで敵が

あなたのお名前を踏みつけるのを、

お許しになるのですか。

彼らをそのままにしておかれるのですか。

11なぜ、みわざを行うことを

差し控えておられるのですか。

こぶしを振り上げて、

彼らの息の根を止めてください。

12神は、はるか昔から私の王であられました。

私がどこにいても、いつもあなたのほうから、

救いの手を差し伸べてくださいました。

13-14あなたは紅海を二つに分け、海神の頭を打ち砕き、

荒野に住む人々のえじきとされました。

15あなたが命じると泉がわき出て、

イスラエル人はその水を飲みました。

常に水の流れるヨルダン川をせき止め、

そこを乾いた道となさいました。

16昼も夜も、すべてはあなたの支配下にあります。

あなたは星と太陽をお造りになったお方です。

17自然界を治め、夏と冬の区別を設けられました。

18主よ、敵があなたをあざけっていることに

目を留めてください。

ああ神よ。

思い上がった民が、主の名を冒瀆しているのです。

19主よ、お救いください。

あなたの山鳩を、獰猛な鷹からお守りください。

あなたが愛しておられる民を、

獣からお救いください。

20約束を思い出してください。

この地は暗闇に閉ざされ、

残忍な者たちが幅をきかせています。

21主よ、あなたの民が踏みにじられ、

いつまでもさげすまれることが

ないようにしてください。

貧しい者たちが、あなたの御名を

ほめたたえることができるようにしてください。

22ああ神よ、立ち上がって、敵に申し渡してください。

反逆者が一日中あびせかけてくる

侮辱のことばを聞いてください。

23敵ののろいのことばを、聞き逃さないでください。

彼らの声は、ますます大きくなっているのです。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 74:1-23

Zaburi 74

Maombi Kwa Ajili Ya Taifa Kuokolewa

Utenzi wa Asafu.

174:1 Yer 23:1; Za 43:2; 44:23; 95:7; 79:13; 100:3; Eze 34:8, 31; Lk 12:32Ee Mungu, mbona umetukataa milele?

Mbona hasira yako inatoka moshi

juu ya kondoo wa malisho yako?

274:2 1Kor 6:20; Kum 32:7; Kut 34:9; 15:13, 16; Isa 48:20; Za 2:6; 43:3; 68:16; Isa 46:13; Oba 1:17; Yoe 3:17, 21Kumbuka watu uliowanunua zamani,

kabila la urithi wako, ambao uliwakomboa:

Mlima Sayuni, ambamo uliishi.

374:3 Isa 44:26; 52:9Geuza hatua zako kuelekea magofu haya ya kudumu,

uharibifu wote huu ambao adui ameuleta pale patakatifu.

474:4 Mao 2:7; Hes 2:2; Yer 4:6; Dan 6:27Adui zako wamenguruma pale ulipokutana nasi,

wanaweka bendera zao kama alama.

574:5 Yer 46:23Walifanya kama watu wanaotumia mashoka

kukata kichaka cha miti.

674:6 1Fal 6:18Walivunjavunja milango yote iliyonakshiwa

kwa mashoka na vishoka vyao.

774:7 Law 15:31; 20:3; Mdo 21:28; Za 75:1Waliteketeza kabisa mahali pako patakatifu,

wakayanajisi makao ya Jina lako.

874:8 2Fal 25:9; Za 83:4; 94:5; Yer 34:22; 52:13; 21:10; 2Nya 36:19Walisema mioyoni mwao,

“Tutawaponda kabisa!”

Walichoma kila mahali ambapo Mungu

aliabudiwa katika nchi.

974:9 Kut 4:17; 10:1; 1Sam 3:1; Mik 3:6; Mt 16:4Hatukupewa ishara za miujiza;

hakuna manabii waliobaki,

hakuna yeyote kati yetu ajuaye

hali hii itachukua muda gani.

1074:10 Za 6:3; 79:5; 80:4; 74:22; 44:16Ee Mungu, mtesi atakudhihaki mpaka lini?

Je, adui watalitukana jina lako milele?

1174:11 Kut 15:6; Neh 5:13; Eze 5:3Kwa nini unazuia mkono wako,

mkono wako wa kuume?

Uutoe kutoka makunjo ya vazi lako

na uwaangamize!

1274:12 Za 2:6; 24:7; 68:24; 44:4Lakini wewe, Ee Mungu, ni mfalme wangu tangu zamani,

unaleta wokovu duniani.

1374:13 Isa 51:9; 27:1; Eze 29:3; 32:2; Kut 14:21Ni wewe uliyeigawanya bahari kwa uweza wako;

ulivunja vichwa vya wanyama wakubwa wa kutisha katika maji.

1474:14 Hes 14:9; Za 72:9; Ay 3:8; Isa 13:21; 23:13; 34:14; Yer 50:39Ni wewe uliyeponda vichwa vya Lewiathani74:14 Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa.

nawe ukamtoa kama chakula

kwa viumbe vya jangwani.

1574:15 Kut 14:29; 17:6; Hes 20:11; Isa 11:16; Hab 3:9; Ufu 16:12; Yos 2:10Ni wewe uliyefungua chemchemi na vijito,

ulikausha mito ambayo ilikuwa ikitiririka daima.

1674:16 Mwa 1:16; Za 136:7-9Mchana ni wako, nao usiku ni wako pia,

uliziweka jua na mwezi.

1774:17 Mdo 17:26; Kum 32:8; Mwa 8:22Ni wewe uliyeiweka mipaka yote ya dunia,

ulifanya kiangazi na masika.

1874:18 Ufu 16:19; Kum 32:9Ee Bwana, kumbuka jinsi mtesi alivyokudhihaki,

jinsi watu wapumbavu walivyolitukana jina lako.

1974:19 Mwa 8:8; Isa 59:11; Za 9:18Usiukabidhi uhai wa njiwa wako kwa wanyama wakali wa mwitu;

usisahau kabisa uhai wa watu wako wanaoteseka milele.

2074:20 Mwa 6:18; 17:7; Law 26:44; Yer 33:21; Ay 34:22Likumbuke agano lako,

maana mara kwa mara mambo ya jeuri

yamejaa katika sehemu za giza nchini.

2174:21 Isa 58:10; Za 9:9, 18; 10:18; 103:6; 35:10Usiruhusu walioonewa warudi nyuma kwa aibu;

maskini na wahitaji hebu walisifu jina lako.

2274:22 Za 17:13; 53:1Inuka, Ee Mungu, ujitetee;

kumbuka jinsi wapumbavu

wanavyokudhihaki mchana kutwa.

2374:23 Isa 31:4; Za 65:7; 46:6; Hes 25:17Usipuuze makelele ya watesi wako,

ghasia za adui zako, zinazoinuka mfululizo.