詩篇 66 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

詩篇 66:1-20

66

1-2全地よ。主に向かって歌声を上げ、

栄光に輝く神を賛美しなさい。

世界中の人に、神のすばらしさを伝えなさい。

3ああ神よ。

あなたのなさることの荘厳さに心打たれます。

そのお力の壮大さに圧倒されます。

敵が降伏するのも、もっともです。

4全地はひれ伏し、ご栄光をほめ歌います。

5さあ、神がどんなにすばらしいことをなさったかを

ごらんなさい。

神の民は、驚くべき奇跡を体験するのです。

6神は、海の中に乾いた道を与えてくださいました。

人々はそこを踏みしめて渡りました。

その日、人々はどれほど興奮し、

喜びにあふれたことでしょう。

7神は、偉大な力で永久に支配し、

国々の動静を監視なさるお方です。

謀反を謀る国々は、高慢の鼻をくじかれます。

8すべての人よ、神をほめたたえ、

賛美の歌を歌いなさい。

9私たちのいのちを手中におさめておられるのは、

神なのです。

神はまた、道を踏みはずさないように、

私たちを支えてくださいます。

10ああ神よ。あなたは私たちを、

銀のように炎で精錬なさいました。

11あなたは私たちを網で生け捕りにし、

背中に大きな荷をくくりつけられました。

12軍隊を送って、

息も絶え絶えの私たちを踏みつけにされました。

こうして私たちは、

火の中を通り、

水の中をくぐり抜け、

豊かな地へと導かれました。

13私は今、誓いを果たすため、

火で焼き尽くすいけにえの動物を引いて、

宮へやって来ました。

14苦しみの渦中で私は、

たくさんの供え物をささげますと約束しました。

15それゆえ私は、

雄やぎや雄羊、雄牛を持って来たのです。

このいけにえから立ちのぼる煙は、

きっとあなたのもとに届くでしょう。

16さあ、神を敬う人よ、こちらに来て聞きなさい。

神のなさったさまざまなことをお話ししましょう。

17私は、この口で助けてくださいと叫び、

この舌で神をほめたたえてきました。

18もし私が罪を告白していなかったら、

主は祈りに答えてくださらなかったでしょう。

19しかし、神は身を乗り出すようにして、

私の祈りを聞き届けてくださいました。

20祈りの声を退けず、恵みと愛を

豊かに注いでくださった神をほめたたえます。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 66:1-20

Zaburi 66

Kusifu Mungu Kwa Ajili Ya Wema Wake

Kwa mwimbishaji. Wimbo. Zaburi.

166:1 Za 81:1; 84:8; 98:4; 100:1Mpigieni Mungu kelele za shangwe, dunia yote!

266:2 Za 79:9; 86:9; Isa 42:8, 12; 43:21Imbeni utukufu wa jina lake;

mpeni sifa zake kwa utukufu!

366:3 Kum 7:21; 10:21; Za 106:22; 111:6; 18:44; 65:5; 145:6; 2Sam 22:45Mwambieni Mungu, “Jinsi gani yalivyo ya kutisha matendo yako!

Uwezo wako ni mkuu mno kiasi kwamba

adui wananyenyekea mbele zako.

466:4 Za 22:27; 7:17; 67:3Dunia yote yakusujudia,

wanakuimbia wewe sifa,

wanaliimbia sifa jina lako.”

566:5 Za 66:3; 46:8; 106:22Njooni mwone yale Mungu aliyoyatenda,

mambo ya kutisha aliyoyatenda

miongoni mwa wanadamu!

666:6 Mwa 8:1; Kut 14:21, 22; Law 23:40; Yos 3:14; Za 78:13; Isa 63:13, 14; 1Kor 10:1Alifanya bahari kuwa nchi kavu,

wakapita kati ya maji kwa miguu,

njooni, tumshangilie.

766:7 Kut 15:18; 3:16; Hes 17:10; Za 11:4; 112:10; 140:8; 145:13Yeye hutawala kwa uwezo wake milele,

macho yake huangalia mataifa yote:

waasi wasithubutu kujiinua dhidi yake.

866:8 Za 22:23Enyi mataifa, msifuni Mungu wetu,

sauti ya sifa yake isikike,

966:9 Za 30:3; Kum 32:35; Ay 12:5ameyahifadhi maisha yetu

na kuizuia miguu yetu kuteleza.

1066:10 Kut 15:25; Ay 6:29; 28:1; Za 12:6; Zek 13:9Ee Mungu, wewe ulitujaribu,

ukatusafisha kama fedha.

1166:11 Za 38:4; 142:7; 146:7; Isa 61:1; 10:27; 42:7, 22; Mwa 3:17; Kut 1:14Umetuingiza kwenye nyavu

na umetubebesha mizigo mizito

migongoni mwetu.

1266:12 Isa 51:13; Za 18:19Uliwaruhusu watu watukalie vichwani,

tulipita kwenye moto na kwenye maji,

lakini ulituleta kwenye nchi

iliyojaa utajiri tele.

1366:13 Za 51:19; 22:25; 50:14; 116:14; Mhu 5:4; Yon 2:9Nitakuja hekaluni mwako na sadaka za kuteketezwa

na kukutimizia nadhiri zangu:

14nadhiri ambazo midomo yangu iliahidi

na nilizotamka kwa kinywa changu

nilipokuwa katika shida.

1566:15 Law 16:5; Za 51:19Nitakutolea dhabihu za wanyama wanono

na sadaka za kondoo dume,

nitakutolea mafahali na mbuzi.

1666:16 Za 34:11; 71:15, 24Njooni msikilize ninyi nyote mnaomcha Mungu,

nami niwaambie aliyonitendea.

17Nilimlilia kwa kinywa changu,

sifa zake zilikuwa katika ulimi wangu.

1866:18 Kum 1:45; 1Sam 8:18; Yak 4:3; Isa 1:15; Ay 11:14, 15; Mit 15:29Kama ningekuwa nimeyaficha maovu moyoni mwangu,

Bwana asingekuwa amenisikiliza;

1966:19 Za 18:6lakini hakika Mungu amenisikiliza

na amesikia sauti yangu katika maombi.

2066:20 Za 22:24Sifa apewe Mungu,

ambaye hakulikataa ombi langu

wala kunizuilia upendo wake!