詩篇 54 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

詩篇 54:1-7

54

ジフの人々によって、あわやサウル王に売り渡されそうになった時のダビデの詩。

1ああ神よ。

大いなる力をふるって私をお救いください。

力強い腕で守ってください。

2どうか、この祈りを聞き届けてくださいますように。

3暴虐を働く者どもが、いどみかかってきます。

神のことなど気にもかけない冷酷な者たちが、

このいのちをつけねらっています。

4しかし、神は助けてくださいます。

私の友なのですから。

5敵の悪らつな仕打ちは、その頭上に戻って来ます。

ああ神よ。お約束どおりに事を運び、

悪人どもの息の根を止めてください。

6主よ。私はあなたに心からのいけにえをささげ、

御名をほめたたえます。

それこそ道理にかなったことです。

7神はすべての苦しみから私を救い出し、

敵を蹴散らしてくださいます。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 54:1-7

Zaburi 54

Kuomba Ulinzi Wa Mungu Kutokana Na Adui

Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?”

154:1 1Sam 24:15; 20:1; 2Nya 20:6Ee Mungu uniokoe kwa jina lako,

unifanyie hukumu kwa uwezo wako.

254:2 Za 4:1; 5:1; 55:1Ee Mungu, sikia maombi yangu,

usikilize maneno ya kinywa changu.

354:3 Za 36:1; 86:14; 18:48; 140:1, 4, 11; 1Sam 20:1Wageni wananishambulia,

watu wakatili wanayatafuta maisha yangu,

watu wasiomjali Mungu.

454:4 1Nya 5:20; Za 20:2; 18:35; Isa 41:10; Ebr 13:6; Rum 8:31, 32Hakika Mungu ni msaada wangu,

Bwana ndiye anayenitegemeza.

554:5 Kum 32:35; Isa 42:3; Mit 24:12; Za 89:49; 94:23Mabaya na yawarudie wale wanaonisingizia,

kwa uaminifu wako uwaangamize.

654:6 Law 7:12, 16; Ezr 1:4; Za 27:6; 44:8; 52:9; 138:2; 142:7; 145:1; 69:30Nitakutolea dhabihu za hiari;

Ee Bwana, nitalisifu jina lako

kwa kuwa ni vyema.

7Kwa maana ameniokoa katika shida zangu zote,

na macho yangu yamewatazama adui zangu kwa ushindi.