詩篇 48 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

詩篇 48:1-14

48

1主はなんと偉大なお方でしょう。

どれほどことばを連ねても、たたえ尽くせません。

神はエルサレムのシオン山に住んでおられます。

2なんと栄光に満ちた光景でしょう。

都の北に、ひときわ高くそびえ立つ

シオンの山をごらんなさい。

そこは偉大な王の住まいで、

世界中の喜びの源泉です。

3神ご自身が、エルサレムの守りにつかれます。

4諸国の王は、都を探ろうと集まって来ました。

5しかし、ひと目見るなり驚嘆し、

あわてふためいて逃げ帰りました。

6彼らは目に映ったものにおびえ、

産けづいた女のようにうろたえます。

7神は、いとも簡単に

強力な船隊を砕かれます。

8私たちは聞いていました。

天の軍勢の主、神の都のすばらしさを。

ついに今、それをこの目で確かめました。

神はエルサレムを永遠の都となさいました。

9神よ。私たちは神殿の中で、

あなたの恵みと愛に思いをはせています。

10ああ神よ。

あなたの御名は全世界に知れ渡っています。

世界中の人を救われる神に、

至る所で賛美がわき上がっています。

11エルサレムとユダヤの人々は喜びなさい。

最後には、あなたがたも

正当な扱いを受けるようになると、

神が保証しておられます。

12さあ、都中を調べなさい。

都の外側を巡って、塔を数えなさい。

13城壁に注意をはらい、宮殿を見て歩きなさい。

子孫に語り伝えることができるように。

14この偉大なお方は、

いつまでも私たちの神でいてくださり、

私たちが死ぬ時までずっと導いてくださいます。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 48:1-14

Zaburi 48

Sayuni, Mji Wa Mungu

Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora.

148:1 2Sam 22:4; Mik 4:1; Yer 10:6; 31:23; Za 86:10; 96:4; 99:2; 135:5; 147:5; 46:4; 87:1; 18:3; 2:6; 1Nya 16:25; Kum 33:19; Isa 2:2; 11:9; 32:16; Zek 8:3; Oba 1:17; Dan 9:16Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana,

katika mji wa Mungu wetu,

mlima wake mtakatifu.

248:2 Isa 14:13; Za 2:6; 50:2; Mao 2:15; Eze 16:14; 20:6; Yos 13:17; Mt 5:35; Yer 3:19Ni mzuri katika kuinuka kwake juu sana,

furaha ya dunia yote.

Kama vilele vya juu sana vya Safoni48:2 Safoni inaweza ikawa na maana ya mlima mtakatifu au upande wa kaskazini. ni Mlima Sayuni,

mji wa Mfalme Mkuu.

348:3 Za 122:7; 18:2Mungu yuko katika ngome zake;

amejionyesha mwenyewe kuwa ngome yake.

448:4 2Sam 10:1-19Wakati wafalme walipounganisha nguvu,

waliposonga mbele pamoja,

548:5 Kut 15:16walimwona nao wakashangaa,

wakakimbia kwa hofu.

648:6 Ay 4:14; Mwa 3:16Kutetemeka kuliwashika huko,

maumivu kama ya mwanamke

mwenye utungu wa kuzaa.

748:7 Mwa 10:4; 41:6; 1Fal 10:22; 22:48; Eze 27:26Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi

zilizovunjwa na upepo wa mashariki.

848:8 Yer 23:6; Mik 4:1; Zek 8:13; 14:11; Isa 2:2Kama tulivyokuwa tumesikia,

ndivyo tulivyoona

katika mji wa Bwana Mwenye Nguvu Zote,

katika mji wa Mungu wetu:

Mungu ataufanya uwe salama milele.

948:9 Za 39:3; 6:4Ee Mungu, hekaluni mwako

tunatafakari upendo wako usiokoma.

1048:10 Kut 6:3; Isa 11:12; 24:16; 42:10; 49:6; Yos 7:9; 1Sam 2:10; Za 22:27; 100:1; 65:5; 98:3; Mal 1:1Ee Mungu, kama jina lako lilivyo,

sifa zako zinafika hadi miisho ya dunia,

mkono wako wa kuume umejazwa na haki.

1148:11 Za 97:8Mlima Sayuni unashangilia,

vijiji vya Yuda vinafurahi

kwa sababu ya hukumu zako.

1248:12 Neh 3:1Tembeeni katika Sayuni,

uzungukeni mji,

hesabuni minara yake;

1348:13 2Sam 20:15; Isa 26:1; Mao 2:8; Hab 2:1; Za 78:6; 71:18; 109:13yatafakarini vyema maboma yake,

angalieni ngome zake,

ili mpate kusimulia habari zake

kwa kizazi kijacho.

1448:14 Za 25:5; 73:24; Mit 6:22; Isa 25:9; 49:10; 57:18; 58:11Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele;

atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.