詩篇 42 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

詩篇 42:1-11

42

1ああ神よ。鹿が水をあえぎ求めるように、

私はあなたを慕い求めます。

2焼けつくような渇きを覚えながら、

私は、生きておられる神を求めています。

どこへ行けば、お目にかかれるのでしょうか。

3昼も夜も涙にむせびながら、

神の助けを祈っています。

かたわらでは敵が、

「おまえの神はどこへ行った」とあざけるのです。

4-5さあ、私のたましいよ、元気を出せ。

あの日のことを思い出すのだ。

まさか忘れてはいないだろう。

あの祭りの日、多くの人の先頭に立って神の宮に上り、

喜びに満たされて賛美の歌を歌ったことを。

どうしてそのように沈み込む必要があるのか。

どうして悲しげにふさぎ込んでいるのか。

神に望みを託すがよい。

そうだ、助けを信じて、

もう一度神をほめたたえよう。

6それでもなお、私は気落ちし、ふさぎ込んでいます。

しかし、やがて私は、ヨルダン川が流れ、

ヘルモン山やミツァル山のそびえる美しいこの地に

注がれている、神の恵みを思い巡らします。

7神のさかまく大波が私の頭上を越え、

悲しみの洪水が、とどろく大滝のように

降りかかってきます。

8しかし主は

日ごとに変わらない愛を注いでくださいます。

私は夜通し賛美の歌を歌い、

このいのちを授けてくださった神に祈りをささげます。

9「ああ、岩なる神よ」と、私は叫びます。

「なぜ、私をお見捨てになったのですか。

なぜ、私は敵の攻撃にさらされて、

こんなにも苦しまなければならないのですか。」

10人のあざけりがこの身を突き刺し、

深い傷を負わせます。

彼らは、「おまえの神はいったいどこへ行った」と

あざ笑います。

11しかし、私のたましいよ、

気落ちするな。動転するな。

神に期待せよ。

神がすばらしいことをしてくださり、

私はきっと賛嘆の声を上げるのだから。

このお方こそ、私の命綱、私の神。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 42:1-11

KITABU CHA PILI

(Zaburi 42–72)

Zaburi 42

Maombi Ya Mtu Aliye Uhamishoni

Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora.

142:1 Ay 19:27; Yoe 1:20; Za 18:33; 119:131; Kum 10:7Kama vile ayala aoneavyo shauku vijito vya maji,

ndivyo nafsi yangu ikuoneavyo shauku, Ee Mungu.

242:2 Za 43:4; 143:6; 84:7; 63:1; Yos 3:10; 1The 1:9; Yn 7:37; Rum 9:26; 1Sam 14:19; Mt 16:16; 9:26Nafsi yangu inamwonea Mungu kiu, Mungu aliye hai.

Ni lini nitaweza kwenda kukutana na Mungu?

342:3 Ay 3:24; Mik 7:10; Za 79:10; 115:2; Yoe 2:17Machozi yangu yamekuwa chakula changu

usiku na mchana,

huku watu wakiniambia mchana kutwa,

“Yuko wapi Mungu wako?”

442:4 1Sam 1:15; Isa 2:2; 30:29; Yon 2:9; Ezr 3:13; Yos 6:5; Za 35:18; 109:30; 55:14; 122:1; 95:2; 100:4; 147:7Mambo haya nayakumbuka

ninapoimimina nafsi yangu:

Jinsi nilivyokuwa nikienda na umati wa watu,

nikiongoza maandamano kuelekea kwenye nyumba ya Mungu,

kwa kelele za shangwe na za shukrani

katikati ya umati uliosherehekea.

542:5 Mao 3:20; Mt 26:38; Za 9:1; 38:6; 77:3; 25:5; 71:14; 56:3, 11; 18:46; Ay 20:2; Isa 50:10Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?

Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu?

Weka tumaini lako kwa Mungu,

kwa sababu bado nitamsifu,

Mwokozi wangu na 642:6 Za 43:5; 63:6; 7:11; Mwa 13:10; Hes 13:29; Kum 3:8; 4:48Mungu wangu.

Nafsi yangu inasononeka ndani yangu;

kwa hiyo nitakukumbuka

kutoka nchi ya Yordani,

katika vilele vya Hermoni,

kutoka Mlima Mizari.

742:7 Eze 7:26; Mwa 1:2; 7:11; Za 69:2; Yon 2:3Kilindi huita kilindi,

katika ngurumo za maporomoko ya maji yako;

mawimbi yako yote pamoja na viwimbi

vimepita juu yangu.

842:8 Za 57:3; 16:7; 133:3; Mhu 5:18; 8:15; Kum 28:8Mchana Bwana huelekeza upendo wake,

usiku wimbo wake uko nami:

maombi kwa Mungu wa uzima wangu.

942:9 Za 18:31; 10:11; 35:14; 106:42; 9:13; 43:2; Ay 20:19Ninamwambia Mungu Mwamba wangu,

“Kwa nini umenisahau?

Kwa nini niendelee kuomboleza,

nikiwa nimeonewa na adui?”

1042:10 Za 89:51; 119:42; 44:16; 6:2; 102:8; Kum 32:27Mifupa yangu inateseka kwa maumivu makali

adui zangu wanaponidhihaki,

wakiniambia mchana kutwa,

“Yuko wapi Mungu wako?”

1142:11 Za 43:5Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?

Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu?

Weka tumaini lako kwa Mungu,

kwa sababu bado nitamsifu,

Mwokozi wangu na Mungu wangu.