29
1御使いたちは主をほめたたえなさい。
主の栄光と力をほめたたえなさい。
2まぶしいばかりの御名の栄光を覚えて、
主をほめたたえなさい。
きよい衣を着て主の前に出なさい。
3主の御声は雲間から響きます。
栄光の神は大空に雷鳴をとどろかせます。
4主の声は力強く、威厳に満ちています。
5-6主の声は杉の木をなぎ倒し、
レバノンの巨木を引き裂きます。
また、レバノン山とシルヨン山を揺り動かし、
子牛のように跳びはねさせます。
7主の声は、いなずまを光らせ、とどろき渡ります。
8砂漠にこだまし、カデシュの荒野を揺るがします。
9そして巨大な樫の木を倒します。
また、大風を巻き起こして森を激しくゆさぶり、
丸裸にします。
しかし神の宮では、
「栄光あれ。神に栄光あれ」と、
すべてのものがほめたたえる声がするのです。
10大洪水をもたらして、
全宇宙の支配者であることを示された主は、
引き続きその力を顕示しておられます。
11主はご自分の民に力を与え、
平安をもたらし、祝福を与えてくださいます。
Zaburi 29
Sauti Ya Bwana Wakati Wa Dhoruba
Zaburi ya Daudi.
129:1 1Nya 16:28; 2Sam 1:19; Isa 10:13; Za 103:20; 8:1Mpeni Bwana, enyi mashujaa,
mpeni Bwana utukufu na nguvu.
229:2 1Nya 16:29; Za 96:7-9Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake;
mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake.
329:3 Ay 37:5; Za 24:7; 18:13; 46:6; 68:33; 77:17; Mdo 7:2; 1Sam 2:10; Yer 10:13; 25:30; Yoe 2:11; Amo 1:2; Kut 15:10Sauti ya Bwana iko juu ya maji;
Mungu wa utukufu hupiga radi,
Bwana hupiga radi juu ya maji makuu.
429:4 Za 68:33Sauti ya Bwana ina nguvu;
sauti ya Bwana ni tukufu.
529:5 Amu 9:15Sauti ya Bwana huvunja mierezi;
Bwana huvunja vipande vipande
mierezi ya Lebanoni.
629:6 Za 92:10; 114:4; Kum 3:9; Ay 39:9; Hes 23:22Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama,
Sirioni29:6 Yaani Mlima Hermoni. urukaruke kama mwana nyati.
729:7 Eze 1:14; Ufu 8:5Sauti ya Bwana hupiga kwa miali
ya umeme wa radi.
829:8 Hes 13:26; 20:1Sauti ya Bwana hutikisa jangwa;
Bwana hutikisa Jangwa la Kadeshi.
929:9 Isa 2:13; Eze 27:6; Amo 2:9; Za 26:8Sauti ya Bwana huzalisha ayala,
na huuacha msitu wazi.
Hekaluni mwake wote wasema,
“Utukufu!”
1029:10 Mwa 6:17; Kut 15:18Bwana huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika;
Bwana ametawazwa kuwa Mfalme milele.
1129:11 Za 18:1; 28:8; 68:35; Law 26:6; Hes 6:26; Isa 40:29Bwana huwapa watu wake nguvu;
Bwana huwabariki watu wake kwa kuwapa amani.