詩篇 124 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

詩篇 124:1-8

124

1イスラエル中の人々は、次のことを知りなさい。

もし主が味方でなかったなら、

2-3私たちは敵にいけにえとされ、

皆殺しの目に会っていたことでしょう。

4-5その激しい怒りと思い上がりの洪水にのまれて、

おぼれていたことでしょう。

6主のおかげで、敵のえじきにならずにすんだのです。

心から感謝しなさい。

7猟師のしかけた網から逃げる鳥のように、

助かったのです。

網が裂けて、たちまち自由に

舞い上がることができたのです。

8助けの手は、

天地をお造りになった主から伸べられます。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 124:1-8

Zaburi 124

Shukrani Kwa Ukombozi Wa Israeli

Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.

1124:1 Za 129:1; Mwa 15:1; Hes 14:9; Yos 1:5Kama Bwana asingalikuwa upande wetu;

Israeli na aseme sasa:

2kama Bwana asingalikuwa upande wetu,

wakati watu walipotushambulia,

3124:3 Za 35:25; Mit 1:12; Yer 51:34wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu,

wangalitumeza tungali hai,

4124:4 Za 88:17; 18:4mafuriko yangalitugharikisha,

maji mengi yangalitufunika,

5maji yaendayo kasi

yangalituchukua.

6Bwana asifiwe,

yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.

7124:7 Za 91:3; 25:15Tumeponyoka kama ndege

kutoka mtego wa mwindaji;

mtego umevunjika,

nasi tukaokoka.

8124:8 1Sam 17:45; Mwa 1:1; Za 115:15; 121:2; 134:3; Kut 18:4; Mit 18:10; Isa 50:10Msaada wetu ni katika jina la Bwana,

Muumba wa mbingu na dunia.