121
1私は山の神々に助けを仰ぐべきなのでしょうか。
2いいえ、真の助けは、
山々を造られた主から来るのです。
主は、天をもお造りになりました。
3-4このお方は、私が決してつまずいたり、
足をすべらせたり、倒れたりしないように
守ってくださいます。
また、眠り込んだりもなさいません。
いつも大きく目を見開いて、
見守っていてくださいます。
5主は自ら、あなたのために配慮してくださるのです。
危険からも守ってくださいます。
6昼も夜も注意深く、
7あらゆる害悪を寄せつけず、
あなたいのちを守られます。
8主はあなたが出て行くのも帰って来るのも見守り、
いつもあなたを守ってくださいます。
Zaburi 121
Bwana Mlinzi Wetu
Wimbo wa kwenda juu.
1Nayainua macho yangu nitazame vilima,
msaada wangu utatoka wapi?
2121:2 Mwa 1:1; Za 104:5Msaada wangu hutoka kwa Bwana,
Muumba wa mbingu na dunia.
3121:3 1Sam 2:9; Isa 27:3Hatauacha mguu wako uteleze,
yeye akulindaye hatasinzia,
4121:4 Za 127:1hakika, yeye alindaye Israeli
hatasinzia wala hatalala usingizi.
5121:5 Za 1:6Bwana anakulinda,
Bwana ni uvuli wako mkono wako wa kuume,
6121:6 Isa 49:10jua halitakudhuru mchana,
wala mwezi wakati wa usiku.
7121:7 Za 9:9, 10; 91:9, 10; Ay 5:19; Mit 12:21Bwana atakukinga na madhara yote,
atayalinda maisha yako,
8121:8 Kum 28:6; Mit 2:8Bwana atakulinda unapoingia na unapotoka,
tangu sasa na hata milele.